Leo ni siku ya nne bwana ni kuanzia jumatano na mwisho ni jumanne kwa mujibu wa katiba yao, ndani ya siku 7 baada ya tarehe ya uchaguzi.Nimekupata mkuu, ila Kwa Zama hizi siku ya Tano hii Leo uhakiki tu, vituo 46000 tu, we huon kama matokeo yanatolewa upya hiv
Yeah yuko sawa.
Hahahaha aproxmtn huwa ni 50%Mimi nilipiga kwa calculator mmoja anapata 50.... mwingine anapata 49.......
Nimefanya mwenyewe napata hivyo hivyo.
Ukipata 49.99999999999 hata uroge vipi inabakia kuwa na 49 and hence below the deciding line!!
Yupo sawa, ni suala la approximations, na ipo into two decimal places.
Kila kituo kina kura za vyeo sita vinahezabiwa, i.e Gavana, Mbunge, seneta, rais, mwakilishi wa wadi, mwakilishi wa wanawake... hio tayari huchukua masaa 24 baada ya kituo kufungwa... Zikiisha PO wa kituo anazisafirisha mabox na fomu hadi HQ ya eneo bunge lake na kuzipatia mkubwa wa IEBC wa bunge aneitwa RO, PO akifika kwa RO anapata laini kubwa ya kila PO anaregesha mabox sita na form zake hio laini itaisha baada ya masaa 12 angalau, ikitoka hapo RO anahezabu matokeo ya kila cheo, na kujumlisha, yani kama ni mbunge anahesabu matokeo ya form zote kwahivyo kama form za eneo bunge ni 300, basi kila fomu lazima aipitie na kuandika hayo majibu kwa kila cheo kwahivyo hizo ni form 300 * 6 = 1,800 forms, hii nayo ni kama siku mbili angalau ndo atakua amemaliza hesabu yote kisha atangaze mshindi wa eneo bunge na wawakilishi wa wadi...Nimekupata mkuu, ila Kwa Zama hizi siku ya Tano hii Leo uhakiki tu, vituo 46000 tu, we huon kama matokeo yanatolewa upya hiv
Hawa watu wakati mwingine wanatengeza ujinga tu,Siasa za Kenya hazina adui wala rafiki wa milele
2002-Kibaki & Raila vs Uhuru & Ruto
2007-Kibaki & Uhuru vs Raila & Ruto
2013-Uhuru & Ruto vs Raila
2022-Uhuru & Raila vs Ruto
Taarifa rasmi ya leo mchana IEBC imethibitisha kuzipokea hard copy zote za forms 34A na 34B. Na hizo ndo zilizobeba hatima ya matokeo ya Uchaguzi.Na kama hard copy hazikufika kwa namna yoyote ile itakuwaje ?
Kinachofqnyika kule inqtafutwa droo. Utaona tuVyanzo vipi? Ingia Porral ya tume ya uchaguzi kule wana kila kitu jumlisha utajua nani mashindi, kuna forma 34A iko pale.
We jamaa ulikuwa unamsaidia chebukatiMimi nilipiga kwa calculator mmoja anapata 50.... mwingine anapata 49.......
Nimefanya mwenyewe napata hivyo hivyo.
Ukipata 49.99999999999 hata uroge vipi inabakia kuwa na 49 and hence below the deciding line!!
Sahau HiloMzee wa babacare keshachukua nchi
Hawa sidhani,hawa wanafuata upepo tuMi nafkiri hazina ideology. Ni mara chache sana hutokea kwa mpinzani wa ideology yavchama fulani kuhamia chama chenye ideology nyingine. Ila wakenya huwaza madaraka na kutimiza ndoto za kihistoria pasi na kujali msingi wa ideology inayoongoza chama fulani. Ama wote wapo ktk ideology moja?
Sawa hata kama utasema hivyo, lakini hii ujumlisho unaofanywa sahii ndo unatambulika kisheriaSasa si ndio hivyo wanafanya verification ambayo ni inahusisha kujumlisha tena upya
Hawana Lolote ilikuwa Danganya Toto tuNaona wakenya walianza vizuri Sasa hivi siwaelewi
Hapana. Mudavadi alikuwa kwenye muungano wa NASAMuda
Mudavadi 2017 aligombea urais mwenyewe na akwa mshindi wa tatu.Acha Kutudanganya bna. Umeanza kufuatilia siasa za Kenya Leo??
Kama vipi tuwaazime Jecha aende amalize mchezo dk ya 89.Hawana Lolote ilikuwa Danganya Toto tu
Kuna nini Tena tujuzeHaya wale waliokuwa pro Ruto kujeni hapa laleni chini tuwachape mboko kwa kutusumbua na ubishi wenu wa kijinga.