stormryder
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 3,776
- 5,786
- Thread starter
-
- #21
Imagine kila goli wanalofunga yanga na simba Rais alikuwa anatoa million 5, pesa zote tulizochea kule zingenunua hata gari moja la uokoajiTanzania Tatizo hawataki Kuambiwa Ukweli ila hakuna Haja ya Jeshi la Zimamoto maana Halina Linachofanya mpaka Sasa hivi..
Halina Vifaa wala halina Nyendo za Kufanya kazi zaidi ya Maji na Vigali vyao vyekundu..
Ila Mimi Naona Walihalalishe Jeshi la Kujenga Taifa Liwe Jeshi rasmi...Waliondoe Kwenye Militia ili ndo Liwe Jeshi la Uokoaji..
Na Lipewe bajeti ya Kutosha
Tofautisha uokozi we eneo la vita na uokozi kwenye domestic settings.Kukaa sana kwa amani tunalewa sio polisi, uhamiaji, JW au wapi tuko vizuri. Tatizo ni kukaa na imani kwamba jeshi ni kwa ajili ya vita tu, zana (sio silaha) za kijeshi zina dual use ukiwa nazo zitatumika sana kwa civilians kuliko mara moja kwa miaka kadhaa usubiri vita.
Jana nimeona mabasi ya JWTZ yamejaza wanajeshi wakashuka mikono mitupu, sanasana walichosaidia ni kusogeza watu pembeni ili magari ya wagonjwa na viongozi wapite. Jambo ambalo mgambo anaweza.
Nchi zenye majeshi yenye bajeti, zilizokaa chonjo unakuta military ina search and rescue helicopters kadhaa za nchi kavu na majini, ikitokea mafuriko au meli kuzama wanajeshi wanawahi. Kule Bukoba ajari ya ndege tungeona Navy wanatumia ujuzi wao kama wangekuwa na small base Bukoba au Mwanza, badala yake wavaa yeboyebo kina Majaliwa ndio walionekana.
Hizohizo helicopters zinatumika kuzima moto mkubwa ukiwaka mjini, au milimani kama Kilimanjaro kule moto huwaka mara nyingi.
Hapa kwenye hili jengo tungeona Engineering Brigade ambayo imefundishwa vitu kama kutengeneza airstrip ya haraka wakati wa vita, kurekebisha barabara na madaraja kama Bailey bridge, kuwa na floating piers kusafirisha mizigo ya dharura kwenye mito, kujenga base kwa haraka, kufanya demolition au kuokoa kama strategic factories, buildings zimeharibiwa na adui.
Ingekuwa hivyo tungeona jeshi wanafika na zana zao wanafanya kazi kwa haraka na kwa ufanisi zaidi maana discipline ya kuwa haraka wanakuwa nayo, mafunzo ya gharama kubwa wanayo, vifaa vya uwezo zaidi wanavyo.
Sasa bongo bajeti kama hiyo haitengwi.
😅 😅Hivi makomandoo wetu hawaezi kupenya penya kama miners taratibu kwa kutambaa na vifaa vidogo vidogo kama vya wachimbaji wadogo wadogo wa madini..... Taratibu sana kupenya kama nyoka.....
Sijui lakini... Nawaza TU. SI kwa ubaya
Hili Jeshi la Zimamoto halifai Wengi ni waoga Sana kufanya Uokoaji Wamezoea Luxury sana..Ina maana tusiwe na jeshi la akiba?...
Ni vyema hili jeshi la zimamoto na uokoaji liboreshwe zaidi...(Vifaa )
Hoja ya msingi hapa ni maandalizi yetu katika majanga na allocation of resources.Tofautisha uokozi we eneo la vita na uokozi kwenye domestic settings.
Gaza walianza kuwa effective baada ya matukio mangapi??
Ni mashirika mangapi ya kimataifa yapo kwa kazi hiyo??
Unakumbuka Ilichukua siku ngapi kumtoa Yesser Arrafat chini ya kifusi??
Ina maana tusiwe na jeshi la akiba?...
Ni vyema hili jeshi la zimamoto na uokoaji liboreshwe zaidi...(Vifaa )
Ni Kweli kabisa..Imagine kila goli wanalofunga yanga na simba Rais alikuwa anatoa million 5, pesa zote tulizochea kule zingenunua hata gari moja la uokoaji
Vile vifaa vina gharama mkuuNi Kweli kabisa..
Maana Vifaa havina Costs Nyingi sana
Jeshi la zimamoto lipo vizuri tu kwenye uokoaji tatizo ni vifaa tu.Hili Jeshi la Zimamoto halifai Wengi ni waoga Sana kufanya Uokoaji Wamezoea Luxury sana..
Unaposema kusiwe na Jeshi la akiba unamaanisha nini?
JKT sio Jeshi la Akiba..
Jeshi la Akiba Ni Mgambo na Mgambo wanaruhusiwa
Dah. Inasikitisha sana. Maana mahali kama hapa ndio pa kuonyesha weledi.😅 😅
Hao wadau ndio mmoja wao alitumwa akabaka binti
Vifaa Vyote Nchi nzima Havidi Trilion 3..Vile vifaa vina gharama mkuu
Hapana Hilo Nitakupinga Mkuu..Jeshi la zimamoto lipo vizuri tu kwenye uokoaji tatizo ni vifaa tu.
Unaonaje ungeenda kupenya wewe mkuu...Hivi makomandoo wetu hawaezi kupenya penya kama miners taratibu kwa kutambaa na vifaa vidogo vidogo kama vya wachimbaji wadogo wadogo wa madini..... Taratibu sana kupenya kama nyoka.....
Sijui lakini... Nawaza TU. SI kwa ubaya
politikisi
nimejaribu kugoogle vifaa usedVile vifaa vina gharama mkuu
Yaani hilo balaa kama la Gaza kwetu tuombe lituepuke kwa sababu ikitokea jengo limepigwa bomu basi nyie mliofukiwa mjihesabu mmekufa hamtomuona mtu kuja kushughulika na nyie.Mimi ni mshabiki namba moja wa Israel, ila nimeguswa na tukio la kuanguka kwa Jengo Kariakoo, Jitihada tuliyoweka katika uokozi ni aibu kwetu hasa sisi Watanzania tunaomini sio Nyani.
Gaza kwao kuanguka kwa majengo ni kila siku tena kwa mabomu na sio uzembe, lakini Watu wake na mifumo yao ya uokozi imepunguza Idadi ya vifo hadi 40, 000 pekee, Kama sisi Jengo moja tumetumia siku 2 na bado hatujamaliza, basi kwenye Majanga makubwa ya Vita au asili tunaweza kupoteza watu zaidi ya laki moja kwa wiki,
Ifike hatua tuiwajibishe serikali ya CCM kwa kuiweka pembeni tuanze upya, ni aibu kuona viongozi wa Serikali wanaenda eneo la maafa na magari ya zaidi ya billioni 3 alafu wanashindwa kuwa na vifaa vya uokozi visivyozidi billion 1.
Hili jeshi la zimamoto na uokoaji linahitaji maboresho tu mkuu hasa kwenye vifaa sio wabaya kiasi unachodhani.....huko kusaidiwa na majeshi mengine sio jambo baya ni kuongeza nguvu tu.Hapana Hilo Nitakupinga Mkuu..
Kuna Wakati tu tuseme Ukweli..
Kwenye matukio makubwa Jeshi la zimamoto mara zote husaidiwa na JWTZ na JKT sasa kwanini Tusirasimishe Uokoaji uwe Chinu ya Idara ya JWTZ kupitia Idara ya Jeshi ya JKT
Hii SI ligi Mangi. Embu kuweni na akili.... Hata kama wazo langu ni ujinga lakini angalau nimefikiria....Unaonaje ungeenda kupenya wewe mkuu...
Si kwa ubaya lakin