Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani sisi ni mwendo wa kulalamika tuHata huyu aliyepo akiirudisha nchi katika ile misingi a Kikwete, utaona tena nyuzi humu za kulalamikia kuwa analea sana watu. Yani huwezi ridhisha wote mkuu, nilichogundua muda mwingine unapokuwa kiongozi unatakiwa ufunge vioo uchape kazi bila kusikiliza maneno maneno...
Kwahiyo?Kunywa sumu
Sasa ndo umeandika nini?Naomba nitoe ufafanuzi tumepitia Post mbali mbali hapa kwenye jukwaa tumeona watu wengi wakihojii kwanini hatumpumzishi mpendwa wetu..
Unajuaje kama utakufa kifo cha maiti kupatikana? waweza zama melini maiti isipatikane au ukaungua moto mfano kama wale waliiba mafuta kwenye lori l likalipuka maiti zikashindwa kutambuliwa au ukapotea kama ndege ile ya malyasia iliyopotea hadi leo na abiria woteMimi nimeacha wosia Jeneza langu lizungushwe kitaa hadi kwenye kijiwe chetu cha Chadema halafu ndio nikashushiwe tani saba
Ipi?Ila mgemzika tu mzee wetu mnafanya dhambi kubwa
Ndugu wangejua wasingefanyia siasa mpendwa wetu tena kafariki.Ila mgemzika tu mzee wetu mnafanya dhambi kubwa