Dunia hii kunawatu wameteseka sana wiki hii . vuta picha wiki hii imepitaje kwa mtu ambaye ni shabiki wa simba ππ, wakati huohuo ni shabiki wa man u ππ tena alikuwa anamuunga mkono Raila Odinga πππ. Pole sana cocastic,Nitoe pole kwa timu RAO. Kwa kipekee nina pole yake #cocastic# ameonyesha huruma ya ndani sana.
Ukweli nimemtengea kitu
Ni mkweli moyoni.
Na ndipo maana Lowasa akachukuliwa na Chadema walimwita fisadi kwa miaka zaidi ya mitano.Mkuu,naona unajaribu kulinganisha watu tofauti kabisa na mazingira tofauti, yani maji na mafuta.
Kwanza Lowassa alikuwa amekwishatupwa nje ya mfumo kitambo sana, vipi Uhuru alikuwa amemtupa Ruto nje ya mfumo?
UhuRuto walikuwa na mpango wa kupishana Ikulu kama marafiki au washirika, unadhani Wakenya wangekubali huo ujinga? Wangepigana na kuuana.
Unadhani ni kwanini Wakenya wamemkataa Raila? Huoni kwamba Ruto ameshinda kwa kura za hasira kwasababu walikuwa wanamuona Babu Raila ni ProjectUhuru?
Nakurudisha Tanzania, hivi unajua ni kwanini WanaCCM na hata Watanzania walikuwa wanamchukia Membe?π
Nakurudisha tena Tanzania, unaamini kabisa Magufuli alimshinda Lowassa 2015?π
Naomba nikuache ujinyonge na kamba uliyojinunulia.
Nawapeni ukweli mnaona nahangaika nakwambia hivi tena narudia RAO is going to be declared as the president of Kenya. Hutaki unapita vile kiroho safi
Baba yao kapigwaWengi tulisema na hata sasa tunasema. Kama hujaona umuhimu wa hii tume kuwa huru basi wewe ni bongo lala.
State sio Kama nyumbani kwakwe, akijifanya anajua yatamtokea puani ,lazima afuate taratibu ,pamoja na ukwasi Trump ila alikaa,Ila huyu Ruto watanzania tutakoma. Kile kiburi chetu cha kugoma kuwauzia mahindi sijui kitaendelea vipi. Ruto inasemekana ni mkulima wa mahindi mkubwa sana ameshika maeneo Kongo DR na anajinasibu watanzania tukigoma stock anayo. Shida inakuja atayapitishia wapi maana Uganda my wetu anaweza mbania sana. Natamani JPM angekuwepo nikashuhudia ligi ya JPM na RUTO hakika tungekunjana mashati na wakenya day uno. Nawasi wasi PAKA yeye atamsapoti Ruto ambaye namuona ni Muhima kutoka Rift Valley.
You are right.Bado naamini huu ni mchezo wa Intelijensia ya Kenya.
Kilichowakera Wakenya ni wao kumuona Raila kama project ya Uhuru mkuu. Hata hiyo ya kumpigia kampeni inawezekana ni ushauri wa Intelijensia yao ili kuwakwaza zaidi Wakenya. Na ilifanikiwa kwa 100% maana watu walianza kumuunga mkono Ruto ili kumkomoa Uhuru.
Mimi naweza kukupigia wewe kampeni lakini ndani kwa ndani namuunga mkono mgombea mwingine kabisa.
Kwakuwa najua watu wanaichukia serikali yangu,nikikuunga mkono wewe watu watakuchukia na wewe pia, huoni hiyo sayansi?π
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Tuachie muhandsome wetu
Handsome sana jamaa..halafu kijana yaani hazeeki.Ruto nae ni mhendisamu?
Aisee kweli nimeamini beauty lies in the eyes of the beholder.
Anasali kanisa la AIC(Kenya)Ruto n dhehebu gani?
Wavaa kobazi hawataniacha salama hapa.
Sent from my Infinix X665B using JamiiForums mobile app
Tuondoke auntie twende kwetu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tuondoke hapa....
Sidhani. Kenyatta hakuwa anachukiwa kiasi hiki. Wakikuyu ndiyo wamesababisha. Angekuwa ni mkikuyu mwenzao wangempigia kwa wingi. BTW ujue kilichofanya matokeo yawe hivyo ni watu hasa vijana kutojitokeza kwa wingi kupiga kura.Bado naamini huu ni mchezo wa Intelijensia ya Kenya.
Kilichowakera Wakenya ni wao kumuona Raila kama project ya Uhuru mkuu. Hata hiyo ya kumpigia kampeni inawezekana ni ushauri wa Intelijensia yao ili kuwakwaza zaidi Wakenya...
Sawa Auntie....Tuondoke auntie twende kwetu
Watu wengi hawajui hii fact: i.e. kutopiga kura kuna impact kama kupiga kura. Huwa nawasikia watu wakati wa uchaguzi wanasema siendi kupiga kura wasijui kutopiga kwao kura kunafanya mgombea wasiyemtaka apite kirahisi. Hapa na assume uchaguzi ni huru kama ilivyokuwa Kenya.You are right.
Not yet. Subiri tujiulizeBaba yao kapigwa