Prakatatumba abaabaabaa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2022
- 1,842
- 6,087
Unaongea kitu ambacjo hukijui, kwahiyo ruto nani kakwambia ruto anayo hofu ya Mungu, mwenye hofu ya Mungu ni Yul mchingaji aliyeshika nafasi ya mwisho anaezidiwa na mvuta bangi.Pole ya nini,dunia inaenda shikwa na watu wenye hofu ya Mungu,Ruto anawatoa jasho huko ππ
Bado Tanzania sasa mjiandae mabadiliko
Ruto alikuwa pia kwe team ya Moi ya kufanya wizi wa kura. Ruto mwizi tu.Unaongea kitu ambacjo hukijui, kwahiyo ruto nani kakwambia ruto anayo hofu ya Mungu, mwenye hofu ya Mungu ni Yul mchingaji aliyeshika nafasi ya mwisho anaezidiwa na mvuta bangi.
Ruto huyu ambae enzi za mwai kibaki na doing alikua mgombea mweza wa odinga, akimwambia asikubali kusaini matokeo hata watu wakiuana, sasahiv unasema anayo hofu ya Mungu
Kwa kweli yaan, ashinde Odinga.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Jamani tuko wengi tu mbona tunaoteseka, huyu baba ashinde tu kwa kweli
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ Pole mimi mwenzio nakula kidogo kidogo huku nasikiliziaYaan Odinga ashinde haraka mnooo, niweze kula chakula, maana hata hamu ya kula imekata.
Na ndie alie chochea kwa UN wakati wa seke seke la Kenya, ili Uhuru akamatwe yeye awe rais, Ruto naye mbayaa tyuu.Ruto alikuwa pia kwe team ya Moi ya kufanya wizi wa kura. Ruto mwizi tu.
Mie hamu imekata kabisaaa.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Pole mimi mwenzio nakula kidogo kidogo huku nasikilizia
Endelea kumwombea anaweza akashnda[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwan hata ananijua huyo Odinga?? Kihere here changu tyuh
All in all jamaa ni hustler. Anatumia kila njia kutimiza malengo yake. Njia ziwe halali ama si halali. Hata ikitokea asiwe rais leo. Huko mbeleni lazima aje kuwa Rais.Mark my words.Na ndie alie chochea kwa UN wakati wa seke seke la Kenya, ili Uhuru akamatwe yeye awe rais, Ruto naye mbayaa tyuu.
Kwani Naibu raisi no nani Kwa sasa?Ruto Hana tamaa, ni viongozi wachache leo kuamua kuacha keki mezani ya taifa katika mtazamo ambao kwake anaona hauko sawa , nakutafuta njia nyingine ambayo anaweza implement maono yake bila shida, that what Ruto did, na huo Ndo uongozi , angebaki pale alikua anaisha kisiasa, na kupoteza ndoto zake , kila mtu anandoto zake kwenye maisha
Na iwe hivyo tyuuuh.Endelea kumwombea anaweza akashnda
Ni sawa tyuuj, this time ampishe kwan Odinga hata muhula 1 tyuuh.All in all jamaa ni hustler. Anatumia kila njia kutimiza malengo yake. Njia ziwe halali ama si halali. Hata ikitokea asiwe rais leo. Huko mbeleni lazima aje kuwa Rais.Mark my words.
Pole,ni ngumu Raila kushinda. Kwanza inavyoonekana kutakuwa na round two. Hapo inatakiwa amobilize zaidi Pwani,na aconvince zaidi central.Na iwe hivyo tyuuuh.
All in all jamaa ni hustler. Anatumia kila njia kutimiza malengo yake. Njia ziwe halali ama si halali. Hata ikitokea asiwe rais leo. Huko mbeleni lazima aje kuwa Rais.Mark my words.
Watu hawana au hawajui historia za hawa jamaa as wanasiasa, binafsi nakumbuka yeye ndiye chanzo cha ICC kuwahoji yeye na Uhuru na alikuwa anamuomba shetani juu chini Uhuru aonekane mkosaji afungwe ili baadaye aapishwe kuishika ikulu.Ruto huyu ambae enzi za mwai kibaki alikua mgombea mweza wa odinga, akimwambia asikubali kusaini matokeo hata watu wakiuana, sasahiv unasema anayo hofu ya Mungu
Upo vizuri mkuu , kazi nyingine iyo Toka UDA officialLive Updates;
Ruto 6,788,933(50.4)
Raila 6,585,716(48.8)
Yani yule Wajackoyah ni "Hashim Rungwe" wa Kenya...Tunasimama na Wajackoyah