Kenya 2022 Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa Kenya: William Ruto ashinda kiti cha Urais, apata 50.49% ya kura

Kenya 2022 General Election
Huwa mnachekesha sana mnadai upinzani wahuni sasa kivipi kina Silinde, Shonza, Mollel, Mkumbo, Gekul, na waitara n.k walipokuja huko mliwapa uwaziri? Au wanakua wahuni wakiwa na magwanda ila wanageuka malaika wakivaa kijani??

Kwahiyo mafisadi yaliyojazana CCM kama Rostam na wenzie hao ndio wasafi?
 
[emoji3][emoji3] kwetu hapa ukiachwa tu kwa kura 2000 asubuhi basi hesabu maumivu,maana baada ya masaa kadhaa zinakuwa 2M gap
 
Citizen tv may begin tallying votes from Narok,Ntv begin from migori, KTN begin from Nyeri, will you expect the numbers to be the same, they will be same at the end of the total tally,,,
ok i have understood
 
Yani myebusi acha tu. Naanza kushikwa na panic attack. Bora ningetulia tu nakufuatilia comments tu za watu. Sasa stress zimenisonga. Ila I get comfort kutoka "kitu Cha Arusha". Najua Ruto ataibuka mshindi na wote tutafurahi.
Hahahhah kitu cha arusha kisa matokeo ?? Kula kitu kwa afya sio kwa stress
 
Huku meza ikigeuka never again igeuke na kupinduka till u became a normal citizen.
 
Jamani naombeni yeyote mwenye reliable source ya haya matokeo. I wish NTV updates are the correct one. Kwasababu moyo unapenda mbio. Ntafurahi Sana Ruto akiibuka mshindi
Ruto hana mahusiano mazuri, ana dharau sana kama wale wakikuyu wa zamani waliokuwa wanajiona ni black muzungu. Huyu sina taarifa yoyote ya kuvuka mpaka na kutembelea 🇹🇿 Kama baba ambaye tunamwona ni mwenzetu

Juzi juzi alitoa maneno ya dhihaka kwa member mwenzetu wa jumuia ya afrika mashariki🇨🇩

Huyu atavunja na kuuvuruga ushirikiano wa afrika mashariki. Bora babu hana noma na mtu. Huyu Ruto ukimfuatilia hotuba zake ni kama na yeye anavuta kitu ya WAJAKOYA
 
Mpaka kufikia saa 4:10 usiku huu, Naibu Rais William Ruto alikuwa akiongoza katika kura zilizotangazwa na Nation Media kwa kura 3,926,485 (49.93%) dhidi ya Raila Odinga aliyepata kura 3,884,826 (49.44%).
-
Mgombea Urais wa chama cha Roots alikuwa na kura 34,173 (0.44%) na David Mwaure Waihiga wa Chama cha Agano akiwa na kura 17,941 (0.23%).
-
Haya ni matokeo Kura za vituo 25,240 kati ya 46,229 vilivyohesabiwa ambapo jumla ya kura 7,863,682.

-----------

Wondering why different media houses have different tallies for the presidential election results?

Here, the Daily Nation breaks down why that might be.

Following the unprecedented move by the Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC) to allow media houses, political parties, civil society groups and the general public to do their own tallies of the August 9 General Election result, different actors have mobilised resources to undertake the massive tallying at the heart of Kenya’s democracy.

NATION MEDIA
 
Yani myebusi acha tu. Naanza kushikwa na panic attack. Bora ningetulia tu nakufuatilia comments tu za watu. Sasa stress zimenisonga. Ila I get comfort kutoka "kitu Cha Arusha". Najua Ruto ataibuka mshindi na wote tutafurahi.

Rutto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…