Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani ni lini Akili ilitoka[emoji3064][emoji58]Leo akili imekurudia ndio unajua kuna Uhuru wa habari?
Ilitoka wakati pimbi wenu yupo haiKwani ni lini Akili ilitoka[emoji3064][emoji58]
Karibu hapa chechnia ... Tupo na Tunasheherekea sikuku ya wakalimaniMimi nipo zangu huku nchini Herzegovina Ndugu hiyo namba ya Mrembo Ruth niitoe wapi?
Na kwanini unaitaka ya Ruth ila za Warembo wengine akina Suzana, Edna na Jesca huzitaki na wala hujaziomba?
Hivi na mjane wa marehemu wanavyompeleka peleka kila sehemu wanamlipa? Kwanini wasimpeleke Chato asubiri siku ya mazishi?
HuhIlitoka wakati pimbi wenu yupo hai
Dhambi gani😃😃😃Hila mgemzika tu mzee wetu Mnàfanya dhambi kubwa
Kuzunguka au kuzungushwaKwani yeye ni wa kwanza kuzunguka hivyo
The end of something good....💔💔💔Uwanja wa Amani umejaa full walio nje ni wengi kupita kiasi ila wamepeea maelekezo wadikumane wala kuviunja mageti watapata nafasi ya kuaga baadaye wataingia kupitia majukwaa kuaga
Kuzunguka au kuzungushwa
Astaghfirullah !!! Ukistaajabu ya Mussa utashangaa ya Firauni Maiti imeenda kuaga sijui kuagishwa Zenji Du!!! [emoji15][emoji15][emoji15]Watu tayari wameshaanza kufurika uwanja wa Amani Zanzibar
Mshahara wa dhambi ni......bali karama ya Mungu ni..........sijui huko kanisani!!! hivi mnaendaga kushinda????Watu wa ufipa wanamuonea hadi marehemu wivu jamani si nanyie mfe
Mpendwa wa wapiAcheni kejeli, ni JPM ni mpendwa wa wengi, acheni wamuoge ili wapate closure, kama mnaona wivu sana mwambieni Lissu na yeye afe aagwe na mashoga zake huko Belgium.
Kwa hiyo wanataka kutuonesha anapendwachadema laiti msingesema kuwa mzee huyu hakubaliki angeshafukiwa kitambo!
ACT hawapaswi kujipendekeza, hakuna aliewaita. Kwahiyo hii hoja yako sioni kama ina mantiki.Kwa jinsi "Hayati Mwenyekiti Wa CCM" alichowafanya wazanzibari kwenye uchaguzi mkuu 2020 miezi michache iliopita, "VIRUNGU/FIMBO/MAKOFI/MITAMA kolabo "MABOMU/RISASI", visiwani walichezea baikoko wakachezeka kweli kweli.
Sijui kama boat za bakhresa hazijajaa waombolezaji waliokatiwa ticket za bure tokea "MFUKO MAALUM WA MAAFA WA LUMUMBA".
Kuna watu huko kila wakisikia jina lake wanakumbuka sura za ndugu/watoto/marafiki waliokua wakiokotwa maiti zao mitaani waliopoteza maisha. Wenye matundu ya risasi vifuani/tumboni/vichwani.
Mungu awape subira wahanga, na maisha ya amani waliopoteza maisha yao kwenye uchaguzi mkuu 2020.