Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
- Thread starter
-
- #201
Katika bunge la kichwa changu jana mjadala ulikua mkali sana, chama cha upinzani kilikua na hoja nzito zenye mashiko kunitaka nishuke na tutafute mahali tukabanjuane. Hoja nzito kwel kwel, ila chama tawala kikasema noo, na hakikua na sababu nyiingi za msingi kama walivyo ccm, just one word, "hell no just stop that nonsense"ingekuwa mimi tungeshuka kituo chochote hapo,tungeitafuta gesti ilipo chap kwa haraka
Aah wap hapana, hata namba yake sikui save na nika delete call history fastaUshamsalimu leo
Tatizo significant tuHili nalo tatizo
Mkuu hiv huzijui kero za sisi watukia usafiri wa daladala, siku moja moja paki gari yako hiyo njoo uone jinsi ilivyo tabu.Aisee jamaa unalala kwenye daladala mpaka unaota ndoto,we endeleaga tu kulala tu kwenye daladala kuna siku utanzinduka huna hata mia wahuni wamekwala mpaka leso
Yes uko sahihi ni hesabu ndogo tu.Huyo ni kahaba tu,hiyo route si unajua pale buguruni ni kituo chao
Nimewahi kutana na mmoja ata mm kwenye route hiyo
Afu kwa dar hii hali inatokea sana asa kwenye daladala,kuna mabinti unaona kabisa wanalazimisha wakatafunwe
Mkuu nadhani ugumu wa maisha unachangia huyo dogo aliwaza utamlipia nauli na ukimla utamtoa salio😀😀😀
Zikikatika unapata faida gani chief watu biashara zinaathirika kwa kukosa inter net?Waendelee tu kakata nyaya za internet kwa kweli.
Hii ina make sense mkuuYes uko sahihi ni hesabu ndogo tu.
Huwa wanacheza na akili tu za wanaume hasa hasa wanaangalia tu mwanaume ambaye yuko smart na matured enough 35+ years wanajua umeshajitafuta salio lipo ni rahisi kumuonga elfu 20 siku yake inaenda hawataki vijana wadogo wenye umri wao kwa sababu hela zao za kuungaunga.
Wako wengi sana wa staili hiyo wanapanda daladala kama wanaenda kazini kumbe wanavizia wanaume wajae kwenye 18
Pole sana mkuu, pia na hongera kwa kumkataa shetani na kazi zake..... Ni vyema kujua kama Kuna kujenga, basi ujue kuna kuharibu,,, ili uharibifu usitokee katika kitu ulicho Jenga unatakiwa nidhamu ya kukitunza itawale....Ahsante chief, inaweza kuwa sahihi maana kuna vitu critical sana ambavyo hakuna namna ningeandika hapa ambavyo ndio vilikua lengo la hii safari. Na hii safar nimekua nikighairi week nzima bila sababu za msingi na ku ghairi kukawa kuna zidi kuniweka pabaya kikazi ila tu kila nikipanga nika rescue situation najikuta nahirisha safar bila sababu.
Jana nikasema acha niende tu, ndio nikakutana na kituko hicho ambacho almanuauru niishie safar njian nikatishe kona ya lodge.
Na baada ya kumaliza lililonipeleka huko, likafungua mlango mkubwa sana niliokua nautafua, na nikiwa huko huyu mtoto alikua akipiga sana simu maana niliahid ningemtafuta after 1 hour. Piga sana simu, "uko wap , uko wapi, nakusubiri mahali flan"😂.
Nikaamua kumpotezea tu nifanye ya msingi.
So unaweza ukawa na point
Kwa kuwa umechagua kuangalia upande huo.Zikikatika unapata faida gani chief watu biashara zinaathirika kwa kukosa inter net?
Ndio ulale mpaka uote majini mahaba yanakufanyia mitongozoMkuu hiv huzijui kero za sisi watukia usafiri wa daladala, siku moja moja paki gari yako hiyo njoo uone jinsi ilivyo tabu.
Kwel route ya Mbagara Mbezi kwamfano utakosa kulala na joto hili la Dar
MKuu sasa kwenye ndoto hiyo picha ningeitoa wap man? Maana ulimwengu bado hajafikia teknolojia hiyo ya kurekodi ndotoNdio ulale mpaka uote majini mahaba yanakufanyia mitongozo
Umeigoogle jamaa yanguMKuu sasa kwenye ndoto hiyo picha ningeitoa wap man? Maana ulimwengu bado hajafikia teknolojia hiyo ya kurekodi ndoto
Kuna siku nimepanda gari machinga nikasimama pembeni yangu kasimama mkaka handsome ana macho kama ya Tommy flavourMkuu hiv huzijui kero za sisi watukia usafiri wa daladala, siku moja moja paki gari yako hiyo njoo uone jinsi ilivyo tabu.
Kwel route ya Mbagara Mbezi kwamfano utakosa kulala na joto hili la Dar
nitupie hizo namba pm mkuuKatika bunge la kichwa changu jana mjadala ulikua mkali sana, chama cha upinzani kilikua na hoja nzito zenye mashiko kunitaka nishuke na tutafute mahali tukabanjuane. Hoja nzito kwel kwel, ila chama tawala kikasema noo, na hakikua na sababu nyiingi za msingi kama walivyo ccm, just one word, "hell no just stop that nonsense"
Nikaona acha nitii sheria bila shuruti
Niambie nifanye nini kingine kuthibitisha hii picha nimeipga.Umeigoogle jamaa yangu
Hapana kamanda, daladala ilikua na watuKwenye daladala mlikuwa wawili tu?
Ile hali ya "sitaki nataka"Hapana kaka, unatafunaje kucha mbele ya mwanamke?