At Calvary
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 4,533
- 3,595
Mpaka sasa iko hivi
#UCHAGUZIKENYA: Zoezi la kuhesabu kura linaendelea ambapo hadi kufikia Saa 08:46 Asubuhi, Mgombea wa UDA, Naibu Rais William Ruto amejikusanyia kura 1,303,697 sawa na 49.59% huku Mgombea wa Azimio la Umoja, Raila Odinga akiwa na kura 1,291,709 sawa na 49.13%.
#ITVUchaguziKenyaUpdates
#UCHAGUZIKENYA: Zoezi la kuhesabu kura linaendelea ambapo hadi kufikia Saa 08:46 Asubuhi, Mgombea wa UDA, Naibu Rais William Ruto amejikusanyia kura 1,303,697 sawa na 49.59% huku Mgombea wa Azimio la Umoja, Raila Odinga akiwa na kura 1,291,709 sawa na 49.13%.
#ITVUchaguziKenyaUpdates