DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,382
- 29,639
OkChooni ni moja ya lango lao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OkChooni ni moja ya lango lao
Mhhmbona huko chooni unapishana nayo mengi tu au sababu hayakusemeshi
Bora umerudi alitunyanyasa sana bigmind wakati haupohakika The List ni JAKAMOYO!!
Ona haka nako eti nako kanataka kujibiwa..female anopheles mosquito!!
Jini huwa likoje hasa kwa jike na dume muonekano wao?Jini hilo pole sana
Wapo masaa 24 kwenye mkusanyiko wa watu mfano masokoni huko ndio wamejaaSikuwahi kuwaza kama mchana pia yanatembea..nilijuaga usiku tu au yakitembea mchana hayaonekani
Imekutekenya?Comment yako
Imenichekesha banaImekutekenya?
Duh! Basi balaaWapo masaa 24 kwenye mkusanyiko wa watu mfano masokoni huko ndio wamejaa
Si kidogo tenaDuh! Basi balaa
EstùpidoImbecile Empty set kabisaa.
file de pute
Oque que houve pessoal?Estùpido
Kila mtu akisimulia yaliyomkuta jana itakuwaje?wale wa chooni, kitandani, uchochoroni..rubbish tu!!
Hata mi naonaPressure zako tu
No lo sèOque que houve pessoal?
Nalog off
mpigie alafu unijuze atakayokuambiaMpigie simu sheikh yahya(RIP)
Nalog off
Tuache Mungu aitwe Mungu jamaniivo viumbe vipo viliumbwa, ila wao huwa hawafi wanaishi milele, wanazaliana tu,, na wanauwezo kujigeuza kitu chochote kile mara 1000 na zaidi, kuna wabaya na wazuri pia,,,
Mungu sio wa mchezomchezo,
Albino huyo acha wogaHabari zenu wana Jf
Nianze na mkasa ulionikuta jana..mida flani hivi nilienda kariakoo na Dada yangu..katika mizunguko yetu yeye alikua mbele mimi nyuma
Sasa si mwajua kariakoo ilivyo na watu wengi..nikiwa katika mshangao wa kushangashangaa nguo ghafla nikapigana kikumbo na mdada amevaa baibui ameziba macho kama avatar ya madame s
Yani nikaganda ghafla uku nikimuangalia tu..akafika mbele akageuka..lahaullah!! Macho ya yule dada sikuyaelewa hata kidogo alafu yalikua hayatulii kile kiini cheusi kinafanana na kiini cha paka
Nikasema hapana sikuamini nilichokiona nikageuka kuangalia mbele huku nikijiuliza kama yule ni mtu
Nikageuka tena nyuma alikua amefika mbali lakini bado aliponiangalia macho yalikua vilevile...ghafla Dada akaniita jina langu nikaitikia "aliniuliza vipi mbona umesimama tu hapo" sikumjibu kitu
Nikageuka kwa mara ya mwisho sikumuona tena yule dada
Yani nilinyon'gonyea hadi tunatoka kariakoo bado najiuliza..hivi nilikutana na jini ama kuna binadamu wenye macho ya vile!!!
Hayo ndio yaliyonikuta siku ya jana mwenzenu