ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Tanzania tuna la kujifunza hapa.
Tume huru ya uchaguzi is key.
Mahakama huru.
Haiwezekani raisi ambaye ni mgombea awe na mamlaka ya kuteua kila mtu kuanzia mwenyekiti wa tume ya uchaguzi hadi wasimamizi kwenye majimbo...that's unfair na ccm wanatumia ujinga wetu kujikita kileleni.
Tume huru ya uchaguzi is key.
Mahakama huru.
Haiwezekani raisi ambaye ni mgombea awe na mamlaka ya kuteua kila mtu kuanzia mwenyekiti wa tume ya uchaguzi hadi wasimamizi kwenye majimbo...that's unfair na ccm wanatumia ujinga wetu kujikita kileleni.