Yaliyojiri Yanga Vs FC Platinum

Heti tuwe wazalendo.Kwa uzalendo upi waliowahi kutufanyia?.Nikikumbuka ya TP MAZEMBE Machozi yananitoka.Nanyie azam mnaitakia yanga ushindi kwa lip?Mmesahau walivyowafanyia kwa al marek pale chamanzi?.Mimi siwezi kuwa mnafiki kutoka moyoni nawatakia ushindi mnono tena wa goli nyingi platnum fc.
 
Kufungwa kubaya jamani we acha tu toka tumefungwa na mtani nilipotea kwenye jukwaa hili kama nipo kifungoni.

Ila YANGA naombea leo msituangushe maana naweza likimbia jukwaa hili kwa muda mrefu.

Tupige moyo konde ndugu yangu.
 

Kama we ni kijana ukiwa mtu mzima utakuwa mchawi..game la leo sio mtani jembe support kitaifa bwana
 
Kama we ni kijana ukiwa mtu mzima utakuwa mchawi..game la leo sio mtani jembe support kitaifa bwana

Tena mchawi wa kubeba na matunguri kabisa na kuzunguka nayo kokote niendako.
 
Mliopo taifa mtujuze kila linalojili huko,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…