Yamenifika shingoni sijui la kufanya mimi

Yamenifika shingoni sijui la kufanya mimi

Kwa walionizidi umri shikamoni na kwa wa umri wangu habari zenu?

Kilichonileta mbele zenu ni hiki ndugu zanguni ni haya nayopitia na baba yangu licha ya kuwa na maswaibu yanayonisumbua kwa muda mrefu mpaka nashindwa kufanya kazi zangu kwa kuamua bali huwa najilazimisha ivoivo baada ya kuona ambao niliamini wanaweza simama na mimi kwenye haya nayopitia kuchukulia kawaida sana.

Siku moja hawa wazazi niliwaambia inabidi nienda hospitalini wakakaa kimya kwa kuwa nilikuwa nawajua nikajipanga hata kama hawatanisaidia pesa yoyote mimi ntaenda tu, siku ya kwenda ikafika nikajiaandaa wananiangalia tu.

Nikawa naenda hospital ya rufaa hiyo siku naye baba alikuwa anaelekea huko ila sio hospitalini tukawa tupo gari moja tukashuka tulivofika huka nikashangaa aniniuliza unaenda wapi nikamwambia hospitalini akakaa kimya tu tukaachana kila mtu akashika njia yake.

Cha kushangaza akarudi nyumbani na kuniacha huko alafu akaenda kumuulizia mama mimi apa nimeenda wapi? .

Sikuona ata simu yake wala ya mama maana vipimo vyangu vilikuwa vinachukua sio chini ya siku 5 kulingana na tatizo langu lipo complicated sana. Basi ndugu zangu nikaendelea kuishi nao hivohivo wala si kusema kitu chochote.

ikatokea tena mda mwingine nataka niende hospital na wala nilikuwa siwategemei tena wakinisaidia sawa wasiponisaidia sawa lazma mimi mwenyewe nijipange kwanza hii time baba akanambia hela hana ila ambayo ipo anataka anunulie mashamba kwanza picha linaanza iyo tulipanga tutakuwa safar moja akaniacha.

Ila mi nilizoea toka niko shule nimefanyiwa mikwazo mingi sana nilienda chuo sikuwahi pewa ata 100 mbovu kabisa maana nauli toka nyumban had huko nilikuwa nasoma ilikuwa haipungui 40000,,,kuna kipindi niliwahi kaa njian wiki 2 kwa kujishikiza kwa dogo fulani ivi ndo nikafika huko chuo.

Hapo niligundua hata nikimaliza chuo sina msaada na huyu baba ikabidi kule chuo nijibane sana bas pesa niliopata kwa kusevu nikawekeza kule nyumbani.

Kuna kipindi wakati nasoma nilijitahidi nikawekeza kwenye kitu cha msimu ile pesa baada ya kupatikana baba akaichukua huku akasema atanipa ndo ikawa mazima.

Wakati namaliza chuo wote wawili wakaniagiza simu kama nina balance niwanunulie simu watanipa ela nikifika nyumbani ikawa ndo bas tena wakati mi nilikuwa nawaza hizo ndo hela zitanisaidia ninavoingia mtaani hii yote nilikuwa najua nafanya wema kumbe najimaliza.

Life la mtaa likaanza sasa nikajiingiza kwenye moja ya zao kama mnavojua haya mazao yanataka mbolea sasa mimi nikamwomba uyu baba siku unaenda huko tutaenda wote nikaangalie mbolea maana kule bei nafuu kuliko sehemu ninakoishi nikafos maana iyo siku nayo alikuwa anataka kuniacha.

Nikaenda kutafuta zile mbolea na kuuliza bei na yeye nikamwambia akasema zimepanda zilikuwa haziuzwi hivyo, basi akaniambia kunamtu huwa namubebea anajumuaga labda tukaunganishe naye nikasema sawa bas inabidi uwasiliane naye kama inawezekana ili niwe na uhakika chenga zikawa nyingi kiufupi ikawa haeleweki bas nikamwambia mimi ntaenda kuchukua kwa bei nilizozikuta siku ukiwa unaenda uniambie akapata safari ya kwenda tena uko cha ajabu hata hajaniambia.

Hapa nina maswali sana kwani ipo wazi huyu baba yangu furaha yake ni kuniona nateseka hilo ameanza kitambo sema mi najishobokesha tu niliamini atabadilika hapa nawaza kumkimbia kabisa huku nikiumia hilo zao nimewekeza kwa miaka isiopungua mi5 ila naliacha iviivi kisa visa vya baba ambaye niliamini ndo anaweza kuwa nguzo yangu na mshauri ila ndo mtu wa kwanza kunipiga vita, niliamini atabariki kazi zangu ila imekuwa tofauti sana😭😭😭😭 sina mpango wa kuuza ayo maeneo ili niondoke ni bora nimkimbie na nimuachie ilo zao kama atakataa kuliendeleza acha life tu sina namna.

Hivi na nyie mmewahi yapitia haya nishaulini jamani nafanyaje jamani kunamda huwa nawaza nijitoe dunian kabisa.

Nina mengi haya ni machache sana . Yani hapa ninavoongea licha ya kupita huko shule ya msingi, sekondari, advance had chuo kikuu sijawahi fanyiwa sherehe hata moja ndugu zanguni naombeni ushauri wowote kulingana na maelezo ya hapo juu
Huyo amaweza akuwa sio Biological father wako,muulize vizuri Mama yako.
 
I’m
WAHUNI NA WACHAWI nao pia WANAZAA.

Kuzaa ni kitu rahisi tu, unaingiza KOJOLEO LA KIUME kwenye KOJOLEO LA KIKE kisha mtoto anazaliwa. NI RAHISI SANA.

Ndio maana hata PANYA ANAZAA pia. Kuzaa sio ishu, ni kitendo tu.

Cha msingi na cha sekondari ACHANA NA HILO LIBABA, tafuta maisha yako wala usihangaike nae. FUTA HATA MAWASILIANO YAKE.

Ukitengana nae utaona utakavyoanza kuwa na furaha. Si ajabu MCHAWI HUYO anakuloga nyakati za usiku. ANA MAPEMBE SABA.

NENDA MBALI, KATAVI HUKO NDANI NDANI AU MTWARA ufurahie maisha.

Cc: Lamomy Poor Brain mshamba_hachekwi cocastic Extrovert
upo sahihi jana kuna mtu alimieleza mama yake alimtelekeza kwa bibi yake bila sababu na yupo hai
Akaona haitoshi akamtumia na majini
Yaani ulimwengu huuu
Wazazi wengine sio kama wazazi
 
I’m

upo sahihi jana kuna mtu alimieleza mama yake alimtelekeza kwa bibi yake bila sababu na yupo hai
Akaona haitoshi akamtumia na majini
Yaani ulimwengu huuu
Wazazi wengine sio kama wazazi
Alimtumia majini?
Japo sio jambo zuri, ila lazima huyo mtoto alipatikana kwa majuto sana.
 
Sasa mkuu mwantumu kafikaje hapa😅
Kina mwantum ndio wana hurka za kulia lia.
Ila kina hamdala kiuno kazi yetu ni kuamua panapostahiki.
Umri wake jamaa mie nishaoa na natizama maisha mengine.
Yeye anakaa kulialia nini afanye!??
Anatakiwa atambue anapaswa kujenga maisha yake na legacy yake kuanzia sasa.
Maana hapo anaishi katika legacy ya wazee wake achomoke akajenge legacy yake awe na uhuru wake.
Wakimtaka watamtafuta,haina haja ya yeye kukaa nao kikao wala nini.
Ila akiondoka aondoke kwa wema tu.
 
Nilitaka kutumua lugha ngumu sana, ila kwa vile umesema unaumwa ngoja niache.

Muhimu, sepa hapo home. Kama umekaa kwa wazazi wako, ukala na kukua mpaka kufikia miaka 26 unawadai nini hao watu?

Sio kila mtu anaweza kukuonyesha upendo, na sio lazima, Amini ya kua washatimiza majukumu yao na kilichobaki ni wewe kuamka na kutimiza majukumu yako no matter how hard they are.

Workup nigger, Acha kulia lia, acha kubembeleza hao wazee washenzi, Huenda unavo teseka wao ndo wanapata relief.
 
Alitokea folk alikuwa anaumwa pancreatic cancer ambayo imefika stage four
Moja ya AHADI aliyo iacha hapa jf ni kuwa akipata dawa kutoka Kwa mtu humu atampa 1M folk

Umesema kuwa vipimo vyako vinachukua more than 5 days

Je! Ni wewe tukujuaye umerudi kutoka kuzimu??
 
Muhimu ni kukubaliana na Hali iliyopo, halafu jipange uweze kusonga mbele, watu wa muhimu katika maisha yako wanaweza kukufanya ukayachukia maisha lakini kama una afya nzuri jikung,Ute nyanyuka uende zako,maana mpaka kufika umri wako hakuna kitu usichokielewa.
 
Mkuu pole sana na huo mkasq uliokukuta ndio familia za Kiafrika zilivyo huwa hazieleweki kabisa, Kwanza jikubali na jiamini kwamba unaweza. Mimi nilishawahi kuandika mkasa wangu humu mbona weww unachopitia ni cha kitoto sana ?
Maisha sio kulia lia na kutaka huruma, ukitaka uonewe huruma maisha yatakunyanyasa sana na dunia utaiona chungu.
Jikubali kwa sababu harakati za kupambana unaziweza na vile vile una nguvu na uwezo wa kufanya shughuli basi hilo ni jambo zuri.
Jenga mahusiano mazuri na watu, kuwa mnyenyekevu na usijifanye kwa sababu ni graduate basi unajua kila kitu hapo utaiona dunia chungu.
Siki nzuri zitakuja kwako naada ya hayo magumu unayopitia. Kikubwa Imani, jitihada na adabi mbele za watu mbona nuru ipo tu.

Folk Part II hebu angalia background yangu hii hapa utajiona kumbe wewe una nafuu mara elfu 10000

Maisha sio kulalamika, ni kupambana tu...
 
Kwa walionizidi umri shikamoni na kwa wa umri wangu habari zenu?

Kilichonileta mbele zenu ni hiki ndugu zanguni ni haya nayopitia na baba yangu licha ya kuwa na maswaibu yanayonisumbua kwa muda mrefu mpaka nashindwa kufanya kazi zangu kwa kuamua bali huwa najilazimisha ivoivo baada ya kuona ambao niliamini wanaweza simama na mimi kwenye haya nayopitia kuchukulia kawaida sana.

Siku moja hawa wazazi niliwaambia inabidi nienda hospitalini wakakaa kimya kwa kuwa nilikuwa nawajua nikajipanga hata kama hawatanisaidia pesa yoyote mimi ntaenda tu, siku ya kwenda ikafika nikajiaandaa wananiangalia tu.

Nikawa naenda hospital ya rufaa hiyo siku naye baba alikuwa anaelekea huko ila sio hospitalini tukawa tupo gari moja tukashuka tulivofika huka nikashangaa aniniuliza unaenda wapi nikamwambia hospitalini akakaa kimya tu tukaachana kila mtu akashika njia yake.

Cha kushangaza akarudi nyumbani na kuniacha huko alafu akaenda kumuulizia mama mimi apa nimeenda wapi?

Sikuona ata simu yake wala ya mama maana vipimo vyangu vilikuwa vinachukua sio chini ya siku 5 kulingana na tatizo langu lipo complicated sana. Basi ndugu zangu nikaendelea kuishi nao hivohivo wala si kusema kitu chochote.

ikatokea tena mda mwingine nataka niende hospital na wala nilikuwa siwategemei tena wakinisaidia sawa wasiponisaidia sawa lazma mimi mwenyewe nijipange kwanza hii time baba akanambia hela hana ila ambayo ipo anataka anunulie mashamba kwanza picha linaanza iyo tulipanga tutakuwa safar moja akaniacha.

Ila mi nilizoea toka niko shule nimefanyiwa mikwazo mingi sana nilienda chuo sikuwahi pewa ata 100 mbovu kabisa maana nauli toka nyumban had huko nilikuwa nasoma ilikuwa haipungui 40000,,,kuna kipindi niliwahi kaa njian wiki 2 kwa kujishikiza kwa dogo fulani ivi ndo nikafika huko chuo.

Hapo niligundua hata nikimaliza chuo sina msaada na huyu baba ikabidi kule chuo nijibane sana bas pesa niliopata kwa kusevu nikawekeza kule nyumbani.

Kuna kipindi wakati nasoma nilijitahidi nikawekeza kwenye kitu cha msimu ile pesa baada ya kupatikana baba akaichukua huku akasema atanipa ndo ikawa mazima.

Wakati namaliza chuo wote wawili wakaniagiza simu kama nina balance niwanunulie simu watanipa ela nikifika nyumbani ikawa ndo bas tena wakati mi nilikuwa nawaza hizo ndo hela zitanisaidia ninavoingia mtaani hii yote nilikuwa najua nafanya wema kumbe najimaliza.

Life la mtaa likaanza sasa nikajiingiza kwenye moja ya zao kama mnavojua haya mazao yanataka mbolea sasa mimi nikamwomba uyu baba siku unaenda huko tutaenda wote nikaangalie mbolea maana kule bei nafuu kuliko sehemu ninakoishi nikafos maana iyo siku nayo alikuwa anataka kuniacha.

Nikaenda kutafuta zile mbolea na kuuliza bei na yeye nikamwambia akasema zimepanda zilikuwa haziuzwi hivyo, basi akaniambia kunamtu huwa namubebea anajumuaga labda tukaunganishe naye nikasema sawa bas inabidi uwasiliane naye kama inawezekana ili niwe na uhakika chenga zikawa nyingi kiufupi ikawa haeleweki bas nikamwambia mimi ntaenda kuchukua kwa bei nilizozikuta siku ukiwa unaenda uniambie akapata safari ya kwenda tena uko cha ajabu hata hajaniambia.

Hapa nina maswali sana kwani ipo wazi huyu baba yangu furaha yake ni kuniona nateseka hilo ameanza kitambo sema mi najishobokesha tu niliamini atabadilika hapa nawaza kumkimbia kabisa huku nikiumia hilo zao nimewekeza kwa miaka isiopungua mi5 ila naliacha iviivi kisa visa vya baba ambaye niliamini ndo anaweza kuwa nguzo yangu na mshauri ila ndo mtu wa kwanza kunipiga vita, niliamini atabariki kazi zangu ila imekuwa tofauti sana😭😭😭😭 sina mpango wa kuuza ayo maeneo ili niondoke ni bora nimkimbie na nimuachie ilo zao kama atakataa kuliendeleza acha life tu sina namna.

Hivi na nyie mmewahi yapitia haya nishaulini jamani nafanyaje jamani kunamda huwa nawaza nijitoe dunian kabisa.

Nina mengi haya ni machache sana . Yani hapa ninavoongea licha ya kupita huko shule ya msingi, sekondari, advance had chuo kikuu sijawahi fanyiwa sherehe hata moja ndugu zanguni naombeni ushauri wowote kulingana na maelezo ya hapo juu
Kumbe umesoma hadi chuo kikuu?! Achana na hao wazazi wasiokujali kata mbuga nenda popote kaanze maisha wala usichague kazi. Usihangaike nao sio wewe wa kuwatafuta wao bali wao ndio wa kukutafuta wewe. Inasikitisha sana ila hakuna jinsi sio watu wazuri hao ondoka hapo nyumbani katafute maisha tena mbali kabisa. Pia kaa vizuri katika maombi na sala isijekuwa wazazi wako ni washirikina au wachawi kwa maana watu hao hawana huruma hata kwa watoto wao. Jihadhari sana!
 
Pole sana mkuu kaa nae chini ongea nae kwa upole umueleze hisia zako, Je mama yako nae
wanafanana tabia.

Je vipi kwa ndugu zako wengine wao wanapitia hali hiyo hiyo?
Kiufupi hata nao hawaelewani kivile ninachopitia mama naye anahis ivoivo huku naye baba anahis kupitia magumu kiufupi ni visa juu ya visa ,,, mshua anapenda kujiongeza negativity sana hata kama wewe unamshilikisha mfanye kitu cha maana unaweza shangaa kakuzushia unataka kumuibia kupitia icho kitu na hataki kuonyesha ushilikiano wowote ilitakiwa wajenge nyumba sehemu fulani nilikuwa naamini yeye atakuwa wa kwanza kufuatilia ila hana mda kabisa na tanulu linamongonyoka tofali zinazid kuteketea ukijikologa umuulizie tunafanyaje wewe ujue unajitafutia matatizo
 
Mkuu pole sana na huo mkasq uliokukuta ndio familia za Kiafrika zilivyo huwa hazieleweki kabisa, Kwanza jikubali na jiamini kwamba unaweza. Mimi nilishawahi kuandika mkasa wangu humu mbona weww unachopitia ni cha kitoto sana ?
Maisha sio kulia lia na kutaka huruma, ukitaka uonewe huruma maisha yatakunyanyasa sana na dunia utaiona chungu.
Jikubali kwa sababu harakati za kupambana unaziweza na vile vile una nguvu na uwezo wa kufanya shughuli basi hilo ni jambo zuri.
Jenga mahusiano mazuri na watu, kuwa mnyenyekevu na usijifanye kwa sababu ni graduate basi unajua kila kitu hapo utaiona dunia chungu.
Siki nzuri zitakuja kwako naada ya hayo magumu unayopitia. Kikubwa Imani, jitihada na adabi mbele za watu mbona nuru ipo tu.

Folk Part II hebu angalia background yangu hii hapa utajiona kumbe wewe una nafuu mara elfu 10000

Maisha sio kulalamika, ni kupambana tu...
Ahsante sana mkuu ubarikiwe kwa ushauri wako,,,kinachonitesa apa ni mambo ya haso zangu zipo sehemu anayokaa bas ni mtu wa kunisemea ubaya kwa watu wanaonizunguka kiufupi watu wanaishi na mimi kwa maneno ya baba ndo kinachoniuma
 
Kumbe umesoma hadi chuo kikuu?! Achana na hao wazazi wasiokujali kata mbuga nenda popote kaanze maisha wala usichague kazi. Usihangaike nao sio wewe wa kuwatafuta wao bali wao ndio wa kukutafuta wewe. Inasikitisha sana ila hakuna jinsi sio watu wazuri hao ondoka hapo nyumbani katafute maisha tena mbali kabisa. Pia kaa vizuri katika maombi na sala isijekuwa wazazi wako ni washirikina au wachawi kwa maana watu hao hawana huruma hata kwa watoto wao. Jihadhari sana!
Ahsante mkuu ubarikiwe,,,ingekuwa tu mtu mwenye roho nyepesi angekuwa ashawatamkia labda ni nyie mmeniroga na mnafurahi kuniona nateseka ivi mimi kuna sehemu moja ya mgongo pananisumbua ila huwezi amini baba alishusha mifuko yake mi6 ya mbolea mbali kidogo na home akaniambia niitoe pale njian niipeleke home wakati alikuwa na uwezo wa kusogeza gari likatua karibu na home nilijikaza nikabeba huku nikifikilia kwa hii hali ananichukuliaje nikafunika kombe
 
Back
Top Bottom