Kwani vibaya?Wanawake siku hizi wanaishi maisha ya ajabu, yaan anatongoza mwanaume bila aibu eti uniingizie khaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani vibaya?Wanawake siku hizi wanaishi maisha ya ajabu, yaan anatongoza mwanaume bila aibu eti uniingizie khaaa
Mila zetu hazikuwa hivyo, na ndiyo maana tunakaa kusubiri mtu wa kupropose kuoaKwani vibaya?
Hakuna ubaya kuonyesha hisia zako kwa mwanaume kama ilivyo mwanaume kwax mwanamke. Ila wengi wa wanaume wana tabia ya kukashifu wanapotakwa na mwanamke lakini si vibaya anayekashifu kwa sababu amependwa ndiye mjinga. Kama mwanamke amempenda mwanaume na akamfungukia ikiwa nwanaume hamopendi/ hamtaji basi amkatalie kwa ustaarabu bila kumkashifu wala kumhuzunisha huku moyoni akiappreciate kwa kupendwa.Mila zetu hazikuwa hivyo, na ndiyo maana tunakaa kusubiri mtu wa kupropose kuoa
Manyanyaso gani kwa mfano?baada ya hapo kama hujanipa ukubali tu manyanyaso
ukipiga simu kabla ya salamu unakumbushwa deni, au mda wowote tu nakuibukia ofisini kwako, sikauki nyumbani kwako labda uhameManyanyaso gani kwa mfano?
Njoo uchukue maua yakoukipiga simu kabla ya salamu unakumbushwa deni, au mda wowote tu nakuibukia ofisini kwako, sikauki nyumbani kwako labda uhame
mimi hapa nimekuja 😅Njoo uchukue maua yako
🤣🤣🤣Ni member humu,?
Apige na pesa adai...sikushauri uache hiyo papuchi na sikushauri uache hela yako niko pale nimekaa mkuu
Nyoosha mikono nikupatie maua yakomimi hapa nimekuja 😅
🤲Nyoosha mikono nikupatie maua yako
Keti tafadhali uookee maua yako
yani hizo process zote kwa maua gani😃Keti tafadhali uookee maua yako
Hahahaa usiniambie kuwa hujui maandalizi ya kupokea zawadi yalivyo.yani hizo process zote kwa maua gani😃
hatakama ndo mengi hivyoHahahaa usiniambie kuwa hujui maandalizi ya kupokea zawadi yalivyo.
Nineshakupa hata hivyo hunidaihatakama ndo mengi hivyo