Yanayoendelea sasa hivi nchini ni hatari kwa uhai wa chama kilichopo madarakani na baadhi ya viongozi waliopo Serikalini

Yanayoendelea sasa hivi nchini ni hatari kwa uhai wa chama kilichopo madarakani na baadhi ya viongozi waliopo Serikalini

Kumbuka raisi Samia alikuwa makamu wa raisi ktk serikali hiyo inayosemekana kuwa ilifanya ufisadi mkubwa, waziri mkuu pia na bila kuwasahau baadhi ya mawaziri ambao pia wapo ktk serikali hii mpya ya mama Samia. Ikiwa shutuma hizi zitaendelea na hao niliowataja hapo hawatojiuzulu nyazifa zao serikalini, basi 2025 CCM ijiandae kwa anguko kubwa, japo wengi hawalioni hili
Tulipokuwa tukisema one man show state hukuelewa maana yake? Sasa Tamisemi alihamishiwa ofisi ya Rais kutoka ofisi ya waziri Mkuu, ulitaka Majaliwa afanyeje? Ndege Kanumba yeye bila kuhusisha bunge wala kutangaza tenda, mama Samia afanyeje? Vyombo vya habari na wanasiasa ambao wangepiga kelele kumuonyesha ufisadi ulipo vyote vimenyamazishwa mama Samia angefanyaje? Pesa anatembea nazo kwenye mabegi Majaliwa angefanyaje? Bunge limegeuzwa la CCM tu, litasimamia je serikali ya CCM? Aliyataka mwenyewe, abebe msalaba wake huko aliko!
 
Aema hivi, kwa kuwa speaker ndugai keshakiri kwamba mwendazake alishauriwa vibaya, na mshauri wake mkubwa ni waziri mkuu, basi wa kujiuzulu ni PM.

Pia baada ya kuona madudu yote kwenye wizara na taasisi nyingine alipaswa kuwapiga chini wote waliohusika kwenye ubadhirifu huu.
Alipaswa kuanza na mawaziri wapya kabisa. Sio hawa waliokuwa wakijipendekeza kwa jiwe.
 
Kama unamjua vizuri magufuli sitarajii uulize maswali ya aina hiyo.
Yani maovu ya magufuli.kutotaka kuweka hadharani report za Cag,akampokonya cheo Assad kisa alisema ukweli.akamweka mtu kwa sharti aseme tu kile anachokotaka yeye,mtu anaisemea mahakama kwamba muhukumu huyu mwachie huyu..

Madhambi ya magu mnataka kumbebesha mama wa watu wakati ukute hakushiriki hata maamuzi..

Tafuta jingine
Hv unajua maana ya uwajibikaji unajua maana ya presidency au unaropoka kama mtoto wa darasa la kwanza.....
kama kweli kuna ufisadi huo......
mama hawezi kukwepa kuwajibika
 
Muda mwingine kama mtu anakosa cha kufanya ni bora atulie, kuliko kuanzisha mada isiyo na mashiko wakati muhusika hayupo na alikuwa ana run the show pekee!
Hampendi ukweli,tatizo hilo
 
Mama wa watu asivotaka stress kelele zikiwa nyingi atajiuzulu kweli
 
Tulipokuwa tukisema one man show state hukuelewa maana yake? Sasa Tamisemi alihamishiwa ofisi ya Rais kutoka ofisi ya waziri Mkuu, ulitaka Majaliwa afanyeje? Ndege Kanumba yeye bila kuhusisha bunge wala kutangaza tenda, mama Samia afanyeje? Vyombo vya habari na wanasiasa ambao wangepiga kelele kumuonyesha ufisadi ulipo vyote vimenyamazishwa mama Samia angefanyaje? Pesa anatembea nazo kwenye mabegi Majaliwa angefanyaje? Bunge limegeuzwa la CCM tu, litasimamia je serikali ya CCM? Aliyataka mwenyewe, abebe msalaba wake huko aliko!

Kuna sheria ya kikatiba ya kuwalinda hawa kwa hizi hoja zako? Au kuwasaidia Bunge likisema linapiga kura ya kutokuwa ba imani.
 
hivi mara paaaaap mwendazake anaibua kumbe hakudedii itakuwaje??!!atarudi kuwa prezdaa au makamu
 
Tulipokuwa tukisema one man show state hukuelewa maana yake? Sasa Tamisemi alihamishiwa ofisi ya Rais kutoka ofisi ya waziri Mkuu, ulitaka Majaliwa afanyeje? Ndege Kanumba yeye bila kuhusisha bunge wala kutangaza tenda, mama Samia afanyeje? Vyombo vya habari na wanasiasa ambao wangepiga kelele kumuonyesha ufisadi ulipo vyote vimenyamazishwa mama Samia angefanyaje? Pesa anatembea nazo kwenye mabegi Majaliwa angefanyaje? Bunge limegeuzwa la CCM tu, litasimamia je serikali ya CCM? Aliyataka mwenyewe, abebe msalaba wake huko aliko!

Kuna sheria ya Kikatiba ya kuwalinda hawa kwa hizi hoja zako? Au kuwasaidia Bunge likamua ķupiga kura ya kutokuwa na imani.
 
Kwa ufisadi mkubwa ulioibuliwa na CAG uliofanyika awamu ya tano, makamu wa Rais wa kipindi hicho anakuwaje msafi ilihali ndiye aliyekuwa mtendaji wa karibu zaidi na Rais?

Tukiacha siasa, ni dhahiri kabisa haya yote yametendeka kutokana na uzembe wa mwendazake na wasaidizi wake akiwemo Rais wa sasa.

Msemakweli ni mpenzi wa Mungu.
sukuma cartel wapo Hoi mama anafagia mauchafu yooote ya jiwe 😁😁😁
 
hivi mara paaaaap mwendazake anaibua kumbe hakudedii itakuwaje??!!atarudi kuwa prezdaa au makamu
Sheria iko wazi na Katiba inaelezea vyema:

MAKAMU WA RAIS NI MSAIDIZI TU WA RAIS ILA HANA MAAMUZI YA MOJA KWA MOJA KWA MOJA NDANI YA SERIKALI.
 
Kwa ufisadi mkubwa ulioibuliwa na CAG uliofanyika awamu ya tano, makamu wa Rais wa kipindi hicho anakuwaje msafi ilihali ndiye aliyekuwa mtendaji wa karibu zaidi na Rais?

Tukiacha siasa, ni dhahiri kabisa haya yote yametendeka kutokana na uzembe wa mwendazake na wasaidizi wake akiwemo Rais wa sasa.

Msemakweli ni mpenzi wa Mungu.
Huyu ni kama hakwwpo ofisini.
Unaona mambo alivyo asili badili?
Ile ilikuwa serikali ya Magufuli. Hii ni jamuhuri ya muungano wa Tanzania na salamu yake ipo
 
Kwa ufisadi mkubwa ulioibuliwa na CAG uliofanyika awamu ya tano, makamu wa Rais wa kipindi hicho anakuwaje msafi ilihali ndiye aliyekuwa mtendaji wa karibu zaidi na Rais?

Tukiacha siasa, ni dhahiri kabisa haya yote yametendeka kutokana na uzembe wa mwendazake na wasaidizi wake akiwemo Rais wa sasa.

Msemakweli ni mpenzi wa Mungu.
KWELI
 
Sheria iko wazi na Katiba inaelezea vyema:

MAKAMU WA RAIS NI MSAIDIZI TU WA RAIS ILA HANA MAAMUZI YA MOJA KWA MOJA KWA MOJA NDANI YA SERIKALI.
Kwa hiyo wewe unashangilia kuwa huyu mama msafi? Hata kama hana maamuzi basi yeye ni advisor. Angejiuzulu kama alikuwa anaona uozo huu. Hapo wapinzani ndiyo mnapoteza focus; mnabadirishiwa "narrative" ati ni JPM, mnaleta katiba na kuwasaidia. HAAAAA. Hii ni system yote.
 
Kwa ufisadi mkubwa ulioibuliwa na CAG uliofanyika awamu ya tano, makamu wa Rais wa kipindi hicho anakuwaje msafi ilihali ndiye aliyekuwa mtendaji wa karibu zaidi na Rais?

Tukiacha siasa, ni dhahiri kabisa haya yote yametendeka kutokana na uzembe wa mwendazake na wasaidizi wake akiwemo Rais wa sasa.

Msemakweli ni mpenzi wa Mungu.
Silly !!!
This is what we call "Thinking and uttering words at the expense of your DORSAL SPOT".
You guys it's all over !!!
She's there to stay.
What you're currently doing is just fooling and pleasing yourselves as days go by.
You've been completelly and unexpectedly cought in supprisse by the current situation.
The only remedy is to accept the facts and learn to live with them.
 
Humphrey Polepole mtu anayetajwa kama Gwiji la hesabu za Fedha miongoni mwa wanaccm waliosalia kwa sasa anaombwa kujitokeza tena kama alivyofanya huko nyuma alivyopangua hoja za CAG wa zamani Profesa Assad ili kusawazisha upepo mbaya unaovuma

 
Back
Top Bottom