upinge muungano kivipi umetoa ajira maelfu kwa wazanzibari wizara ya mambo ya ndani na jeshini
Wazanzibari wapenda muungano ni wengi kuliko wasioupenda
Wazanzibar wasioupenda muungano ni viongozi wa kisiasa wa zanzibar wa upinzani ambao hutafuta tu kura wakishinda huwasikii tena wakiongelea muungano.Seif alikuwa makamu wa Raisi wa ZANZIBAR alipopata umakamu akaufyata kimya hakuongelea muungano tena
Pia kwa Tanzania bara wasiotaka muungano ni viongozi wa upinzani tu akina Lisu wakitafuta tu gia ya kura kwa wanasiasa wenzao wa Zanzibar .Mtanzania bara wa kawaida wala hana shida na muungano
Lisu na maalim seif muungano wao ni wa viongozi wa siasa sio wanachama asubiri tarehe 28 october aone atakavyonyolewa
Asikilize hii clip ndio atajua zanzibar atanyolewa asikilize kuanzia mwanzo hadi dakika ya tatu hivi