Waswahili wanasema usiku wa deni haukawii, leo Tanesco wametoa statement ya kuonyesha uhaba wa uzalishaji umeme kutokana na kina cha maji kupungua.
Hivyo watatoa ratiba ya umeme, watu wajipange
Waziri alisema sababu ni maintenance, lakini kumbe sio. Kazi iendelee
Eti watu waanze kupanga kazi zao
View attachment 2015253
Hivi huyu mama anayeitwa Rais Samia Suluhu Hassan sijui mpaka sasa anaendelea kufanya nini ofisini kama anaruhusu hizi hujuma dhidi ya wananchi wa Tanzania kufanyika mchana kwwupe kiasi hiki....??
Eti upungufu wa maji kwenye mabwawa yetu. HII SIYO KWELI...!!!
Kwa sàbàbu msimu uliopita wa 2020/2021 ulikuwa na mvua nyingi kiasi cha maji kuzidi kiwango kinachotakiwa hata kuwa mafuriko. Na msimu wa mvua ndo tu uliishilizia mwezi Juni, 2021. Leo iweje wanatoa kisingizio cha maji....?
HAPANA. Hizi ni hujuma!!
Huyu mama hafai kuwa Rais na anatakiwa atolewe ofisini hata leo ili nchi hii apewe mtu anayeijua vyema...
Katika hili Hayati Mwendazake John P. Magufuli alikuwa mzuri sana. Pamoja na mapungufu yake katika maswala ya haki za binadamu, demokrasia na utawala bora, lakini ktk usimamizi wa uwajibikaji na utendaji serikali alikuwa safi kabisa...
Katika miaka ya u- Rais wake wa karibu miaka 6 hakukuwahi kuwa na mgawo wa umeme na hali ya hewa ni hii hii haikuwahi kuwa tofauti...
Leo miezi sita baada ya kifo chake na kuingia huyu mama asiye na mbele wala nyuma, anatangaza ujinga huu. Why..???
Hii maana yake, kuna kikundi cha watu wanataka kutengeneza tatizo la upungufu wa umeme ili kupiga hela na wakati huohuo kuihujumu nchi na wananchi na yeye mwenyewe Rais, wakati huo huo wakimpangia ziara zisizo na tija kuzunguka zunguka tu duniani aimlessly ili huku nyuma kundi hili lifanye litakavyo...
Kwanini tatizo hili la umeme limeshika kasi Mara baada ya aliyekuwa waziri Wa nishati Medard Kalemani kutimuliwa na kumpisha January Makamba...????
By the way, Jenerali Ulimwengu was right kumbe. Alisema wazi, HUYU MAMA HAIJUI NCHI HII, HATAIWEZA...!
Look now, here we are. Taratibu maneno haya yanaanza kuthibitika....
Huyu Mzanzibar aondoke, arudi kwao. Atuachie nchi yetu ya Tanganyika!!!!!