MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Mimi nipo zangu huku nchini Herzegovina Ndugu hiyo namba ya Mrembo Ruth niitoe wapi?Nifanyie connection namba za Ruth mkuu
Nyenyere wana njaa!! hatutaki kuwapoteza nyenyere wetu kwa njaa!!Dhambi gani? Kwani kaburini anawahi nn huko cha maana?
Mkuu kama utaweza tuweke pichaWatu tayari wameshaanza kufurika uwanja wa Amani Zanzibar
Nchi ilipokuwa haina ndege tulipondaDunia uwanja wa fujo sana. Alifurahia kutumbua majipu huku anachekelea kweli anafurahaaaa!! Wakati wengine wanaomboleza.
Na yeye Covid imemtumbua mahela,yote na chato yote mpamoja na midege ya Bomba dear love!
Kayaachia katikati hakukatiza nalo baharini. Sasa wanakuja kufaidi wengineeee!!!!
Ndo mjue Mungu si wa kisport sport!!! Udongo tani tano una msubiri chato kummeza!
Kwaheri jiwe kaburudoze ahera!!!
Hujui kuna wadudu wanasubiri minofu kwa hamu?Dhambi gani? Kwani kaburini anawahi nn huko cha maana?
furikeni mpak dubaiWatu tayari wameshaanza kufurika uwanja wa Amani Zanzibar
Wasije wakakanyagana tena huko!!Watu tayari wameshaanza kufurika uwanja wa Amani Zanzibar
Acha dhambi,Acheni kejeli, ni JPM ni mpendwa wa wengi, acheni wamuoge ili wapate closure, kama mnaona wivu sana mwambieni Lissu na yeye afe aagwe na mashoga zake huko Belgium.
YeahMATAGA kazini
Ujinga lazima upingwe sanaYeah
Kama wewe BAVICHA Ulivyo kazini.
Katika Kazi yako ya kupinga kila kitu...!
Jua ni hivyo vyote...Ujinga lazima upingwe sana
Leo akili imekurudia ndio unajua kuna Uhuru wa habari?Si unapewa Taarifa.
Mnapotakaga uhuru wa Habari ni ili iwe nini?