Yanayoendelea sasa hivi nchini ni hatari kwa uhai wa chama kilichopo madarakani na baadhi ya viongozi waliopo Serikalini

Yanayoendelea sasa hivi nchini ni hatari kwa uhai wa chama kilichopo madarakani na baadhi ya viongozi waliopo Serikalini

Jiwe alipoamua kuikanyaga katiba ndipo hayo yote yalipo pata kasi. Njia iliyoonekana inawafaa kwake ni kutunga sheria ya kuwapa kinga wanaokumbatia uharifu - kinga kwa rais, spika na Jaji mkuu. Mimi nasema ANASTAHILI LAWAMA NA LAWAMA HIZI ZIMFUATE HUKO ALIKO BILA KUPINDA PINDA. Sasa unaminya uhuru wa wananchi kuongea, kutoa maoni, unafungia magazeti ya uchunguzi unaacha TANZANITE NA UHURU unategemea matokeo gani? Wajuzi wa kuibua hoja bungeni unawadhulumu haki yao ya kuchaguliwa, wananchi unawanyima haki yao ya kuchagua kiongozi wanayemtaka unakusudia kufanya nini? We acha kutetea upuuzi! SPADE NI SPADE NA SPOON NI SPOON.

Sikuzungumzia kushitakiwa. Kura ya kutokuwa na imani inayo pigwa na Bunge.
 
Hivi kuna awamu yeyote ambayo ripoti ya CAG ilikua safi na haikukuta madudu sehemu yeyote ile?

Nauliza tu ili niweke rekodi sawa.
 
Kwa ufisadi mkubwa ulioibuliwa na CAG uliofanyika awamu ya tano, makamu wa Rais wa kipindi hicho anakuwaje msafi ilihali ndiye aliyekuwa mtendaji wa karibu zaidi na Rais?

Tukiacha siasa, ni dhahiri kabisa haya yote yametendeka kutokana na uzembe wa mwendazake na wasaidizi wake akiwemo Rais wa sasa.

Msemakweli ni mpenzi wa Mungu.


Lakini really Mwendazake alikuwa hashauriki, japo apparently inaonekana alikuwa na washauri.

Tumuache kwanza huyu Mama na tumuhukumu kwa hii awamu yake ya 6 iliyochipuka kutoka katika awamu ya 5.
 
Kwa ufisadi mkubwa ulioibuliwa na CAG uliofanyika awamu ya tano, makamu wa Rais wa kipindi hicho anakuwaje msafi ilihali ndiye aliyekuwa mtendaji wa karibu zaidi na Rais?

Tukiacha siasa, ni dhahiri kabisa haya yote yametendeka kutokana na uzembe wa mwendazake na wasaidizi wake akiwemo Rais wa sasa.

Msemakweli ni mpenzi wa Mungu.

Mleta mada wewe ni mpambe wa PM? Uko katika kupambana neutralize mambo?

Kadhia hizi PM hana mna ya kujivua uwajibikaji.

Huyu akwende tu.
 
Huu mchezo nadhani unasimiwa na watu ambao kwasasa masilahi yao hayapo ndani ya ccm sasa wanaamua kukoroga mambo.

Ukitazama the late magufuri amefanya mambo mengi sana ndani ya muda mfupi sana wa miaka mitano, NO ONE HAS SUCH RECORD....

Hakuna uongozi utakuja hapa duniani bila kupewa tuhuma za ubadhirifu wa pesa na mamlaka.

Ila kiongozi wa kweli huacha ishara ya tofauti ambayo huwa ni matokeo ya moja kwa moja ya jitihada zake...

Magufuri ameacha hiyo ishara kwa vitu ambavyo ameshafanya kwa usimamizi wake....

Wanafiki hawatakosekana katika kumchafua.... Ila subiri.... Muda ndio huonyesha nani alikuwa mkorofi.... Ipo siku wale mnaosema ni mbaya mtaona mazuri yake......

Kwasasa subira ni kitu muhimu....

Ila kiukweli kila ninaposafiri kuwa najionea mabadiliko ambayo kila ukiuliza siambiwi ni Mzee wetu kikwete au Mkapa walifanya bali naambiwa ni Mzee wetu Hayati Magufuri.

Kila nikipita pale ubungo kuelekea mwenge au nikirejea kutoka mwenge huo najisikia sana fahari....

Naweza kupita hata kama sikuwa na haja ya kuzunguka upande ule kuelekea town ila huwa naona ufahari wa hali ya juu kupita pale mahala....

Mzee mazuri yake amefanya hata kama mtamsema kwa roho mbaya....

Sent using Jamii Forums mobile app
... magufuli kafanya mengi mazuri japo mabaya pia yapo..... nikionacho mimi lile kundi la wanamtandao wa ccm wanataka kurudi ndani ya Chama Kwa gia ya kumchafua magufuli ili jambo watafanikiwa ila Nchi itarudi mikononi mwa kashifa kama za esco Richmond epa na kagoda mambo ya daudi bilali yatajirudia....tutashuhudia twiga akipanda ndege kwenda warabuni nk
 
Humphrey Polepole mtu anayetajwa kama Gwiji la hesabu za Fedha miongoni mwa wanaccm waliosalia kwa sasa anaombwa kujitokeza tena kama alivyofanya huko nyuma alivyopangua hoja za CAG wa zamani Profesa Assad ili kusawazisha upepo mbaya unaovuma

View attachment 1747421
Tumieni nguvu kuboresha CDM hizi ngonjera na vichekesho haviwasaidii!!!?
 
Kwa ufisadi mkubwa ulioibuliwa na CAG uliofanyika awamu ya tano, makamu wa Rais wa kipindi hicho anakuwaje msafi ilihali ndiye aliyekuwa mtendaji wa karibu zaidi na Rais?

Tukiacha siasa, ni dhahiri kabisa haya yote yametendeka kutokana na uzembe wa mwendazake na wasaidizi wake akiwemo Rais wa sasa.

Msemakweli ni mpenzi wa Mungu.
Ile haikuwa serikali mkuu bali ilikuwa one man show.
 
Jiwe alipoamua kuikanyaga katiba ndipo hayo yote yalipo pata kasi. Njia iliyoonekana inawafaa kwake ni kutunga sheria ya kuwapa kinga wanaokumbatia uharifu - kinga kwa rais, spika na Jaji mkuu. Mimi nasema ANASTAHILI LAWAMA NA LAWAMA HIZI ZIMFUATE HUKO ALIKO BILA KUPINDA PINDA. Sasa unaminya uhuru wa wananchi kuongea, kutoa maoni, unafungia magazeti ya uchunguzi unaacha TANZANITE NA UHURU unategemea matokeo gani? Wajuzi wa kuibua hoja bungeni unawadhulumu haki yao ya kuchaguliwa, wananchi unawanyima haki yao ya kuchagua kiongozi wanayemtaka unakusudia kufanya nini? We acha kutetea upuuzi! SPADE NI SPADE NA SPOON NI SPOON.
....ni Kweli katiba ilikanyagwa je Bunge letu lilitimiza wajibu wake wa kuisimamia serikali? Kama Bunge nalo halikutimiza wajibu wake mpaka haya yakatokea spika anatakiwa kuwajibishwa Kwa kushindwa kutumia mamlaka yake mpaka Nchi inapata hasara ya mabilion huku Maisha ya wananchi yakizidi kuwa magumu
 
Kwa ufisadi mkubwa ulioibuliwa na CAG uliofanyika awamu ya tano, makamu wa Rais wa kipindi hicho anakuwaje msafi ilihali ndiye aliyekuwa mtendaji wa karibu zaidi na Rais?

Tukiacha siasa, ni dhahiri kabisa haya yote yametendeka kutokana na uzembe wa mwendazake na wasaidizi wake akiwemo Rais wa sasa.

Msemakweli ni mpenzi wa Mungu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom