Kenya 2022 Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa Kenya: William Ruto ashinda kiti cha Urais, apata 50.49% ya kura

Kenya 2022 Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa Kenya: William Ruto ashinda kiti cha Urais, apata 50.49% ya kura

Kenya 2022 General Election
Nitoe pole kwa timu RAO. Kwa kipekee nina pole yake #cocastic# ameonyesha huruma ya ndani sana.
Ukweli nimemtengea kitu
Ni mkweli moyoni.
Dunia hii kunawatu wameteseka sana wiki hii . vuta picha wiki hii imepitaje kwa mtu ambaye ni shabiki wa simba 😂😂, wakati huohuo ni shabiki wa man u 😂😂 tena alikuwa anamuunga mkono Raila Odinga 😂😂😂. Pole sana cocastic,
 
Mkuu,naona unajaribu kulinganisha watu tofauti kabisa na mazingira tofauti, yani maji na mafuta.

Kwanza Lowassa alikuwa amekwishatupwa nje ya mfumo kitambo sana, vipi Uhuru alikuwa amemtupa Ruto nje ya mfumo?

UhuRuto walikuwa na mpango wa kupishana Ikulu kama marafiki au washirika, unadhani Wakenya wangekubali huo ujinga? Wangepigana na kuuana.

Unadhani ni kwanini Wakenya wamemkataa Raila? Huoni kwamba Ruto ameshinda kwa kura za hasira kwasababu walikuwa wanamuona Babu Raila ni ProjectUhuru?

Nakurudisha Tanzania, hivi unajua ni kwanini WanaCCM na hata Watanzania walikuwa wanamchukia Membe?😂

Nakurudisha tena Tanzania, unaamini kabisa Magufuli alimshinda Lowassa 2015?😂

Naomba nikuache ujinyonge na kamba uliyojinunulia.

Na ndipo maana Lowasa akachukuliwa na Chadema walimwita fisadi kwa miaka zaidi ya mitano.

Hapo ndipo utajua hatufanani na Kenya upinzani huku kwetu hawajui wanataka nini, walichokuwa wanakifanya 2015 ni sawa ya kuamisha hela kutoka mfuko wa kushoto na kuiweka mfuko wa kulia wa suruali ya CCM.
 
Ila huyu Ruto watanzania tutakoma. Kile kiburi chetu cha kugoma kuwauzia mahindi sijui kitaendelea vipi. Ruto inasemekana ni mkulima wa mahindi mkubwa sana ameshika maeneo Kongo DR na anajinasibu watanzania tukigoma stock anayo. Shida inakuja atayapitishia wapi maana Uganda my wetu anaweza mbania sana. Natamani JPM angekuwepo nikashuhudia ligi ya JPM na RUTO hakika tungekunjana mashati na wakenya day uno. Nawasi wasi PAKA yeye atamsapoti Ruto ambaye namuona ni Muhima kutoka Rift Valley.
State sio Kama nyumbani kwakwe, akijifanya anajua yatamtokea puani ,lazima afuate taratibu ,pamoja na ukwasi Trump ila alikaa,
 
Bado naamini huu ni mchezo wa Intelijensia ya Kenya.

Kilichowakera Wakenya ni wao kumuona Raila kama project ya Uhuru mkuu. Hata hiyo ya kumpigia kampeni inawezekana ni ushauri wa Intelijensia yao ili kuwakwaza zaidi Wakenya. Na ilifanikiwa kwa 100% maana watu walianza kumuunga mkono Ruto ili kumkomoa Uhuru.

Mimi naweza kukupigia wewe kampeni lakini ndani kwa ndani namuunga mkono mgombea mwingine kabisa.

Kwakuwa najua watu wanaichukia serikali yangu,nikikuunga mkono wewe watu watakuchukia na wewe pia, huoni hiyo sayansi?😂
You are right.
 
Just Give up on some issues don't force.....ndicho nilichojifunza kutoka kwa Mzee wangu hapa
Screenshot_20220815-193657.jpg
 
Just Give up on some issues don't force.....ndicho nilichojifunza kutoka kwa Mzee wangu hapa
Screenshot_20220815-193657.jpg
 
Bado naamini huu ni mchezo wa Intelijensia ya Kenya.

Kilichowakera Wakenya ni wao kumuona Raila kama project ya Uhuru mkuu. Hata hiyo ya kumpigia kampeni inawezekana ni ushauri wa Intelijensia yao ili kuwakwaza zaidi Wakenya...
Sidhani. Kenyatta hakuwa anachukiwa kiasi hiki. Wakikuyu ndiyo wamesababisha. Angekuwa ni mkikuyu mwenzao wangempigia kwa wingi. BTW ujue kilichofanya matokeo yawe hivyo ni watu hasa vijana kutojitokeza kwa wingi kupiga kura.
 
You are right.
Watu wengi hawajui hii fact: i.e. kutopiga kura kuna impact kama kupiga kura. Huwa nawasikia watu wakati wa uchaguzi wanasema siendi kupiga kura wasijui kutopiga kwao kura kunafanya mgombea wasiyemtaka apite kirahisi. Hapa na assume uchaguzi ni huru kama ilivyokuwa Kenya.
 
Back
Top Bottom