Zanzibar 2020 Yaliyojiri Tibirizi, Pemba mkutano wa kufunga kampeni ya Maalim Seif. Tundu Lissu ahudhuria

Zanzibar 2020 Yaliyojiri Tibirizi, Pemba mkutano wa kufunga kampeni ya Maalim Seif. Tundu Lissu ahudhuria

Leo tunapata Elimu mujarabu ya muungano na leo ndio ccm itakuwa imefagiliwa kabisa huko visiwani
upinge muungano kivipi umetoa ajira maelfu kwa wazanzibari wizara ya mambo ya ndani na jeshini

Wazanzibari wapenda muungano ni wengi kuliko wasioupenda

Wazanzibar wasioupenda muungano ni viongozi wa kisiasa wa zanzibar wa upinzani ambao hutafuta tu kura wakishinda huwasikii tena wakiongelea muungano.Seif alikuwa makamu wa Raisi wa ZANZIBAR alipopata umakamu akaufyata kimya hakuongelea muungano tena

Pia kwa Tanzania bara wasiotaka muungano ni viongozi wa upinzani tu akina Lisu wakitafuta tu gia ya kura kwa wanasiasa wenzao wa Zanzibar .Mtanzania bara wa kawaida wala hana shida na muungano

Lisu na maalim seif muungano wao ni wa viongozi wa siasa sio wanachama asubiri tarehe 28 october aone atakavyonyolewa

Asikilize hii clip ndio atajua zanzibar atanyolewa asikilize kuanzia mwanzo hadi dakika ya tatu hivi

 
[emoji1536][emoji1536][emoji1536][emoji818][emoji818][emoji818][emoji818][emoji1534][emoji1534][emoji1534][emoji1548][emoji1548][emoji1536][emoji818][emoji818][emoji818][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji777][emoji777][emoji777][emoji617][emoji617][emoji617][emoji777][emoji777][emoji777][emoji777]
Hata TECNO yangu W3 inaweza kuandika hivyo?
 
upinge muungano kivipi umetoa ajira maelfu kwa wazanzibari wizara ya mambo ya ndani na jeshini

Wazanzibari wapenda muungano ni wengi kuliko wasioupenda

Wazanzibar wasioupenda muungano ni viongozi wa kisiasa wa zanzibar wa upinzani ambao hutafuta tu kura wakishinda huwasikii tenda wakiongelea muungano.Seif alikuwa makamu wa Raisi wa ZNZIBAR alipopata umakamu akaufyata kimya hakuongelea muungano

Pia kwa Tanzania bara wasiotaka muungano ni viongozi wa upinzani tu akina Lisu wakitafuta tu gia ya kura kwa wanasiasa wenzao wa Zanzibar .Mtanzania bara wa kawaida wala hana shida na muungano

Lisu na maalim seif muungano wao ni wa viongozi wa siasa sio wanachama asubiri tarehe 28 october aone atakavyonyolewa

Asikilize hii clip ndio atajua zanzibar atanyolewa asikilize kuanzia mwanzo hadi dakika ya tatu hivi


Kuna mtu mwenye akili timamu apoteze bundle lake kumsikiliza Chakubanga?

Unachekesha kweli.

Mods kuna mchezo wa kuedit comment zetu umeanza fuatilieni.
 
Huyu maalim si kapewa azabu na tume huyu. Asijaribu kutafuta matatizo hata kidogo
 
upinge muungano kivipi umetoa ajira maelfu kwa wazanzibari wizara ya mambo ya ndani na jeshini

Wazanzibari wapenda muungano ni wengi kuliko wasioupenda

Wazanzibar wasioupenda muungano ni viongozi wa kisiasa wa zanzibar wa upinzani ambao hutafuta tu kura wakishinda huwasikii tena wakiongelea muungano.Seif alikuwa makamu wa Raisi wa ZANZIBAR alipopata umakamu akaufyata kimya hakuongelea muungano tena

Pia kwa Tanzania bara wasiotaka muungano ni viongozi wa upinzani tu akina Lisu wakitafuta tu gia ya kura kwa wanasiasa wenzao wa Zanzibar .Mtanzania bara wa kawaida wala hana shida na muungano

Lisu na maalim seif muungano wao ni wa viongozi wa siasa sio wanachama asubiri tarehe 28 october aone atakavyonyolewa

Asikilize hii clip ndio atajua zanzibar atanyolewa asikilize kuanzia mwanzo hadi dakika ya tatu hivi


Zimebakia dakika chache uwe kichaa lazima dose iongezwe ilikuziia hiyo hali isitokee tafadhali wakati wa sindano usikate uno
 
upinge muungano kivipi umetoa ajira maelfu kwa wazanzibari wizara ya mambo ya ndani na jeshini

Wazanzibari wapenda muungano ni wengi kuliko wasioupenda

Wazanzibar wasioupenda muungano ni viongozi wa kisiasa wa zanzibar wa upinzani ambao hutafuta tu kura wakishinda huwasikii tena wakiongelea muungano.Seif alikuwa makamu wa Raisi wa ZANZIBAR alipopata umakamu akaufyata kimya hakuongelea muungano tena

Pia kwa Tanzania bara wasiotaka muungano ni viongozi wa upinzani tu akina Lisu wakitafuta tu gia ya kura kwa wanasiasa wenzao wa Zanzibar .Mtanzania bara wa kawaida wala hana shida na muungano

Lisu na maalim seif muungano wao ni wa viongozi wa siasa sio wanachama asubiri tarehe 28 october aone atakavyonyolewa

Asikilize hii clip ndio atajua zanzibar atanyolewa asikilize kuanzia mwanzo hadi dakika ya tatu hivi


Sijaelewa unachomaanisha, kwani anayetoa kura za uongozi ni viongozi wachache wasioutaka muungano au RAIA wengi wanaoutaka muungano? Iweje viongozi wa upinzani waseme hawataki muungano ili tu wapate kura kutoka kwa raia wengi wanaoutaka muungano?
 
Subpost 4 - @tunduantiphaslissu , Mgombea Urais wa JMT kupitia Chadema pamoja na ( 480 X 640 ).jpg
Subpost 2 - @tunduantiphaslissu , Mgombea Urais wa JMT kupitia Chadema pamoja na ( 480 X 640 ).jpg
 
Back
Top Bottom