Yamenikuta wakuu, nimetongozwa kwenye daladala

Inawezekana, ila ubaya ni kwamba ulipofika wakat wa kutoa nauli, nilitoa oesa taslim 1,100/= konda akauliza peke yako, nikasmea ndio kata mmoja tu kama ilivyo
 
Wanawake ni matapeli mkuu, ona kwa hatua ya kwanza hii kakutapeli akili muda wote unawaza ujasiri wake wa kukutongoza ukithubutu kumnyandua subiri kutapeliwa mwili, roho na uchumi.
Nakubaliana na wewe chief.she completelly robbed my mind. Hiyo stage nyingine nikagoma.
 
Una mengi boss.
Boss niamini mimi hapo sijaweka kilichofuata baada ya kushuka kimara, kuweka screenshot za text hapa ni jau maana penati niliwekewa na golin kipa katoka, ila nikaona mmmhh!! Hapa sipigi.

Ndio maana masema hayo ni machavhe sijaweka part 2
 
Reactions: Tsh
Chalii yangu mwanaume unatakiwa uwe ni hii Adam's apple kwa shingo ukiikosa hii siri ndogo ndogo zitaendelea kukushindaView attachment 2990325
Ni kwel, japo kwangu hii hai qualify kuweka kwenye secrete ballot, kwangu hili ni tukio tu, sema ni ajabu kidogo ndio maana nikaona nifanye ku share experience.
 
Boss niamini mimi hapo sijaweza kilichofuata baada ya kusguka kimara, kuweka screenshot za text hapa ni jau maana penati niliwekewa na golin kipa katoka, ila nikaona mmmhh!! Hapa sipigi.

Ndio maana masema hayo ni machavhe sijaweka part 2
Umeeleweka boss.
 
K
 
Ni kuwa Kaka Ivan, Hemed PhD siku hizi anajiita Mwamposa, eti ndiyo aka yake..!!
Ahahahah..nafikiri kaona namna mwamposa anavyowapelekesha nyomi la wanawake na yeye yule bwana ni mtu wa totoz nafikir atakua qnamu admire kwenye angle hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…