Shehullohi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2020
- 3,753
- 3,685
Jiwe alipoamua kuikanyaga katiba ndipo hayo yote yalipo pata kasi. Njia iliyoonekana inawafaa kwake ni kutunga sheria ya kuwapa kinga wanaokumbatia uharifu - kinga kwa rais, spika na Jaji mkuu. Mimi nasema ANASTAHILI LAWAMA NA LAWAMA HIZI ZIMFUATE HUKO ALIKO BILA KUPINDA PINDA. Sasa unaminya uhuru wa wananchi kuongea, kutoa maoni, unafungia magazeti ya uchunguzi unaacha TANZANITE NA UHURU unategemea matokeo gani? Wajuzi wa kuibua hoja bungeni unawadhulumu haki yao ya kuchaguliwa, wananchi unawanyima haki yao ya kuchagua kiongozi wanayemtaka unakusudia kufanya nini? We acha kutetea upuuzi! SPADE NI SPADE NA SPOON NI SPOON.
Sikuzungumzia kushitakiwa. Kura ya kutokuwa na imani inayo pigwa na Bunge.