Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Sio Nchi za Kiafrika tu ni Duniani kote.Ruto hapewi nchi ....ifike sehemu tuamin hizi nchi za kiafrica Rais hachaguliwi na wananchi..na isitoshe hata kuongoza ni matakwa yao...ukienda tofauti nao basi haufiki popote...hata huko nyuma Raila hajawah shindwa ni vile tu mda wake haukufika...sasa mda wake ndio huu