mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
inauma sana eti kumtega mtu umpe mbussu badala ya kumlipa hela yake, uchungu wa pesa ni kitu kingine....Jinsia tofauti si ndio mtakuja na malalamiko kama ya mleta mada [emoji16][emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app