Tajiri wa Magomeni
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 4,274
- 2,935
Kama tume haita fanya upuuzi wao..Uchaguzi wa mwaka huu utanoga
Kapita Yaani hapa nimefurahi sana.Usinambie Lissu kapita, tunabeba nchi.
Vic leo umekuwa rafiki yangu wa kweli! TL The Great!Kapita Yaani hapa nimefurahi sana.
Twende na Lissu tayari kishaeleweka sasa mataga ni zamu yenu ya kutagishwaView attachment 1526239
Kilichobaki hapa ni Membe tu aache kugombea urais wamuachie Lissu,Kule visiwani wamwachie Maalim.Actually sina chama napenda Tanzania.Vic leo umekuwa rafiki yangu wa kweli! TL The Great!
Ishakula kwako, nyalandu ana kura 39, Lissu 400+Piga chini Lissu. Tunaenda na Nyarandu
wajumbe wa chadema wajinga.
Sasa huyo pandikizi nyarandu kapenyaje mpaka top 3????
stupid.
Membe atakubali? ACT watakubali? Hujui kwamba kura za Urais zinaambatana na ruzuku?Kilichobaki hapa ni Membe tu aache kugombea urais wamuachie Lissu,Kule visiwani wamwachie Maalim.Actually sina chama napenda Tanzania.
Yaani kabisaaaWajumbe wanastahili champagne 🍾 leo
Hujui kwamba ni pandikizi?Tafadhali, Nyalandu sio pandikizi. Viva Lissu.