Tz hakuna kitu kinaitwa uchaguzAmbacho huwa kinanifurahisha Kenya,no Wananchi they don't care about Chama wenyewe wanaangalia Jina LA mgombea.
Chama kinaundwa miezi 7 au mwaka kabla ya uchaguzi na kinaibuka kidedea.Vilevile,hivyo vyama unakuta vinaungana katibu 3-5 na kuunda chama kimoja ,sasa huku Tanzania kila kiongozi was chama amejaa ubinafsi kuungana imekuwa tatizo.
Wengine tumejua haya 4 days ago.Ni yeyeeeeeeeeee
Hongera sana Rais wa Kenya
Hongera W.S. Rutto
Utalia sshv wewe is a matter of minuteKwani hawajahesabu huko? Hivi hao majamaa ya tume yanahesabu vipi haya matokeo? Na hizo county zilizosalia ni strong hold za baba?
[emoji3][emoji3] muda si mrefu kuna watakaolia na watakaochekaKama wewe unavyojipa faraja eti
Siyo ubinafs mkuu. CCM inatumia Dola wasiungane. Hata kuanzisha tu chama kipya CCM hawakubali.Ambacho huwa kinanifurahisha Kenya,no Wananchi they don't care about Chama wenyewe wanaangalia Jina LA mgombea.
Chama kinaundwa miezi 7 au mwaka kabla ya uchaguzi na kinaibuka kidedea.Vilevile,hivyo vyama unakuta vinaungana katibu 3-5 na kuunda chama kimoja ,sasa huku Tanzania kila kiongozi was chama amejaa ubinafsi kuungana imekuwa tatizo.
Kura million na ushee hazibadili kitu ?Hizo 50 hazitabadilisha kitu. Ni kidogo mno. Dah Samoei tayari.
What a relief
Ni RutoKila la kheri majirani...
Kidogo sana. Ruto tayari ni mshindi 51%Kura million na ushee hazibadili kitu ?
Mkuu Nakuonea huruma sana. Yani Bado unajipa moyo tu na matokeo Yako wazi Ruto anaongoza 51%[emoji3][emoji3] muda si mrefu kuna watakaolia na watakaocheka
Tunakuja 2025, ndugu Kama uchaguzi utafanyika , LAZIMA twende sawa ,atakae shinda kihalali tutamuunga mkono bila kujali ni wa chama GANI, binafsi Sina shida na chama chochote Kama kinashinda KWA hakiNapenda sana ujasiri mlionao wa kushauri kwa majirani maswala ya uchaguzi.Huu ujasiri mgeutumia na hapa kwetu kina Mahela wasingekuwa wanatuchezesha sindimba na wote tunakaa kimya tunabaki kulalama hapa JF
BBC wanatoa wapi matokeo huku Tume haijatangaza??Ukiingia bbc saiv
ruto 6,941,345
Odinga- 6,608,794
Hii kitu mbona inachezewa Kama karangaUkiingia bbc saiv
ruto 6,941,345
Odinga- 6,608,794
Kwa mfumo waliyojiwekea huku ccm haingoki mzeeWamtangaze Ruto mchezo uishe, mwaka 2025 ni zamu ya CCM kung'oka na majambazi yake