Yaliyotokea kwa ACT Wazalendo kwenye chaguzi Ujiji kwa Polisi kuilinda CCM kuiba kura, 2024/25 yanawasubiri CHADEMA, mtafanya nini yakitokea?

Yaliyotokea kwa ACT Wazalendo kwenye chaguzi Ujiji kwa Polisi kuilinda CCM kuiba kura, 2024/25 yanawasubiri CHADEMA, mtafanya nini yakitokea?

CCM weanajua wazi kuwa hawakubaliki ndio maana wameamua kujiandaa kwa wizi kila eneo nchini.
Dawa ktk uchaguzi ni wananchi kulinda kura zai dhidi ya wezi hawa wa ccm
 
Kama CHADEMA mmeamua kushiriki chaguzi zijazo, 2024/25, mjue for sure yale yale yaliyotokea 2020 yatatokea tena maana jana yametokea Ujiji Kigoma kwa ACT Wazalendo (ingawa ACT ni tawi la CCM ie (CCM vs ccm) kwa kukamata kura za wizi na polisi kuwakingia kifua CCM kwa kuwakamata viongozi wa ACT kuwafunga walipoingilia kati kuzuia wizi huo wa kura wa CCM.

BY HOOKS AND CROOKS LAZIMA CCM IFANYA YALE YALE YA 2020 MAANA WAMEANZA KIGOMA JANA.

MMEJIANDAAJE NA HUJUMA HIZO? MNA UWEZO WA KUKABILIANA NA POLISI? IF SO HOW?
asante Mods kwa marekebisho mazuri ya heading. Maxence Melo
 
Msimamo imara ni kukataa kushiriki uchaguzi. Hili tukio la wizi wa kura na kukataa tume huru ni wazi CCM hawana nia nzuri.
Hata hayo maandamano inaonekana ni maagizo kutoka kwa wafadhili. Kwa hiyo kwa CCM inayatumia kupiga hela za wafadhili tu wala sio kusikiliza ajenda za maandamano
 
Msimamo imara ni kukataa kushiriki uchaguzi. Hili tukio la wizi wa kura na kukataa tume huru ni wazi CCM hawana nia nzuri.
Hata hayo maandamano inaonekana ni maagizo kutoka kwa wafadhili. Kwa hiyo kwa CCM inayatumia kupiga hela za wafadhili tu wala sio kusikiliza ajenda za maandamano
Ndio maana Samia anawaambia waache waandamane weeee...

Kumbe wao wanaingiza pesa!.
 
Kama CCM wataamua kuiba na kulindwa na bunduki za polisi Chadema watafanya nini?

Kama kipo watachofanya ni kujitoa mhanga, wawe tayari kupata majeraha au hata kuumizwa zaidi kuipigania haki yao.

Walishindwa kuhimiza upatikanaji wa Katiba Mpya kwa wakati, wakadanganywa na maridhiano, walivyoshtuka maridhiano ni kupotezeana muda wakaona wadai Tume Huru, lakini nayo wamekuja kuona haiwezi kupatikana wakaamua kuingia kwenye uchaguzi kwa sheria mbovu zilizopo.

Wakiamini watajilinda au watalindwa na wapiga kura wao, hii kamari waliyoamua kuicheza inataka moyo, inawalazimu wawe tayari kwa lolote kwasababu kati yetu hayupo asiyezijua tabia za CCM kwenye uchaguzi, hawawezi kubadilika kisa Samia yupo madarakani.
Very well-written thinking and analysis.

Nawashauri wawatayarishe wafuasi wao KUFA MSALABANI. Wajitayarishe kwa maumivu makali ambayo mwisho wake unaweza kuwa kifo kulinda kura zao

Kama kujitayarisha kufa,
1. Target No. 1 ya CCM kuua itakuwa Mbowe!
2. Target No. 2 itakuwa Lisu
3. Target No. 3 Wenyeviti wa majimbo..Lema, msigwa and the like.
4. Target No. 4 itakwa wenyeviti wa mikoa ........and the isy goes down to the root!

FOR SURE CCM WAKO TAYARI KWA LOLOTE AS LONG AS WASHINDE UCHAGUZI

JE WAKO/TUKO TAYARI KUFA? WAFUASI WAO TUKO TAYARI KUFA? /WANANCHI WAKO TAYARI KUFA?
Erythrocyte
 
Msimamo imara ni kukataa kushiriki uchaguzi. Hili tukio la wizi wa kura na kukataa tume huru ni wazi CCM hawana nia nzuri.
Hata hayo maandamano inaonekana ni maagizo kutoka kwa wafadhili. Kwa hiyo kwa CCM inayatumia kupiga hela za wafadhili tu wala sio kusikiliza ajenda za maandamano
Well spoken!
 
walau mjitahidi pia kubadili sababu nyingine za kushindwa uchaguzi ndrugu zango, sasa zile zile miaka nenda miaka rudi 🐒

Ifike mahali tu kubalini tu kwamba hamkubaliki kwa wapiga kura, kwan Lazima 🐒

mkileta fujo mnakamatwa unafungiwa selo wengine na mambo mengine yanaendelea kwa haki, amani na uhuru 🐒

kwamba unadhani ukitoka selo baada ya kutiwa nguvuni watu hawatajua utasema nini ukiachiwa huru?
Ni useless kabisa 🐒
Nilikuwa nime ku block maana ni kupoteza muda na MB kusoma maaniko yako.
 
CDM ongezeni NGUVU ya Maandamano,..jipangani vizuri hiyo April,hamasisheni wanachama wenu+ watanzania wapenda haki bila kusahau wanaharakati..Tumieni MEDIA zile zenye KUSIMAMIA haki...

CCM hawajawahi kuwa WAKWELI ..kutwa ni uongo uongo,ulaghai,ghiriba ..dawa ni JINO kwa JINO hadi kieleweke

Mimi naomba nisamehewe kwa kuwabeza vikundi vya kwenye baadhi ya nchi vilivyoamua kuingia msituni kwa kukosekana kwa haki katika nchi zao. Niliamini kimakosa ile propaganda ya kuwa vikundi hivyo vina uchu wa madaraka, na propaganda hizo zilienezwa na tawala kama hizi za ccm. Sasa nimeelewa kwanini waliamua kuingia msituni.
 
Nilikuwa nime ku block maana ni kupoteza muda na MB kusoma maaniko yako.
kwahiyo umeni unblock tena 😀

kama si msomi na huna, muda, nia ya kusoma na kuelewa mambo, bali unapenda mzaha, vichekeshi na mipasho sawa...

lakin kama unataka kujifunza, kuelewa na kuongeza ufahamu wa masuala mbalimbali kisiasa, kijamii, kiuchumi, kitaifa na kimataifa, huwezi kuchukua uamizi kama huo usio na maana yoyote....

by the way napingukiwa nini ukiniblock mimi au mwingine....

mie namwaga madini tu sio kufurahisha mtu...
 
Msimamo imara ni kukataa kushiriki uchaguzi. Hili tukio la wizi wa kura na kukataa tume huru ni wazi CCM hawana nia nzuri.
Hata hayo maandamano inaonekana ni maagizo kutoka kwa wafadhili. Kwa hiyo kwa CCM inayatumia kupiga hela za wafadhili tu wala sio kusikiliza ajenda za maandamano
Nimeshasema tena, ni wendawazimu kuendelea kushiriki chaguzi hizi za kipuuzi kwa mazingira haya. Mnakubaliana tume huru, wezi wanagomea yote kisha mnaendelea kushiriki kwa lugha eti mama ana Nia njema. Machafuko tu, ama mapinduzi ya kijeshi ndio yataleta mabadiliko ya kweli. Huo utapeli wa 4Rs huwa wanaamini watu wajinga.
 
Shida ya vyama vya upinzani ni tamaa, ila kiukweli mimi ambaye nimekuwa kama wakala wa vyama kadhaa, mfumo wetu wa uchaguzi ni mbovu mno, na unaegemea upande mmoja wa CCM ukiona mahali wapizani wameshinda ujue kuna nguvu ya wananchi imetumika lakini hivyi hivyi ni vigumu mpinzani kushinda!! Inabidi wapinzani waelewe hivyo
 
Kama CHADEMA mmeamua kushiriki chaguzi zijazo, 2024/25, mjue for sure yale yale yaliyotokea 2020 yatatokea tena maana jana yametokea Ujiji Kigoma kwa ACT Wazalendo (ingawa ACT ni tawi la CCM ie (CCM vs ccm) kwa kukamata kura za wizi na polisi kuwakingia kifua CCM kwa kuwakamata viongozi wa ACT kuwafunga walipoingilia kati kuzuia wizi huo wa kura wa CCM.

BY HOOKS AND CROOKS LAZIMA CCM IFANYA YALE YALE YA 2020 MAANA WAMEANZA KIGOMA JANA.

MMEJIANDAAJE NA HUJUMA HIZO? MNA UWEZO WA KUKABILIANA NA POLISI? IF SO HOW?
Ccm bwana
 
kwahiyo umeni unblock tena 😀

kama si msomi na huna, muda, nia ya kusoma na kuelewa mambo, bali unapenda mzaha, vichekeshi na mipasho sawa...

lakin kama unataka kujifunza, kuelewa na kuongeza ufahamu wa masuala mbalimbali kisiasa, kijamii, kiuchumi, kitaifa na kimataifa, huwezi kuchukua uamizi kama huo usio na maana yoyote....

by the way napingukiwa nini ukiniblock mimi au mwingine....

mie namwaga madini tu sio kufurahisha mtu...
I need not learn from you anyway if your arguments are presented in that thinking and reasoning! Kuna wana CCM wengi humu we do discuss issues based on logic, intuition, reasoning, and the like! Lakini unapoona mtu analeta uchawa, you need not waste time and MBs!

Have a nice day and enjoy your JF discussions!
 
Nimeshasema tena, ni wendawazimu kuendelea kushiriki chaguzi hizi za kipuuzi kwa mazingira haya. Mnakubaliana tume huru, wezi wanagomea yote kisha mnaendelea kushiriki kwa lugha eti mama ana Nia njema. Machafuko tu, ama mapinduzi ya kijeshi ndio yataleta mabadiliko ya kweli. Huo utapeli wa 4Rs huwa wanaamini watu wajinga.
Samia naye ni wale wale tu
 
Very well-written thinking and analysis.

Nawashauri wawatayarishe wafuasi wao KUFA MSALABANI. Wajitayarishe kwa maumivu makali ambayo mwisho wake unaweza kuwa kifo kulinda kura zao

Kama kujitayarisha kufa,
1. Target No. 1 ya CCM kuua itakuwa Mbowe!
2. Target No. 2 itakuwa Lisu
3. Target No. 3 Wenyeviti wa majimbo..Lema, msigwa and the like.
4. Target No. 4 itakwa wenyeviti wa mikoa ........and the isy goes down to the root!

FOR SURE CCM WAKO TAYARI KWA LOLOTE AS LONG AS WASHINDE UCHAGUZI

JE WAKO/TUKO TAYARI KUFA? WAFUASI WAO TUKO TAYARI KUFA? /WANANCHI WAKO TAYARI KUFA?
Erythrocyte
Kwa upinzani huu wa Tanzania CCM italalamikiwa kuiba kura kila leo, HAKUNA kiongozi wa upinzani mwenye ushawishi, uchaguzi wa mwakani wapiga kura watakuwa wachache sana.
 
Back
Top Bottom