ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Raila ameshasogeaUpdates unaangalizia wapi mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Raila ameshasogeaUpdates unaangalizia wapi mkuu
Kenya kuna mijitu katitili sana zaidi ya MaguSiasa za Kenya ni ngumu tangu zamani. Nakubali process zao za kupiga kura na kuhesabu kwa sasa ni nzuri na ziko open kuliko sisi lakini ukiingia kwa undani kuna makandokando mengi sana. Kuna mgombea mmoja wa ubunge ameua mtu kwa risasi na mpaka sasa hajulikani aliko. Ni mgombea wa ushirika wa Ruto na watu wanasema anasubiri Ruto ashinde ili ajitokeze akitegemea atalindwa na mamlaka. Yaani mtu hata urais hajaupata lakini tayari wameanza kuonyesha uongozi wa hovyo.
IEBC portal, Ruto anashinda. Hadi kufikia saa 8 usiku jumla yote nitawaleteaUpdates unaangalizia wapi mkuu
Social media gani za wakenya?Hili swali hawezi jibu,tangu mchana yeye ana matokeo yake.Hata ukienda kwa Social Media za Wakenya hukuti hizi figure zake
Fambafu kabisa hili
Huyu hajawahi soma story ya Robert Ouko ,Tom Mboya,JM Kariuki n.kKenya kuna mijitu atitili sana zaidi ya Magu
Nimeshangaa sana ujue[emoji23]Hili swali hawezi jibu,tangu mchana yeye ana matokeo yake.Hata ukienda kwa Social Media za Wakenya hukuti hizi figure zake
Ila kukutoa ujinga ni wajibu wangu
Nitamezaje mawazo na maandishi ya kishamba , hii inaonesha tz tulivyo na watu ovyo haitawai tokea, kizazi Cha makengeza kengeza hiviUkweli mchungu huo na ushaumeza
Hakuna kitu inaitwa "IEBC Portal" mkuu[emoji23][emoji23]IEBC portal, Ruto anashinda. Hadi kufikia saa 8 usiku jumla yote nitawaletea
inategemea na chanzo unachofatilia mkuu,kwengine Ruto the hustler anaongoza kwengine mzee wa kitendawili anaongoza[emoji28][emoji23]Ngapi ngapi huko?
Kwahiyo unatuona sisi mafala!!??IEBC portal, Ruto anashinda. Hadi kufikia saa 8 usiku jumla yote nitawaletea
Ndo kina nani hao?Huyu hajawahi soma story ya Robert Ouko ,Tom Mboya,JM Kariuki n.k
Aloo mbona niliona humu walisema odinga kafanya come back ya nguvu...imekuaje tenaRuto anaongoza kwa asilimia 52 na Odinga 46 kwa mujibu wa mahesabu ya Daily Nation. Hali imekuwa tofauti kwani zile zilizotegemewa kuwa zitakuwa ngome za Odinga haikuwa hivyo na amepata ushindani mkubwa sana kutoka kwa Ruto.
Mauaji ya Kenya yalianza rasmi 1963/4 baada ya kuuwawa kwa Pio Gama Pinto na inner circle ya Jomo Kenyata by then.Gama alikuwa mshauri mkuu wa Jaramogi Oginga Odinga hawa walikuwa wana mrengo wa kijamaa. Badae 1966 or 1968 akaja kuuwawa yule wakili aliyemuwakikisha Jomo Kenyatta kwenye ile kesi ya The Kapenguria six Argwing Ghodhek then Tom Mboya then Josia Mwangi Kariuki.......etcHuyu hajawahi soma story ya Robert Ouko ,Tom Mboya,JM Kariuki n.k
Hakuna kitonga, mchuano ni mkali, Ruto sasa yuko mbele.Aloo mbona niliona humu walisema odinga kafanya come back ya nguvu...imekuaje tena
Jamaa yuko kwenye Dunia yake peke yake [emoji3][emoji3]Hakuna kitu inaitwa "IEBC Portal" mkuu[emoji23][emoji23]
Kiufupi Mzee Oginga ndiyo alitakiwa kuwa Rais wa kwanza wa Kenya and by that time alikiwa maarufu kuliko mwanasiasa yoyote yule.Huruma yake dhidi ya Kenyatta ndio iliyomponza.Mkenya mmoja alinisimulia kuwa OgingaOdinga baba yake na Raila waligombana na Jomo Kenyatta baba yake Uhuru.
Ikumbukwe wawili hawa walikuwa viongozi na marafiki wakubwa.
Baada ya ugomvi wao walilaaniana.
Oginga alimlaani Kenyata kuwa
1. Hatakaa Ikulu na kweli alikuwa hakai ikulu.
2. Haruhusiwi kuvaa viatu vya dukani. Hapo sijui kama ilitmia
3. Hatapanda ndege. Inasemekana mpaka anakufa hakupandaga ndege. Kifupi hakuwahi kwenda ng'ambo baada ya laana hiyo.
Kenyata alimlaani Oginga laana moja tu kuwa
" Watoto wa Odinga watakuwa maarufu sana ila hawatakuja kuwa ma(rais)".
Tafadhali mawe sihitaji ni maoni tu.
Mboya na Kariuki walikuwa mawaziri enzi za Jomo Kenyata. Walikufa vifo vya kutatanisha. Tom Mboya labda angekuwa Rais baada ya Kenyata. Huyu alikuwa very intelligent naona Kenyata aliogopa popularity ya Mboya. Ouko yeye alikufa kipindi cha Moi. Huyu nae mwili wake ulikutwa umechomwa moto kabisa.Ndo kina nani hao?