Hii ni nzuri sana kuliko kila wakati mtu kuwa identified kwa Chama.Nimefurahi kuona kumbe kenya kuna wagombea huru.
Ndio maana kuna mtu alitugeuza mazuzu, speech ya Mr. Kikwete now anaongea vitu tofauti kabisa na hali halisi tuliyonao hapa nchini, kudos kwa Kenya mmeonyesha democracy inawezekanaTanzania tuna la kujifunza hapa.
Tume huru ya uchaguzi is key.
Mahakama huru.
Haiwezekani raisi ambaye ni mgombea awe na mamlaka ya kuteua kila mtu kuanzia mwenyekiti wa tume ya uchaguzi hadi wasimamizi kwenye majimbo...that's unfair na ccm wanatumia ujinga wetu kujikita kileleni.
Yes kuna independent candidates, welldone kwaoNimefurahi kuona kumbe kenya kuna wagombea huru.
Jaman jaman[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Raila huyu baba ashinde niwe na amani, namuonea huruma mnoo, wampe hata muhula m1 aridhike na yeye.
Ushindani wa nini.Visa na mikasa ndivyo vinavyotawala.Pesa zinapotea bure.Tuunde utaratabu wetu mbali kabisa na demokrasia ndipo tutafanikiwa.Transparency kwenye huo uchaguzi wa Kenya,ndiyo imefanya uchaguzi ukawa mkali hivyo,la sivyo,ingepitishwa sheria kama huku kwetu kua ni TUME tu ndiyo ina idhini ya kuhesabu,hakika faulo ingefanyika.Heko Kenya,CCM ijiandae kikamilifu,miaka ya mbele,hii hali italazimika kufanyika,na hapo,ushindani utakua mkali sana.
ndy maan nimekwambia uchaguz ukipita nitakuja pm tuyajenge jaman😘Kheeeeeeh, wee watu tuko buzzy na uchaguzi hapa.
Wazo zuri ila kufikia huko ni efforts ya watanzania wote, tusitegemee watanzania wengine watupiganie wakati sisi tupo kwenye ukunguruTransparency kwenye huo uchaguzi wa Kenya,ndiyo imefanya uchaguzi ukawa mkali hivyo,la sivyo,ingepitishwa sheria kama huku kwetu kua ni TUME tu ndiyo ina idhini ya kuhesabu,hakika faulo ingefanyika.Heko Kenya,CCM ijiandae kikamilifu,miaka ya mbele,hii hali italazimika kufanyika,na hapo,ushindani utakua mkali sana.
kwani mkuu hapo si kenya kwani ni tanzania. anahoji maana sheri ya huko inatakiwa wawepo hivyo ana sababu ya msingi na wewe acha unafiki sio lazima unachokifanya ugenini ukifanye na nyumbani......Mr.kikwete amelaumu why party observers wa wagombea waliwekwa mbali na vituo vya kupigia kura!,unafiki mwingine mpaka unakera, Mr.kikwete wewe uliruhusu hili lifanyike hapa kwenye chaguzi zetu?au ndio unafiki wa PR kwenye world media
Kwan kipindi MOI anamnadi Uhuru na Mwai Kibaki akachukua nchi MOI aibu aliiweka wapi?Kama ilivyooneshwa citizen portal ikaenda hivyo nadhani Ruto anaelekea kuchukua nchi na ikiwa hivyo sijui aibu Uhuru ataiweka wapi. Na je what if ilikuwa ni janja yao na Ruto kum-fool Odinga? Maswali yatakuwa mengi. Tusubiri tuone.
Huwezi kujifanya unaheshimu rule of law wakati wewe ndio dictator mkubwa, na why Mr kikwete alikwenda Kenya Sina idea yeyote, hakuna alichokifanya na Kenya wapo Safi sasa kidemokracia, heshima kwaokwani mkuu hapo si kenya kwani ni tanzania. anahoji maana sheri ya huko inatakiwa wawepo hivyo ana sababu ya msingi na wewe acha unafiki sio lazima unachokifanya ugenini ukifanye na nyumbani.
Hata Kikwete kawapongeza kwa hili wakati hapa nchini kuna kipindi Mtikila alipigania sana hili la kuwepo wagombea huru lakini wapi. Hivi hawa CCM wanatuchukulia poa sana.Yes kuna independent candidates, welldone kwao
Yaani Kenya imekuwa mfano mzuri kwa Africa nzima.Transparency kwenye huo uchaguzi wa Kenya,ndiyo imefanya uchaguzi ukawa mkali hivyo,la sivyo,ingepitishwa sheria kama huku kwetu kua ni TUME tu ndiyo ina idhini ya kuhesabu,hakika faulo ingefanyika.Heko Kenya,CCM ijiandae kikamilifu,miaka ya mbele,hii hali italazimika kufanyika,na hapo,ushindani utakua mkali sana.
kama imekuuma yeye kuongea hivyo kampigeHuwezi kujifanya unaheshimu rule of law wakati wewe ndio dictator mkubwa, na why Mr kikwete alikwenda Kenya Sina idea yeyote, hakuna alichokifanya na Kenya wapo Safi sasa kidemokracia, heshima kwao