Zanzibar 2020 Yaliyojiri Tibirizi, Pemba mkutano wa kufunga kampeni ya Maalim Seif. Tundu Lissu ahudhuria

Today is a turning point to all.
t
 
Kuna watu wakisikia neno HAKI roho zinawapasuka!! hawa waulizwe kwa nini neno hili likitajwa wanaungua moto ndani ya mioyo yao? je wamefanyanya nini?

wao wanataka kusikia AMANI tu, ila HAKI hapana, haiwahusu..... hao kaa nao mbali ewe Mtanzania.
 
Sijaelewa unachomaanisha, kwani anayetoa kura za uongozi ni viongozi wachache wasioutaka muungano au RAIA wengi wanaoutaka muungano? Iweje viongozi wa upinzani waseme hawataki muungano ili tu wapate kura kutoka kwa raia wengi wanaoutaka muungano?
Ndio ushangae Tanzania bara wengi wanataka muungano Zanzibar pia halafu utashangaa kuona upinzani wanaongelea kupinga muungano nawanagombea uraisi wa muungano fikiria mtu kama Lisu akili zimo kweli anagombea uraisi wa muungano Halafu anasema haitaki muungano kuna kura za wapenda muungano atazipata kweli
 
Maalimu Seif si mgombea tena wa kiti cha urais,
 
Wazanzibari hawataki hata kuusikia huyu Muungano..

Aliebakia kujipendekeza kwa Muungano ni wewe tu

Hata Aboud Jumbe Mwinyi raisi wa Pili wa Zanzibar aliukataa
 

Attachments

  • IMG_20201022_140020.jpg
    113.7 KB · Views: 3
Leo CCM Nchi Nzima Masikio Ni Pemba Kujua Nini Kinakwenda Kuongelewa, Kesho Utasikia Pole Pole Anaongea Na Wana Habari Kupooza Joto
Pemba huijui ni ngome ya vyama vinne kuna CCM Pemba ndiko alikozaliwa Raisi Mohamed Shein na ndiko alikozaliwa mama Siti Mwinyi mama yake mgombea uraisi wa sasa wa Zanzibar Hussain Mwinyi pili Pemba ni ngome ya chama cha CUF cha Lipumba tatu Pemba ni ngome ya chama cha ADC cha Hamad Rashid Mohammed kimeshatoa hadi waziri wa serikali ya Zanzibar Kule cha nne ni ACT Maalim Seif Pemba atashindwa mapema tu asubuhi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…