Yamenifika shingoni sijui la kufanya mimi

Yamenifika shingoni sijui la kufanya mimi

Kwa walionizidi umri shikamoni na kwa wa umri wangu habari zenu?

Kilichonileta mbele zenu ni hiki ndugu zanguni ni haya nayopitia na baba yangu licha ya kuwa na maswaibu yanayonisumbua kwa muda mrefu mpaka nashindwa kufanya kazi zangu kwa kuamua bali huwa najilazimisha ivoivo baada ya kuona ambao niliamini wanaweza simama na mimi kwenye haya nayopitia kuchukulia kawaida sana.

Siku moja hawa wazazi niliwaambia inabidi nienda hospitalini wakakaa kimya kwa kuwa nilikuwa nawajua nikajipanga hata kama hawatanisaidia pesa yoyote mimi ntaenda tu, siku ya kwenda ikafika nikajiaandaa wananiangalia tu.

Nikawa naenda hospital ya rufaa hiyo siku naye baba alikuwa anaelekea huko ila sio hospitalini tukawa tupo gari moja tukashuka tulivofika huka nikashangaa aniniuliza unaenda wapi nikamwambia hospitalini akakaa kimya tu tukaachana kila mtu akashika njia yake.

Cha kushangaza akarudi nyumbani na kuniacha huko alafu akaenda kumuulizia mama mimi apa nimeenda wapi? .

Sikuona ata simu yake wala ya mama maana vipimo vyangu vilikuwa vinachukua sio chini ya siku 5 kulingana na tatizo langu lipo complicated sana. Basi ndugu zangu nikaendelea kuishi nao hivohivo wala si kusema kitu chochote.

ikatokea tena mda mwingine nataka niende hospital na wala nilikuwa siwategemei tena wakinisaidia sawa wasiponisaidia sawa lazma mimi mwenyewe nijipange kwanza hii time baba akanambia hela hana ila ambayo ipo anataka anunulie mashamba kwanza picha linaanza iyo tulipanga tutakuwa safar moja akaniacha.

Ila mi nilizoea toka niko shule nimefanyiwa mikwazo mingi sana nilienda chuo sikuwahi pewa ata 100 mbovu kabisa maana nauli toka nyumban had huko nilikuwa nasoma ilikuwa haipungui 40000,,,kuna kipindi niliwahi kaa njian wiki 2 kwa kujishikiza kwa dogo fulani ivi ndo nikafika huko chuo.

Hapo niligundua hata nikimaliza chuo sina msaada na huyu baba ikabidi kule chuo nijibane sana bas pesa niliopata kwa kusevu nikawekeza kule nyumbani.

Kuna kipindi wakati nasoma nilijitahidi nikawekeza kwenye kitu cha msimu ile pesa baada ya kupatikana baba akaichukua huku akasema atanipa ndo ikawa mazima.

Wakati namaliza chuo wote wawili wakaniagiza simu kama nina balance niwanunulie simu watanipa ela nikifika nyumbani ikawa ndo bas tena wakati mi nilikuwa nawaza hizo ndo hela zitanisaidia ninavoingia mtaani hii yote nilikuwa najua nafanya wema kumbe najimaliza.

Life la mtaa likaanza sasa nikajiingiza kwenye moja ya zao kama mnavojua haya mazao yanataka mbolea sasa mimi nikamwomba uyu baba siku unaenda huko tutaenda wote nikaangalie mbolea maana kule bei nafuu kuliko sehemu ninakoishi nikafos maana iyo siku nayo alikuwa anataka kuniacha.

Nikaenda kutafuta zile mbolea na kuuliza bei na yeye nikamwambia akasema zimepanda zilikuwa haziuzwi hivyo, basi akaniambia kunamtu huwa namubebea anajumuaga labda tukaunganishe naye nikasema sawa bas inabidi uwasiliane naye kama inawezekana ili niwe na uhakika chenga zikawa nyingi kiufupi ikawa haeleweki bas nikamwambia mimi ntaenda kuchukua kwa bei nilizozikuta siku ukiwa unaenda uniambie akapata safari ya kwenda tena uko cha ajabu hata hajaniambia.

Hapa nina maswali sana kwani ipo wazi huyu baba yangu furaha yake ni kuniona nateseka hilo ameanza kitambo sema mi najishobokesha tu niliamini atabadilika hapa nawaza kumkimbia kabisa huku nikiumia hilo zao nimewekeza kwa miaka isiopungua mi5 ila naliacha iviivi kisa visa vya baba ambaye niliamini ndo anaweza kuwa nguzo yangu na mshauri ila ndo mtu wa kwanza kunipiga vita, niliamini atabariki kazi zangu ila imekuwa tofauti sana😭😭😭😭 sina mpango wa kuuza ayo maeneo ili niondoke ni bora nimkimbie na nimuachie ilo zao kama atakataa kuliendeleza acha life tu sina namna.

Hivi na nyie mmewahi yapitia haya nishaulini jamani nafanyaje jamani kunamda huwa nawaza nijitoe dunian kabisa.

Nina mengi haya ni machache sana . Yani hapa ninavoongea licha ya kupita huko shule ya msingi, sekondari, advance had chuo kikuu sijawahi fanyiwa sherehe hata moja ndugu zanguni naombeni ushauri wowote kulingana na maelezo ya hapo juu
Kama una elimu ya chuo basi nisikufiche, una uwezo mdogo sana kiakili.
Nimesoma maelezo yako hamna kinachoeleweka. Umesimulia kwa kuficha mambo muhimu na kuelezea kama vile tunajua ulipo na baba yako alipokuwa anakwenda.
Nina hakika baba yako anaona haujakuwa kiakili ndio maana anashindwa kukuchukulia kama mtu mzima anayeweza kujitambua.
Nisamehe kwa kutokuwa mnafiki..
 
Najua bado wewe ni mdogo na hujaona mengi ama kuexperience vingi.lakini chukua ushauri wangu.

1.Kwa udi ama uvumba, Anza kujitegemea completely kwa sababu wewe ni mtu mzima, bila kutegea ama kumlaunu mtu yeyote..ujenzi wa maisha yako uliofanywa na familia yako ni sababu pekee ya kukufanya uwe mtu mwenye shukrani sasa Anza walipoishia endelea mbele.

2.ukitaka kufanikiwa zaidi, jipange kimtaji au jichomoe betri nenda mbali kahustle kwa jitihada, aga officially, usiondoke kwa kinyongo coz hakuna atakayekuzuia.

3.kumbuka, ndugu hakopeshwi Huwa anasaidiwa...kumbuka Hilo kila siku
 
Nimekuelewa ndugu,pole.
Usishindane naoo,umri wako unatisha kujitegemeaa ikubali Hali then ishi nayo.
1.Ondoka nyumbani kwa Amanii wambie unaenda kutafuta maisha;unaweza ukaanzia sehemu ambayo sio mbali kuepusha garama za nauli na ugeni wa mazingila,ukipata hata Million 2...nenda mbali wasikokuona Nini unafanya kwa Kila siku.

2.Ongeza moyo wa upambanajii,tambua kua wewe umeanza maisha 0 2 afu game ugenini ( kisoka utanielewa) hivyo yakupasa kujituma haswa Ili kuset mfumo wako wa maisha. Nikutie moyo pambana utatoboa na watakupenda sana, usizarau watu maisha Bora yapo kwa watu wasokujua ingawa kwa Dunia ya Sasa nenda kwa umakini na hao Binadamu sio wote ni wema.
 
WAHUNI NA WACHAWI nao pia WANAZAA.

Kuzaa ni kitu rahisi tu, unaingiza KOJOLEO LA KIUME kwenye KOJOLEO LA KIKE kisha mtoto anazaliwa. NI RAHISI SANA.

Ndio maana hata PANYA ANAZAA pia. Kuzaa sio ishu, ni kitendo tu.

Cha msingi na cha sekondari ACHANA NA HILO LIBABA, tafuta maisha yako wala usihangaike nae. FUTA HATA MAWASILIANO YAKE.

Ukitengana nae utaona utakavyoanza kuwa na furaha. Si ajabu MCHAWI HUYO anakuloga nyakati za usiku. ANA MAPEMBE SABA.

NENDA MBALI, KATAVI HUKO NDANI NDANI AU MTWARA ufurahie maisha.

Cc: Lamomy Poor Brain mshamba_hachekwi cocastic Extrovert
 
Kwa walionizidi umri shikamoni na kwa wa umri wangu habari zenu?

Kilichonileta mbele zenu ni hiki ndugu zanguni ni haya nayopitia na baba yangu licha ya kuwa na maswaibu yanayonisumbua kwa muda mrefu mpaka nashindwa kufanya kazi zangu kwa kuamua bali huwa najilazimisha ivoivo baada ya kuona ambao niliamini wanaweza simama na mimi kwenye haya nayopitia kuchukulia kawaida sana.

Siku moja hawa wazazi niliwaambia inabidi nienda hospitalini wakakaa kimya kwa kuwa nilikuwa nawajua nikajipanga hata kama hawatanisaidia pesa yoyote mimi ntaenda tu, siku ya kwenda ikafika nikajiaandaa wananiangalia tu.

Nikawa naenda hospital ya rufaa hiyo siku naye baba alikuwa anaelekea huko ila sio hospitalini tukawa tupo gari moja tukashuka tulivofika huka nikashangaa aniniuliza unaenda wapi nikamwambia hospitalini akakaa kimya tu tukaachana kila mtu akashika njia yake.

Cha kushangaza akarudi nyumbani na kuniacha huko alafu akaenda kumuulizia mama mimi apa nimeenda wapi? .

Sikuona ata simu yake wala ya mama maana vipimo vyangu vilikuwa vinachukua sio chini ya siku 5 kulingana na tatizo langu lipo complicated sana. Basi ndugu zangu nikaendelea kuishi nao hivohivo wala si kusema kitu chochote.

ikatokea tena mda mwingine nataka niende hospital na wala nilikuwa siwategemei tena wakinisaidia sawa wasiponisaidia sawa lazma mimi mwenyewe nijipange kwanza hii time baba akanambia hela hana ila ambayo ipo anataka anunulie mashamba kwanza picha linaanza iyo tulipanga tutakuwa safar moja akaniacha.

Ila mi nilizoea toka niko shule nimefanyiwa mikwazo mingi sana nilienda chuo sikuwahi pewa ata 100 mbovu kabisa maana nauli toka nyumban had huko nilikuwa nasoma ilikuwa haipungui 40000,,,kuna kipindi niliwahi kaa njian wiki 2 kwa kujishikiza kwa dogo fulani ivi ndo nikafika huko chuo.

Hapo niligundua hata nikimaliza chuo sina msaada na huyu baba ikabidi kule chuo nijibane sana bas pesa niliopata kwa kusevu nikawekeza kule nyumbani.

Kuna kipindi wakati nasoma nilijitahidi nikawekeza kwenye kitu cha msimu ile pesa baada ya kupatikana baba akaichukua huku akasema atanipa ndo ikawa mazima.

Wakati namaliza chuo wote wawili wakaniagiza simu kama nina balance niwanunulie simu watanipa ela nikifika nyumbani ikawa ndo bas tena wakati mi nilikuwa nawaza hizo ndo hela zitanisaidia ninavoingia mtaani hii yote nilikuwa najua nafanya wema kumbe najimaliza.

Life la mtaa likaanza sasa nikajiingiza kwenye moja ya zao kama mnavojua haya mazao yanataka mbolea sasa mimi nikamwomba uyu baba siku unaenda huko tutaenda wote nikaangalie mbolea maana kule bei nafuu kuliko sehemu ninakoishi nikafos maana iyo siku nayo alikuwa anataka kuniacha.

Nikaenda kutafuta zile mbolea na kuuliza bei na yeye nikamwambia akasema zimepanda zilikuwa haziuzwi hivyo, basi akaniambia kunamtu huwa namubebea anajumuaga labda tukaunganishe naye nikasema sawa bas inabidi uwasiliane naye kama inawezekana ili niwe na uhakika chenga zikawa nyingi kiufupi ikawa haeleweki bas nikamwambia mimi ntaenda kuchukua kwa bei nilizozikuta siku ukiwa unaenda uniambie akapata safari ya kwenda tena uko cha ajabu hata hajaniambia.

Hapa nina maswali sana kwani ipo wazi huyu baba yangu furaha yake ni kuniona nateseka hilo ameanza kitambo sema mi najishobokesha tu niliamini atabadilika hapa nawaza kumkimbia kabisa huku nikiumia hilo zao nimewekeza kwa miaka isiopungua mi5 ila naliacha iviivi kisa visa vya baba ambaye niliamini ndo anaweza kuwa nguzo yangu na mshauri ila ndo mtu wa kwanza kunipiga vita, niliamini atabariki kazi zangu ila imekuwa tofauti sana😭😭😭😭 sina mpango wa kuuza ayo maeneo ili niondoke ni bora nimkimbie na nimuachie ilo zao kama atakataa kuliendeleza acha life tu sina namna.

Hivi na nyie mmewahi yapitia haya nishaulini jamani nafanyaje jamani kunamda huwa nawaza nijitoe dunian kabisa.

Nina mengi haya ni machache sana . Yani hapa ninavoongea licha ya kupita huko shule ya msingi, sekondari, advance had chuo kikuu sijawahi fanyiwa sherehe hata moja ndugu zanguni naombeni ushauri wowote kulingana na maelezo ya hapo juu
Sherehe sio issue kubwa kwasababu mimi pia nimepita kote huko na sijawahi kufanya hiyo Sherehe ila hapo changamoto ni huyo mzee wako maana anabehave kama wewe sio mwanae wa kumzaa.

Ushauri wangu inabidi ukae na wazee uongee nao na uwape hayo yote ili waangalie namna ya kuongea nae kwa maana kukimbia pekee haiwezi kuwa suluhisho ila solve hilo tatizo kwanza na option nzuri ni hiyo ya kuongea na wazee wa ukoo wenu ambao wanaheshimika na kusikilizwa then wao watajua namna ya kuongea nae kisha muafaka unaweza kupatikana.

Pole sana mkuu, kwa maana watu wote duniani wanaamini dunia nzima inaweza kukuacha uangamie ila wazazi pekee ndio wanaoweza kukukingia kifua na kukusaidia kwa namna yoyote ambayo inafaa kwao ila kwako wewe naona imekua tofauti sana though nnauhakika hauko pekee unaepitia changamoto za namna hii.

Jipe moyo na utafute suluhisho kwanza then ikishindikana ndio uchukue hatua za kupambana kivyako kwa maana unaouwezo coz kama umeweza kupambana kwenye elimu hadi umemaliza now huwezi kushindwa kupambana na maisha.
 
Back
Top Bottom