Akili huna! Jin la Jecha ulilijua mwaka gani? Kuna jina maarufu lililotokana na harakati za uchaguzi zaidi ya jina la Jecha?Uchaguzi wa 2010 au 2015 zilikuwa na kasoro, lakini unazifananisha na ule wa 2020?
Labda kama unajivua tu akili kumtetea Magufuli ama hujui ilivyokuwa
Baba hapo Presha inapanda inashukaMkuu hii ni latest Ruto tayari kashashindaView attachment 2324101
Hata spunda alilalamika kuibiwa kura zakeWewe ndiyo unajitoa akili,kuna uchaguzi wowote ambao ulishakuwa fair? 2010 unasahau vipi jinsi Dr Slaa akiwa mgombea wa CDM alivyolalamika wazi kuibiwa kura zake? 2015 kina Nape mpaka wakawa wanatamba hadharani kupiga goal la mkono au umesahau? Unadhani kwaninj watu wanataka kuwe na Tume huru ya uchaguzi? Badala kuliangalia tatizo katika upana wake wewe unaelekeza matatizo yako kwa mtu mmoja.Sasa kama JPM ndiyo alikuwa tatizo katika uchaguzi si ameshakufa na tatizo limekwisha kuna haja gani sasa ya watu bado kuendelea kudai tume huru ya uchaguzi kama mawazo yako wewe ni kuona tatizo alikuwa JPM na si mfumo mzima wa jinsi uchaguzi unavyoendeshwa hapa kwetu.
Hii ya zamani. Ila Majibu ni Ruto kashinda au ngoma itakuwa hakuna aliyefikisha 50% na uchaguzi kurudiwa.Mkuu hii ni latest Ruto tayari kashashindaView attachment 2324101
Kuna jambo ambalo nashindwa kukubali kabisa kwamba Ruto ndio mshindi.....Hii ya zamani. Ila Majibu ni Ruto kashinda au ngoma itakuwa hakuna aliyefikisha 50% na uchaguzi kurudiwa.
Hapana besti nimescreen shot kutoka NTV live.Hii ya zamani. Ila Majibu ni Ruto kashinda au ngoma itakuwa hakuna aliyefikisha 50% na uchaguzi kurudiwa.
Kuna kila dalili ya kushinda kwa Ruto.... Hizi ni Official IEBC Results as of now..Hii ya zamani. Ila Majibu ni Ruto kashinda au ngoma itakuwa hakuna aliyefikisha 50% na uchaguzi kurudiwa.
Hauoni hapo bado constituencies kama 50?Hapana besti nimescreen shot kutoka NTV live.
Hahahahaaa.... Kudadadeki... Politics.. Ni noma sana...These people can't be trusted View attachment 2322325
Tumeshaandaa na Kirikuu ya kubeba mizigo ya Ruto kumpeleka Sugoi akachunge ng'ombe wake.Pale State house tunameshapaint blue.Mkuu take it easy, rest and take a sip of cold water while we are waiting for the komfameshen of President Ruto win
Hizo 50 hazitabadilisha kitu. Ni kidogo mno. Dah Samoei tayari.Hauoni hapo bado constituencies kama 50?
Wewe na mimi tuna mtizamo sawa kabisa.Kuna watu hapa hasa Maghayo hawatoamini kile kinakwenda kutokea leo.Kuna jambo ambalo nashindwa kukubali kabisa kwamba Ruto ndio mshindi.....
Watabiri waliona Raila atafia madarakani , matha atafata...then ndio aje Ruto.
Sasa inakuwaje Raila ashindwe? Au ndio yale ya Mkapa kuachiwa nafasi na kikwete?
Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
Pia fahamu kwa sasa ndiyo wanaanza kuverify stronghold za RAO.Hiyo gap unayoiona inakwenda kufutika haraka sana.Kuna kila dalili ya kushinda kwa Ruto.... Hizi ni Official IEBC Results as of now..
View attachment 2324138
Uchaguzi wa 2015 nimesema ulikuwa na dosari, hata hivyo ulikuwa na uwazi mkubwa na haki ukilinganisha na wa 2020 ambapo Magufuli kwa kujua unyama na aibu aliyofanya alizima mitandao yoteAkili huna! Jin la Jecha ulilijua mwaka gani? Kuna jina maarufu lililotokana na harakati za uchaguzi zaidi ya jina la Jecha?
Unapaswa kujua kwa sasa ndiyo wanaverify stronghold za Mzee Raila.Ukae hapo hapo uendelee kuangalia kibao kinavyogeukaHizo 50 hazitabadilisha kitu. Ni kidogo mno. Dah Samoei tayari.
What a relief
OkUnajivua akili kwa kuwa wewe ni mfuasi wa jiwe, nimesema chaguzi za 2010 na 2015 zote zilikuwa na dosari, wapinzani walipata haki zao kiasi
Lakini uchaguzi wa 2020 sijui hata kama unafaa kuitwa uchaguzi, ni kama ule uchaguzi wa serikali za mitaa 2019 ambao 70ya wagombea wa upinzani walienguliwa kwa kutokujua kusoma
Ohh dear lord forbid. Ruto aliliaga kabisa kwenye maombi. Mungu hawezi kumuachia. Bro kubali baba yenu keshaangukia pua.Unapaswa kujua kwa sasa ndiyo wanaverify stronghold za Mzee Raila.Ukae hapo hapo uendelee kuangalia kibao kinavyogeuka
ukiangalia hapo imefika 50% + 1 ?Mkuu hii ni latest Ruto tayari kashashindaView attachment 2324101
Sasa leo utamsaidia kulia zaidi.Tulia kwa TV uone number zinavyokwenda kubadirika kwa kasi.Walianza na stronghold za Ruto na ndizo zimewafanya muwe na matumaini,sasa hivi zinakuja za RAO.Ohh dear lord forbid. Ruto aliliaga kabisa kwenye maombi. Mungu hawezi kumuachia. Bro kubali baba yenu keshaangukia pua.