maliyamtu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2017
- 2,137
- 3,874
Wewe jamaa ni mstaarabu sanaKwanza ukianzia juu huko kama nilikuwa kibaruani kiwanda cha Pepsi unategemea nilikuwa na maisha gani? Laki 5 kwangu ni nyingi sana Broo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe jamaa ni mstaarabu sanaKwanza ukianzia juu huko kama nilikuwa kibaruani kiwanda cha Pepsi unategemea nilikuwa na maisha gani? Laki 5 kwangu ni nyingi sana Broo
Kwamba kipaumbele chako ni kuolewa😀Daah pole mie kisa changu ni chakichawi .
Nimeamini marafiki nimewasaidia hadi na sasa sijaolewa , sijafika nitakako kisa wao mtu anakuchukulia nyota yako ili aolewe ,ili awe na biashara kubwa na nzuri , ili aende kufanikisha kila atakalo yeye anakiacha huna mbele wala nyuma unakwama hadi unatafuta wanaume mitandaoni na huku mimi sikuwa napendwa na watu hoi hoi ni vifaa kweli .
So maisha ndio hayoo . Niliewekewa kizuzi nisiolewe , nisiwe naufahamu wakuwa umri unasonga .
Walahi saivi siitaji marafiki kwasasa hujui adhari zao hadi ukwame ndio ujue .
Kazi nilikuwa napata haraka sana napendwa nakuaminika .
Ee mola niepushe na hao marafiki sitaji marafiki .
Walahi
Alikuwa anatafuta ukalani. Ukija na tetesi yuko mbio kuuliza 'sema kweli'. Lawama kibao kuchelewesha majina, lawama kwa mtendaji wake hadi akapost picha yakeDuuh! kumbe nadharau 520k huku sensa alikua anaihangaikia?
JF bhana,au yeye alikua anataka u-kamishna wa sensa taifa?
Mkuu huoni id yake imeandikwa bukoba ina maana hujawazoea tu hawa watu wa lile kabilamkuu tusizungumze sana nenda kwa box lake akupe namba umrudishie kama wahisi iyo pesa ni ndogo
mkuu acha dharau, kuna watu shilingi elfu kumi ni fedha kubwa mnoooo ila kwako ni fedha ya kawaida sana.
kama umejaaliwa kuwa na kipato mshukuru muumba sio kejeli
Unajua humu watu wanafedhesha wenzao kisa hawajapitia magumu yeyote so wanaongea tuKwamba kipaumbele chako ni kuolewa😀
So kuolewa ni kipaumbele chakoUnajua humu watu wanafedhesha wenzao kisa hawajapitia magumu yeyote so wanaongea tu
Hata wewe pia Usizuge ni kipaumbele cha kila mwanamkeKwamba kipaumbele chako ni kuolewa[emoji3]
Yapo ndugu yangu yaani wanakurudisha nyuma nakukufungia riziki hii yote sijajua ila nimekuja kujua rafiki zako ndio maadui zako.Hivi hii kitu inawezekanae?,mm kuna marafiki nipo nao since nimewakaribisha kwangu na wenyewe kuanza kuwa wajanja mm mambo yangu yamekwama kinoma,mpaka kuna muda nawawazia vibaya.....
Muhaya huyo mkuuNdio uone ulivyo mjinga hao walioomba sensa wote laki tano kwao kubwa. Una njaa tu na tabia za kipuuzi kijana
Hebu mpashee ajueHata wewe pia Usizige ni kipaumbele cha kila mwanamke
Kwako wewe inaweza kuwa hela ndogo kwa wengine ni nyingi maisha hatufanani. Kuna watu kujikweza tu mpo njema.Sasa Mkuu 520k ndo unalalamika hivyo
Pamoja na madhaifu yote ya wanaume lakini Bado Kila mwanamke anapata hamu ya kumiliki mume wake. Nahivo ndivyo tuluivyoumbwa wanawakeKwamba kipaumbele chako ni kuolewa[emoji3]
Achana nae tajiri la JfKwanza ukianzia juu huko kama nilikuwa kibaruani kiwanda cha Pepsi unategemea nilikuwa na maisha gani? Laki 5 kwangu ni nyingi sana Broo
...Achana na Muhaya huyo! SI Ajabu Hata Hapo alipo Hana Hata Noti ya Shilingi Elfu Mbili ![emoji19][emoji19][emoji19]We jamaa unajua kazi anayofanya mpka kupata hiyo hela? Please acha bragging zisizo na maana
...Wewe uliombea Nini wakati Laki Tano ni Ndogo? SI Ungewaachia Masikini???Ndio kwani hata Walimu wa sekondari hukuona wanaomba?
Umeuliza kijinga sanaSasa Mkuu 520k ndo unalalamika hivyo
Ni upuuzi wake tu. Mi mwenyewe MhayaMuhaya huyo mkuu
Wee unanijua raha kweli haya nikimpata nitakutagWanakuloga tena?wewe mboni mwanamke mrembo,jiamini utapata mtu.