Yamenikuta wakuu, nimetongozwa kwenye daladala

Ni kwel, japo kwangu hii hai qualify kuweka kwenye secrete ballot, kwangu hili ni tukio tu, sema ni ajabu kidogo ndio maana nikaona nifanye ku share experience.
Ni kawaida bro mwanamke kumueleza mwanaume hisia zake mbona yapo sana na siyo jambo la ajabu, ikitokea umeelezwa na mwanamke hisia zake sisi wanaume tunachotakiwa kufanya ni mambo machache tu kukubali au kukataa na vyote vibaki kuwa siri yako usimueleze mtu yeyote
 
Mbona mikono mibaya hivyo amejichubua sio?

Cc shombeshombe 😘
 
Ni kawaida kwa wanaume wenye hela na maarufu sio wanaume masikini unless uwe handsome balaa
 
Vidole vyake vya mikono ni ndizi iliyoiva sana..hii sio Mali Safi mkuu.

Ile kesi yako na mchungaji iliisha mkuu?
 
Mdogo angu huwez ukawa umenichoka kiwango hiki. Kweli nimekua mfu katika level hii? Aaahh nitake radhi bwana! 😂😂
Kaka mkubwa nisamehe ila hiyo ni kauli general kwa harakati general. Kwa hiyo pambana tu na hiyo mama ya uswazi ili ipate wa kuinunulia vijora na abaya 😁
 
 
Kwa maelezo niliyoyakusanya ,ni mtoto wa kusini huko, keupe kembamba kana urefu wa wastani, kwakifupi kanafaa kwa matumizi ya binadamu wa kiume. Kamevaa kistara sana, gauni yake smart na ushungi juu, ka ustadhat flani
Keupe kumbe kamejikboa!
 
Nilifedheheka maana yule mtoto alianza kuji "bebisha"
Wamewafuata mpaka kwenye Magari sasa Shetani Hana Akili

Muda huu kuna Malaya anachekelea kuingiziwa ulimi kwenye K yake na lidume limepanua tu mdomo kuokoteza VVU mdomoni likipata Kansa ya Koo lawama zote kwa Mama Kibonge wa Buza
 
Kuna watu wana muda mwingi wa kuchezea, mnatoa wapi huu muda??!!
 
Ndio hujatuambia jinsi ulivyomkatikia miuno na alivyokupa miguno huku anakuunga na ule Mkongo wa Taifa
 
Malaya siku hizi wanajiongeza Sana. Tanga wanavaa kununua kabisa wewe msukuma ukija ukaopolewa unajisifu umekula mtoto wa kidigo toka Mwakidila kumbe ndio zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…