Yaliyojiri Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam: Maadhimisho ya miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania Bara

Tunasherehekea siku ya Uhuru, je ni kipi cha kujivunia toka waingereza waondoke mpaka leo
 

Mkuu safi sana na umemaliza kila kitu hadi sina tena cha kuongezea hapo. Message sent and delivered!
 
Wimbo wa taifa sasa.!


Hizi sherehe mwaka huu zimepoa sana aisee.!
 
Nani aliona alichofanya JPM wakati anarudi kwenye jukwaa kuu baada ya kumaliza kukagua gwaride, alikuwa analeta utani huku akitanua mikono kuiga mwendo wa kijeshi wa haraka
Ahahaha,kumbe na wewe umemuona!mwangalie MOTOCHINI,Ameiweka Hapo Juu!
 
Huyu dogo ataishia pabaya.!

Mkuu tusimwombee hayo mabaya labda yamtomkee bali tujitahidi tu kumsaidia kumwelekeza ili basi aweze kubadilika na naamini kama atayasikia au kuyaona haya tunayomwambia atabadilika tu. Kamwe tusiombeane mabaya kwani na yeye anatafuta kama sisi tunavyotafuta isipokuwa tu ana mapungufu madogo sana ambayo ni ya Kiushamba zaidi ambayo kwa Wataalam wa Psychology kama sisi ni rahisi kumwelekeza na kumbadilisha kwani yanarekebishika. Ni Kijana mzuri na Tanzania ya sasa inamuhitaji ila tu ni hayo mapungufu.
 
Mama salma kikwete yupo?

Jecha nae amekuja na nini kutoka Zanzibar?
 
Gwaride limekamilika. Linajiweka tayari kuondoka uwanjani kupisha ratiba nyingine kuendelea. Yatafuata maonyesho ya makomandoo na kikosi cha wanamaji wakiwa na kilo 65 migongoni mwao.
 
Makonda siku atajichanganya, kiusalama hakuna anaeaminiwa. Taasisi ya rais haina partner. Inataratibu zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…