Yanayoendelea sasa hivi nchini ni hatari kwa uhai wa chama kilichopo madarakani na baadhi ya viongozi waliopo Serikalini

Yanayoendelea sasa hivi nchini ni hatari kwa uhai wa chama kilichopo madarakani na baadhi ya viongozi waliopo Serikalini

Habari zenu ndugu zang watanzania mliopo humu. Ndugu zang nimekuwa nikifuatilia kwa ukaribu sana yanayoendelea nchini, hasa kuhusu tuhuma za ufisadi zinazoelekezwa kwa aliyekuwa Rais wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hayati John P Magufuli.

Najua na inajulikana wazi tu kwamba tokea tulipopata uhuru mpaka leo hakuna awamu ambayo haikufanya madudu iwe madogo madogo au makubwa.

Kila serikali iliyoingia madarakani ilifanya mazuri na mabaya pia kwahiyo hili ni jambo la kawaida kwa tawala zote zilizopita kuanzia mwaka 1961 mpk 2020.

Kinachosikitisha ni kuona kila ufisadi au kila jambo baya lililofanyika, au lililofanywa na kiongozi au mtu yoyote aliekuwa katika serikali ya awamu ya tano lawama zote anabebeshwa hayati Magufuli.

Tunafaham kwamb kuna mamb mengi ya kimaendeleo na mazuri lkn watu kadhaa sijui kwa maslahi au faida ya nani wameamua kumchafua.

Na kwa vile mtu akishafariki hawezi kujitetea kwa shutuma zote zinazoelekezwa kwake iwe za kweli au za uongo, sasa sisi tulio hai tutaendelea kumtetea ili kufuta kbs uchafu unaotengenezwa kwa ajili yake.

Najua hata na yeye alikuwa binadamu kwa hiyo kukosea ni jambo la kawaida lkn asibebeshwe makosa na matatizo mengine ambayo hakuyafanya kwa masilahi ya kundi la watu fulani.

Najua kwa sasa wanaomchafua ambao baadhi yao wapo ndani ya CCM na wanaona fahari sana hayati Magufuli kuchafuliwa ili ionekane kwamba yeye na Serikali yake hawajafanya chochote lkn wakumbuke kuwa huyo wanaemsema ameshakwenda zake, sasa kazi kubwa imebaki kwao walio hai.

Mwaka 2025 unakuja wamejipangaje kupangua hoja za wapinzani wa CCM na serikali kwa ujumla kuhusu ufisadi huo unaoongelewa sasa hivi?
Hakina maana yoyote kwa sasa, hayati alikiokoa kilivyokuwa kinaenda kuzikwa tena bila sanda 2015.

Hata uchaguzi wa 2020 kura zilipatikana kwa jina la JPM sio makamu (ushahidi tizama mabango yote makubwa na madogo yana sura ya hayati pekee). Watu walichagua JPM sio CCM ijapokuwa baadhi watapinga lakini katika uhalisia ukienda huko Ndanda, Newala, Tunduru, Mbalizi, Wanging'ombe, Katavi, Chunya, Longindo, Manyara, Kikuletwa, Misenyi, Manyovu, Urambo, Kishamapanda, Iramba, Bahi, Kisorya, nk walikuwa wanatafuta sura na jina la JPM kupiga kura sio vinginevyo.

The one term presidency trend will prevail as long as the vengeance attitude among the potential aspirants within the ruling circle are still vaguely spinning and teh situation may worsen if the left and right factions perisist bitterly barking at each other; another character assassination is at the verge to surface the bigwigs' power struggle.
 
nauza hizi simu , kwa taarifa zaidi 0715 378899 View attachment 1747715View attachment 1747714View attachment 1747717View attachment 1747716View attachment 1747720View attachment 1747718View attachment 1747719View attachment 1747721
20210224_115732.jpg
 
Kwani serikali Ile siilikuwa inaitwa ya Magufuli Wala hata haikuwa ya ccm ilikuwa ya Magufuli sasa Samia anajiuzulu kwa serikali ya Magufuli?
 
Habari zenu ndugu zang watanzania mliopo humu. Ndugu zang nimekuwa nikifuatilia kwa ukaribu sana yanayoendelea nchini, hasa kuhusu tuhuma za ufisadi zinazoelekezwa kwa aliyekuwa Rais wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hayati John P Magufuli.

Najua na inajulikana wazi tu kwamba tokea tulipopata uhuru mpaka leo hakuna awamu ambayo haikufanya madudu iwe madogo madogo au makubwa.

Kila serikali iliyoingia madarakani ilifanya mazuri na mabaya pia kwahiyo hili ni jambo la kawaida kwa tawala zote zilizopita kuanzia mwaka 1961 mpk 2020.

Kinachosikitisha ni kuona kila ufisadi au kila jambo baya lililofanyika, au lililofanywa na kiongozi au mtu yoyote aliekuwa katika serikali ya awamu ya tano lawama zote anabebeshwa hayati Magufuli.

Tunafaham kwamb kuna mamb mengi ya kimaendeleo na mazuri lkn watu kadhaa sijui kwa maslahi au faida ya nani wameamua kumchafua.

Na kwa vile mtu akishafariki hawezi kujitetea kwa shutuma zote zinazoelekezwa kwake iwe za kweli au za uongo, sasa sisi tulio hai tutaendelea kumtetea ili kufuta kbs uchafu unaotengenezwa kwa ajili yake.

Najua hata na yeye alikuwa binadamu kwa hiyo kukosea ni jambo la kawaida lkn asibebeshwe makosa na matatizo mengine ambayo hakuyafanya kwa masilahi ya kundi la watu fulani.

Najua kwa sasa wanaomchafua ambao baadhi yao wapo ndani ya CCM na wanaona fahari sana hayati Magufuli kuchafuliwa ili ionekane kwamba yeye na Serikali yake hawajafanya chochote lkn wakumbuke kuwa huyo wanaemsema ameshakwenda zake, sasa kazi kubwa imebaki kwao walio hai.

Mwaka 2025 unakuja wamejipangaje kupangua hoja za wapinzani wa CCM na serikali kwa ujumla kuhusu ufisadi huo unaoongelewa sasa hivi?
Well said mkuu
 
Kwahyo Samia ambaye alikua makamu, ni msafi kabisa. Ila tu Rais?

Yeye kama makamu wa Rais anakuaje msafi kwa yote hayo? Hivi ni chuki tu kwa Magu au kuna cha zaidi?

hongera baba sema uwaambie ukweli
 
mfano makufuli alikuwa dereva wa roli mama samiha alikuwa msaidizi wa dereva mzigo waliokuwa wameubeba wanaupeleka rwanda mzigo umeuzwa njiani. je atakaehukumiwa ni dereva tu msaidizi ataachwa je kama tajiri kaamua kuwafukuza kazi kwa wizi huo atamfukuza dereva pekee au wote. kama riport ya cag inasema makufuli kaleta hasara hiyo basi nayeye mama awajibike
 
kila mwehu anaekuja kumtetea anakuja naupupu naporojo tuu hakuna fact yoyote inaweza kubishana hesabu alizotoa CAG.

hasara ya zaid ya billion 150 kwenya ATCL pekeake, ukubwa wa billion 150 nihela inayoweza kujenga stendi 3 kubwa kama z stendi ya mbezi nachenchi ikabaki
Acha kuropoka! Shirika la ndege ni muhimu kwa ajili ya kutangaza na kuvutia utalii hata kama linaleta hasara! Faida ipo indirectly katika sekta ya utalii.Sasa atupe report ya kutokutekelezwa kwa mradi wa Nyerere zaidi ya miaka 50 umelisababishia taifa hasara kiasi gani.
Yaani kwa miaka takribani 50 CAG atueleze tumenunua umeme wa mitambo ya mafuta kwa Tsh ngapi? Na hasara iliyopatikana katika sekta ya utalii miaka yote kwa kukosekana ndege!

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Habari zenu ndugu zang watanzania mliopo humu. Ndugu zang nimekuwa nikifuatilia kwa ukaribu sana yanayoendelea nchini, hasa kuhusu tuhuma za ufisadi zinazoelekezwa kwa aliyekuwa Rais wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hayati John P Magufuli.

Najua na inajulikana wazi tu kwamba tokea tulipopata uhuru mpaka leo hakuna awamu ambayo haikufanya madudu iwe madogo madogo au makubwa.

Kila serikali iliyoingia madarakani ilifanya mazuri na mabaya pia kwahiyo hili ni jambo la kawaida kwa tawala zote zilizopita kuanzia mwaka 1961 mpk 2020.

Kinachosikitisha ni kuona kila ufisadi au kila jambo baya lililofanyika, au lililofanywa na kiongozi au mtu yoyote aliekuwa katika serikali ya awamu ya tano lawama zote anabebeshwa hayati Magufuli.

Tunafaham kwamb kuna mamb mengi ya kimaendeleo na mazuri lkn watu kadhaa sijui kwa maslahi au faida ya nani wameamua kumchafua.

Na kwa vile mtu akishafariki hawezi kujitetea kwa shutuma zote zinazoelekezwa kwake iwe za kweli au za uongo, sasa sisi tulio hai tutaendelea kumtetea ili kufuta kbs uchafu unaotengenezwa kwa ajili yake.

Najua hata na yeye alikuwa binadamu kwa hiyo kukosea ni jambo la kawaida lkn asibebeshwe makosa na matatizo mengine ambayo hakuyafanya kwa masilahi ya kundi la watu fulani.

Najua kwa sasa wanaomchafua ambao baadhi yao wapo ndani ya CCM na wanaona fahari sana hayati Magufuli kuchafuliwa ili ionekane kwamba yeye na Serikali yake hawajafanya chochote lkn wakumbuke kuwa huyo wanaemsema ameshakwenda zake, sasa kazi kubwa imebaki kwao walio hai.

Mwaka 2025 unakuja wamejipangaje kupangua hoja za wapinzani wa CCM na serikali kwa ujumla kuhusu ufisadi huo unaoongelewa sasa hivi?
Umesema vizuri kila utawala ulifanya madudu yake sasa mbona haya ya mh Jiwe yakitajwa mnaumia sana?

Wewe unasema alikuwa mwanadamu wa kawaida anayefanya makosa lakini mwenyewe hakujiona kama mtu anayeweza kukosea. Na zaidi alijifanya mtaalam wa kila kitu hata hakusikia la mtu.
 
Acha kuropoka! Shirika la ndege ni muhimu kwa ajili ya kutangaza na kuvutia utalii hata kama linaleta hasara! Faida ipo indirectly katika sekta ya utalii.Sasa atupe report ya kutokutekelezwa kwa mradi wa Nyerere zaidi ya miaka 50 umelisababishia taifa hasara kiasi gani.
Yaani kwa miaka takribani 50 CAG atueleze tumenunua umeme wa mitambo ya mafuta kwa Tsh ngapi? Na hasara iliyopatikana katika sekta ya utalii miaka yote kwa kukosekana ndege!

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Watalii wanaobebwa na ATCL wanatokea nchi gani? Mbona ndege zipo humu humu ndani.
 
Acha kuropoka! Shirika la ndege ni muhimu kwa ajili ya kutangaza na kuvutia utalii hata kama linaleta hasara! Faida ipo indirectly katika sekta ya utalii.Sasa atupe report ya kutokutekelezwa kwa mradi wa Nyerere zaidi ya miaka 50 umelisababishia taifa hasara kiasi gani.
Yaani kwa miaka takribani 50 CAG atueleze tumenunua umeme wa mitambo ya mafuta kwa Tsh ngapi? Na hasara iliyopatikana katika sekta ya utalii miaka yote kwa kukosekana ndege!

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
sio lazima utalii utangazwe kupitia shirika landege nawala haikua ndomalengo mama ya kununua ndege kwa hela cash tena katika makampuni tofauti. zanzibar inafanya vizuri kiutalii miaka namiaka kabla ata uwepo wahizo ndege. niupumbavu wahali ya juu mno kuwaza safar zandege kwenda mwanza nachato itatutangazia utalii

CAG amefanya majukum yake madudu yote kayaweka wazi. wew nahuyo aliekuaminisha majukum ya CAG nikupiga hesbu zahasara iliopatikana miaka 50 iliopita nyote vichaa
 
Back
Top Bottom