Kifo ni kifo tu alisemaSasa wewe waza Kuna huyo Yuko sijui Brazil....
Sasa kule akaulizwa TU na hao wakubwa How is Tanzania Madam President..... ( Maana mimi sijui wanavyoulizanaga!!)
ATAJIBUJE???????
Kwamba nimeacha Kuna mjumba umeanguka , watu wamenasa siku ya pili Leo (Leo..hatujui kesho na keshokutwa) na wengine wametangulia mbele za haki??? But it's not a big deal let's talk about mnikopeshe.. loan... grants... N.k
Sijui lakini, najaribu kuwaza.
Katika pumba hii ni pumba number moja, sasa unataka kutuambia nini? wewe unajuwa kwanini Gaza inakuwa hivyo, unaleta mifano kama hujasoma. Gaza Israel wanawaammbia kabisa kunakuwa na warning ondokeni hapo wanahamisha watu kabla ya kupiga kuepusha vifo vya watu, kuna wakati watu walihamishwa karibia wote north wanabaki wale wabishi tu. Kawaida ya vita wanatuma early warning iwe vikaratasi na audio kuondoa watu. Sasa Kariakoo wangeambiwa ondokeni kesho tunavunja nguzo moja angebaki mtu pale. Tofautisha ajali na vita.Mimi ni mshabiki namba moja wa Israel, ila nimeguswa na tukio la kuanguka kwa Jengo Kariakoo, Jitihada tuliyoweka katika uokozi ni aibu kwetu hasa sisi Watanzania tunaomini sio Nyani.
Gaza kwao kuanguka kwa majengo ni kila siku tena kwa mabomu na sio uzembe, lakini Watu wake na mifumo yao ya uokozi imepunguza Idadi ya vifo hadi 40, 000 pekee, Kama sisi Jengo moja tumetumia siku 2 na bado hatujamaliza, basi kwenye Majanga makubwa ya Vita au asili tunaweza kupoteza watu zaidi ya laki moja kwa wiki,
Ifike hatua tuiwajibishe serikali ya CCM kwa kuiweka pembeni tuanze upya, ni aibu kuona viongozi wa Serikali wanaenda eneo la maafa na magari ya zaidi ya billioni 3 alafu wanashindwa kuwa na vifaa vya uokozi visivyozidi billion 1.
Kupenya penya kwenye ghorofa namna ile 🤣Hivi makomandoo wetu hawaezi kupenya penya kama miners taratibu kwa kutambaa na vifaa vidogo vidogo kama vya wachimbaji wadogo wadogo wa madini..... Taratibu sana kupenya kama nyoka.....
Sijui lakini... Nawaza TU. SI kwa ubaya
Hata mimi nilifikiria gaza wanawezaje au yale majengo ya gaza huwa na watu wachache wengi wanakuwa wameshaondoka
Mimi ni mshabiki namba moja wa Israel, ila nimeguswa na tukio la kuanguka kwa Jengo Kariakoo, Jitihada tuliyoweka katika uokozi ni aibu kwetu hasa sisi Watanzania tunaomini sio Nyani.
Gaza kwao kuanguka kwa majengo ni kila siku tena kwa mabomu na sio uzembe, lakini Watu wake na mifumo yao ya uokozi imepunguza Idadi ya vifo hadi 40, 000 pekee, Kama sisi Jengo moja tumetumia siku 2 na bado hatujamaliza, basi kwenye Majanga makubwa ya Vita au asili tunaweza kupoteza watu zaidi ya laki moja kwa wiki,
Ifike hatua tuiwajibishe serikali ya CCM kwa kuiweka pembeni tuanze upya, ni aibu kuona viongozi wa Serikali wanaenda eneo la maafa na magari ya zaidi ya billioni 3 alafu wanashindwa kuwa na vifaa vya uokozi visivyozidi billion 1.
Hawa hawa ambao na ndoto yao ni kuwa CCM?Tukimtoa CCM nchi tunampa nani sasa?
Hivi makomandoo wetu hawaezi kupenya penya kama miners taratibu kwa kutambaa na vifaa vidogo vidogo kama vya wachimbaji wadogo wadogo wa madini..... Taratibu sana kupenya kama nyoka.....
Sijui lakini... Nawaza TU. SI kwa ubaya
Hawa hawa ambao na ndoto yao ni kuwa CCM?
Kukaa sana kwa amani tunalewa sio polisi, uhamiaji, JW au wapi tuko vizuri. Tatizo ni kukaa na imani kwamba jeshi ni kwa ajili ya vita tu, zana (sio silaha) za kijeshi zina dual use ukiwa nazo zitatumika sana kwa civilians kuliko mara moja kwa miaka kadhaa usubiri vita.
Jana nimeona mabasi ya JWTZ yamejaza wanajeshi wakashuka mikono mitupu, sanasana walichosaidia ni kusogeza watu pembeni ili magari ya wagonjwa na viongozi wapite. Jambo ambalo mgambo anaweza.
Nchi zenye majeshi yenye bajeti, zilizokaa chonjo unakuta military ina search and rescue helicopters kadhaa za nchi kavu na majini, ikitokea mafuriko au meli kuzama wanajeshi wanawahi. Kule Bukoba ajari ya ndege tungeona Navy wanatumia ujuzi wao kama wangekuwa na small base Bukoba au Mwanza, badala yake wavaa yeboyebo kina Majaliwa ndio walionekana.
Hizohizo helicopters zinatumika kuzima moto mkubwa ukiwaka mjini, au milimani kama Kilimanjaro kule moto huwaka mara nyingi.
Hapa kwenye hili jengo tungeona Engineering Brigade ambayo imefundishwa vitu kama kutengeneza airstrip ya haraka wakati wa vita, kurekebisha barabara na madaraja kama Bailey bridge, kuwa na floating piers kusafirisha mizigo ya dharura kwenye mito, kujenga base kwa haraka, kufanya demolition au kuokoa kama strategic factories, buildings zimeharibiwa na adui.
Ingekuwa hivyo tungeona jeshi wanafika na zana zao wanafanya kazi kwa haraka na kwa ufanisi zaidi maana discipline ya kuwa haraka wanakuwa nayo, mafunzo ya gharama kubwa wanayo, vifaa vya uwezo zaidi wanavyo.
Sasa bongo bajeti kama hiyo haitengwi.
Kwa sababu Jwtz inapiga kazi na matokeo yanaonekana. Hata hivyo jeshi lina kitengo cha zimamoto pia na lina zana zote tena zaidi ya hiyo zimamoto ya kiraia.Makomando wa Nini wakati mna Jeshi la Zimamoto na Uokoaji
Makomando wa Nini wakati mna Jeshi la Zimamoto na Uokoaji
AMANI HULEVYA UJINGAMimi ni mshabiki namba moja wa Israel, ila nimeguswa na tukio la kuanguka kwa Jengo Kariakoo, Jitihada tuliyoweka katika uokozi ni aibu kwetu hasa sisi Watanzania tunaomini sio Nyani.
Gaza kwao kuanguka kwa majengo ni kila siku tena kwa mabomu na sio uzembe, lakini Watu wake na mifumo yao ya uokozi imepunguza Idadi ya vifo hadi 40, 000 pekee, Kama sisi Jengo moja tumetumia siku 2 na bado hatujamaliza, basi kwenye Majanga makubwa ya Vita au asili tunaweza kupoteza watu zaidi ya laki moja kwa wiki,
Ifike hatua tuiwajibishe serikali ya CCM kwa kuiweka pembeni tuanze upya, ni aibu kuona viongozi wa Serikali wanaenda eneo la maafa na magari ya zaidi ya billioni 3 alafu wanashindwa kuwa na vifaa vya uokozi visivyozidi billion 1.
Tukimtoa CCM nchi tunampa nani sasa?
Hawa wajinga ni wanufaika wakubwa wa huu mfumo ovuSwali la kijinga Sana. Marekani wamemtoa democrat wakampa nani? Au Botswana wamemtoa BDP wamempa nani?. Maswali ya kijinga Sana kutoka kwa chawa wa CCM
Tanzania hakuna amani Kuna utulivu
Shida tunaongozwa na majangili tupu hakuna la maana wanawaza kuiba warudi bungeni
Hawa wajinga ni wanufaika wakubwa wa huu mfumo ovu
Kwenye majanga asili tunaweza kufa wote tusiwezekujiokoa hata mmoja.Mimi ni mshabiki namba moja wa Israel, ila nimeguswa na tukio la kuanguka kwa Jengo Kariakoo, Jitihada tuliyoweka katika uokozi ni aibu kwetu hasa sisi Watanzania tunaomini sio Nyani.
Gaza kwao kuanguka kwa majengo ni kila siku tena kwa mabomu na sio uzembe, lakini Watu wake na mifumo yao ya uokozi imepunguza Idadi ya vifo hadi 40, 000 pekee, Kama sisi Jengo moja tumetumia siku 2 na bado hatujamaliza, basi kwenye Majanga makubwa ya Vita au asili tunaweza kupoteza watu zaidi ya laki moja kwa wiki,
Ifike hatua tuiwajibishe serikali ya CCM kwa kuiweka pembeni tuanze upya, ni aibu kuona viongozi wa Serikali wanaenda eneo la maafa na magari ya zaidi ya billioni 3 alafu wanashindwa kuwa na vifaa vya uokozi visivyozidi billion 1.
Majangili ya mali za ummaKweli kabisa mkuu