Yaliyojiri Zanzibar kuaga mwili wa Hayati Dkt. John Magufuli

Yaliyojiri Zanzibar kuaga mwili wa Hayati Dkt. John Magufuli

Nifanyie connection namba za Ruth mkuu
Mimi nipo zangu huku nchini Herzegovina Ndugu hiyo namba ya Mrembo Ruth niitoe wapi?

Na kwanini unaitaka ya Ruth ila za Warembo wengine akina Suzana, Edna na Jesca huzitaki na wala hujaziomba?
 
Serikali ijayo kutakuwa na gerentii ya vitu vifuatavyo;

1: Vitumbua au Mandazi kwa Chai au Uji Asubuhi

2: Ugali au Wali kwa Nyama au Samaki Vibua, Mchana Mwema

3: Wali wa Maji kwa na Chai ya Rangi mkakati za lala salaam

Karibu ulingoni Mama

Siasa za kulia na kugalagala huku una njaa zimeshapitwa na wakati
 
Waziri mkuu Kadim Majaliwa anashuka sasa uwanja wa ndege wa ZanziIbar
 
Dunia uwanja wa fujo sana. Alifurahia kutumbua majipu huku anachekelea kweli anafurahaaaa!! Wakati wengine wanaomboleza.

Na yeye Covid imemtumbua mahela,yote na chato yote mpamoja na midege ya Bomba dear love!
Kayaachia katikati hakukatiza nalo baharini. Sasa wanakuja kufaidi wengineeee!!!!

Ndo mjue Mungu si wa kisport sport!!! Udongo tani tano una msubiri chato kummeza!

Kwaheri jiwe kaburudoze ahera!!!
 
Dunia uwanja wa fujo sana. Alifurahia kutumbua majipu huku anachekelea kweli anafurahaaaa!! Wakati wengine wanaomboleza.

Na yeye Covid imemtumbua mahela,yote na chato yote mpamoja na midege ya Bomba dear love!
Kayaachia katikati hakukatiza nalo baharini. Sasa wanakuja kufaidi wengineeee!!!!

Ndo mjue Mungu si wa kisport sport!!! Udongo tani tano una msubiri chato kummeza!

Kwaheri jiwe kaburudoze ahera!!!
Nchi ilipokuwa haina ndege tuliponda
Wamenunua tunaponda

Ova
 
Hivi na mjane wa marehemu wanavyompeleka peleka kila sehemu wanamlipa? Kwanini wasimpeleke Chato asubiri siku ya mazishi?
 
gado_05032020.jpg

Sasa kitu ndani ya Box
 
Bado mbamzungusha tu huyo? Si mumzike tu mambo mengine yaendelee
 
Acheni kejeli, ni JPM ni mpendwa wa wengi, acheni wamuoge ili wapate closure, kama mnaona wivu sana mwambieni Lissu na yeye afe aagwe na mashoga zake huko Belgium.
Acha dhambi,
Wivu kwa marehemu, inawezekanaje?
 
Ujinga lazima upingwe sana
Jua ni hivyo vyote...

Ndio Tatizo la Watanzania yaani kitu kidogo kimewatoa kwenye reli Hata mmesahau kuhusu msiba
Bahati mbaya hata upinzani umefuata mlengo ule ule.

Tuna safari ndefu kama taifa...

Huo ndio ujingaa...,
 
Back
Top Bottom