Yametimia: TANESCO yakiri uhaba wa umeme. Kutoa 'Taarifa' watu wapange kazi zao

Yametimia: TANESCO yakiri uhaba wa umeme. Kutoa 'Taarifa' watu wapange kazi zao

Hivi waziri mkuu KASSIMU MAJALIWA n mzima kweli?

Huwa hapewi taarifa kuhusu Hali halisi naanza kuwa na mashaka na huyu

Kifo Cha Magufuli alidanganywa

Juzi katangaza wawekezaj waje umeme upo

Huyu jamaa kadharaulika Sana

Hya tanesco nao TMA walitoa tangazo toka mwez June juu ya ukame kwann mitambo ya ges hamkurekebisha mapema wakat TMA walishatoa taarifa ?
 
Nadhani hatimae watu ndo wataelewa...

It's just last week nimehoji mara kadhaa hapa, kama sio 57% ya umeme unaotokana na gesi, nchi ingekuwa katika hali gani wakati umeme wa maji ni ONLY around 36%?!

Kiukame kidogo tu, tushaanza kutafutana...

Huku Misukule ikikazana kwamba, kwavile kuna Bwawa la Nyerere linajengwa basi ku-explore vyanzo vingine vya umeme ni kutaka kumhujumu JPM ili ionekane Mradi wa Bwawa la Nyerere haufai!!

Tuna taifa lenye viumbe wa ajabu sana...
Tena misukule kweli kweli!
 
An aimed shortage to allow investors!

Upuuzi huu unarejea kwa kasi sana, JPM alikuwa mfuatiliaji na alihitaji sababu za kueleweka kwa mambo kama haya.

Wanaosema kuwa enzi za JPM hakukuwa na ukarabati wa mitambo, niwaulize kuwa; hii mitambo ilisubiri JPM aondoke na Kalemani aondolewe madarakani ndipo ianze kuzima?

Mwanzoni makamba alisema ni "Maintenance" tu, mbona wamesema tena maji yamepungua?


Mnarudishwa kwenye enzi za mateso kuliko hata mwendazake
Ndugu shinda kuwaamini CCM unahitaji moyo mkuu, cha kufanya sisi wananchi ni kuvumilia mateso haya ya kuoga mara moja na umeme kwa masaa.

Hakuna uwazi katika shuguli zote za Serikali- hatujui nani mkweli Kalemani wakati wa Jiwe ama Makamba wakati huu wa Maza.
 
Waswahili wanasema usiku wa deni haukawii, leo Tanesco wametoa statement ya kuonyesha uhaba wa uzalishaji umeme kutokana na kina cha maji kupungua.
Hivyo watatoa ratiba ya umeme, watu wajipange
Waziri alisema sababu ni maintenance, lakini kumbe sio. Kazi iendelee
Eti watu waanze kupanga kazi zao

View attachment 2015253
 
Waswahili wanasema usiku wa deni haukawii, leo Tanesco wametoa statement ya kuonyesha uhaba wa uzalishaji umeme kutokana na kina cha maji kupungua.
Hivyo watatoa ratiba ya umeme, watu wajipange
Waziri alisema sababu ni maintenance, lakini kumbe sio. Kazi iendelee
Eti watu waanze kupanga kazi zao

View attachment 2015253
 
Muhongo alijaribu kule bungeni kutoa shule juu ya umeme wa maji kutokuwa endelevu, lakini Ndugai na wajinga wenzie akina Kibajaji na Msukuma wakapinga, na kushabikia uwendawazimu.

Umeme wa maji siyo sustainable. Tunazidi kupoteza fedha kufuata mawazo wa wajinga.

Pesa iliyoingizwa kwenye hilo bwawa tungepeleka kwenye gas na makaa ya mawe, tungekuwa tumepiga hatua kubwa.
Na ni nchi ya ajabu tu ndio inaweza kuacha kuwekeza kwenye umeme wa gas eti kisa kuna mradi wa umeme wa maji unafanyika!!

Kama tungekuwa serious, hivi sasa tungekuwa tunajenga Kinyerezi V, lakini baada ya Kinyerezi II, biashara ikaishia pale!!
 
Pesa ya ndege ingetumika kujenga mitambo ya gesi asilia. Maana gesi haiishi leo na haiathiriwi na mabadiliko ya tabia nchi.


Pia mitambo ya kuzalisha umeme kwa kutegemea jua ingejengwa
Hawawezi wazia hilo suala
 
Wewe ndio msukule!

Toka jana nakuuliza tuoneshe ni nani anasema hataki kuanzishwa kwa chanzo kingine cha nishati kwa sababu ya bwawa mbona hutaki kutuonesha?
Nilishakuambia wanaosema hivyo ni MISUKULE WENZAKO

Na siwezi kupoteza muda eti kukutafutia threads wakati kila mwenye akili timamu anafahamu ni jinsi gani MISUKULE YA JPM inavyopinga uwekezaji kwenye gas, na hawana hoja ya msingi zaidi ya eti inalenga kuhujumu Bwawa la Nyerere

What a pitty!
 
Waswahili wanasema usiku wa deni haukawii, leo Tanesco wametoa statement ya kuonyesha uhaba wa uzalishaji umeme kutokana na kina cha maji kupungua.
Hivyo watatoa ratiba ya umeme, watu wajipange
Waziri alisema sababu ni maintenance, lakini kumbe sio. Kazi iendelee
Eti watu waanze kupanga kazi zao

View attachment 2015253
Tuliambiwa tuna ziada ya megawatt 400, zipo wapi mbona tuna mgao?
 
Tunafungua nchi na huku uhuru wa kuongea umerudi 😀😀😀.

Kariakoo ukipita hizi kelele za generator ukizichanganya, utapata biti moja kali kazi kwako kuflow.

Sasa hivi maji ya kuoga kisado,kituo kinacho fuata mikataba ya upigaji.
 
Kwa hiyo sababu ni nini,ni maji au mitambo?
Mwendazake kaendesha mitambo bila service sasa ipo hoi.
Mwenyezi Mungu naye katutandika kwa Jua kali na Ukame kwa sababu ya maovu ya viongozi wetu dhidi ya roho zisizo ha hatia kumlilia (collective responsibility) inatupata na sisi tusio na hatia.
 
Waswahili wanasema usiku wa deni haukawii, leo Tanesco wametoa statement ya kuonyesha uhaba wa uzalishaji umeme kutokana na kina cha maji kupungua.
Hivyo watatoa ratiba ya umeme, watu wajipange
Waziri alisema sababu ni maintenance, lakini kumbe sio. Kazi iendelee
Eti watu waanze kupanga kazi zao

View attachment 2015253
Hivi huyu mama anayeitwa Rais Samia Suluhu Hassan sijui mpaka sasa anaendelea kufanya nini ofisini kama anaruhusu hizi hujuma dhidi ya wananchi wa Tanzania kufanyika mchana kwwupe kiasi hiki....??

Eti upungufu wa maji kwenye mabwawa yetu. HII SIYO KWELI...!!!

Kwa sàbàbu msimu uliopita wa 2020/2021 ulikuwa na mvua nyingi kiasi cha maji kuzidi kiwango kinachotakiwa hata kuwa mafuriko. Na msimu wa mvua ndo tu uliishilizia mwezi Juni, 2021. Leo iweje wanatoa kisingizio cha maji....?

HAPANA. Hizi ni hujuma!!

Huyu mama hafai kuwa Rais na anatakiwa atolewe ofisini hata leo ili nchi hii apewe mtu anayeijua vyema...

Katika hili Hayati Mwendazake John P. Magufuli alikuwa mzuri sana. Pamoja na mapungufu yake katika maswala ya haki za binadamu, demokrasia na utawala bora, lakini ktk usimamizi wa uwajibikaji na utendaji serikali alikuwa safi kabisa...

Katika miaka ya u- Rais wake wa karibu miaka 6 hakukuwahi kuwa na mgawo wa umeme na hali ya hewa ni hii hii haikuwahi kuwa tofauti...

Leo miezi sita baada ya kifo chake na kuingia huyu mama asiye na mbele wala nyuma, anatangaza ujinga huu. Why..???

Hii maana yake, kuna kikundi cha watu wanataka kutengeneza tatizo la upungufu wa umeme ili kupiga hela na wakati huohuo kuihujumu nchi na wananchi na yeye mwenyewe Rais, wakati huo huo wakimpangia ziara zisizo na tija kuzunguka zunguka tu duniani aimlessly ili huku nyuma kundi hili lifanye litakavyo...

Kwanini tatizo hili la umeme limeshika kasi Mara baada ya aliyekuwa waziri Wa nishati Medard Kalemani kutimuliwa na kumpisha January Makamba...????

By the way, Jenerali Ulimwengu was right kumbe. Alisema wazi, HUYU MAMA HAIJUI NCHI HII, HATAIWEZA...!

Look now, here we are. Taratibu maneno haya yanaanza kuthibitika....

Huyu Mzanzibar aondoke, arudi kwao. Atuachie nchi yetu ya Tanganyika!!!!!
 
Wewe ndio msukule!

Toka jana nakuuliza tuoneshe ni nani anasema hataki kuanzishwa kwa chanzo kingine cha nishati kwa sababu ya bwawa mbona hutaki kutuonesha?
Dikteta jambazi Magufuli alizuia kuendelezwa kwa miradi ya gesi!
 
Back
Top Bottom