Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
- Thread starter
- #101
Choka...Shida kubwa mzee wangu kila kitu unakihusisha na uislam naona kuna shida kubwa hapo. Nadhania ndio mjumbe hapo akkatumia neno uchawa.
Sijahusisha kila kitu.
Nimeandika kitabu: "The Life and Times of Abdulwahid Sykes (1924-1968)the Untold Story of the Muslim Struggle Against British Colonialism."
Hapa ndiyo mwanzo.
Kitabu kilibadili historia ya TANU na Nyerere.
Historia hii ilionyesha mchango wa Waislam katika kupigania uhuru wa Tanganyika.
Sijahusisha kila kitu.
Ikiwa kwako ni shida kwangu ni jambo la kujivunia.
Kuhusu uchawa.
Wala hilo halinishughulishi.