Yanayoendelea Wilayani Hai ni mkakati maalum


Tukiacha hilo la Swai na Weruweru Lodge vipi kuhusu Sabaya kuvamia duka la mfanyabiashara Arusha,clip imeonyesha,nalo anasingiziwa? Vp kutokuwa na heshima kwa Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro,clip imeonyesha,nalo ni Fitina? Kwa kifupi mleta mada huna hoja,kajipange tena
 
Acha propaganda huyu mjinga ataishia pabaya kijana mdogo anafanya madudu akitegemea aliyemteua ambaye ni mwanadamu licha ya kuwa Rais katangulia mbele ya haki, na karma ipo ataishia pabaya ajiandae kwenda kuchunga ng'ombe na rubega lake uko umasaini
Dogo mimi siasa za uongozi Nitafanya mizaha kwingine, Dar, Morogoro, Tanga na sehemu ingine ya Tanzania, lakini ilifikia Hai huja kivingine na nakuwa tofauti sana. Hapo naangalia maslahi sahihi ya Hai,

Na hata uongozi ubadilike tayari wana Hai tunayo yard stick ya Hai inavyoweza kutulia, akiondoka Sabaya atakaye kuja tutamfundisha U- Sabaya wa kuendesha Hai.

Lazima nihakikishe mama Jerry anaishi kwa amani na utulivu akiwa Lyamungo au awe Uroki ama akiwa Uswaa.

Kumetulia mambo ya kijinga kijinga hayapo tena. Bodi ya Maji wezi, na wakaji milikisha Maji ya Machame, Ardhi wezi, Idara ya biashara wezi, mabwana Shamba hawa fanyi kazi, Mabwana Mifugo hovyo, ukidhulumiwa hapati haki, aaahaa tulichoswa.

Kumbe mama Grace anaweza kuishi vizuri na amani na sio mali yake imtese. Tulichoshwa.
 
Hata kabla mwendazake hajaenda zake Jehanami, kilichokuwa kinaendelea Hai ulikuwa ni mkakati Maalumu pia.

Sabaya is a Devil.
it's a matter of time the Devil will be hanged on the Cross
 
Hai haihitaji wapumbavu walioletwa kukomoa watu, Hai existed before Tanganyika na haihitaji viingozi wapuuzi wasio na akili, na haitegemei huruma ya wajinga wajinga waliopelekwa kukomoa, itaendelea kuwepo licha ya hao wapuuzi kupita ka walivokuwa madictator uchwara walivopita.
 
Yeye anajua Hai iko vile kwa hisani ya serikali[emoji23][emoji23]
Akameulize Nyerere kule Butiama...
 
Yeye anajua Hai iko vile kwa hisani ya serikali[emoji23][emoji23]
Akameulize Nyerere kule Butiama...
Hai miaka yote haijawahi kusumbua ka huyo anavomtetea kibaka wake mbona watumishi hufanya kazi vizuri na Mambo mengine huenda vizuri, Tena huyo sabaya ndo kaenda kuvuruga na kuibia watu na kujeuri watu Hadi wamekuwa walemavu. Mimi nilitamani huyu kijana amfate mwendazake maana Wana miroho ya kufanana yenye uovu ndani yake
 
Hapo hai napajua vyema sana. Tuna vinasaba napo. Wako njema sana. Kiujumla tu klm haitegemei mbeleko za serikali. Sisi hatukuomba lami. Lami ndo zilitufuata sisi
 
Hai iliyo kuwepo kipindi cha Zamani sana ilitupa usawi, ikaja kuwa tofauti sana 2007 - 2015. Na ndio Hai hiyo tunayo ipigia kelele.

Wamachame ni watukutu kwa asili yetu, ukipata kiongozi zembe zembe hauto iweza Hai. Sasa kumbe kipimo tunacho. Na nyinyi ambao mnapiga kelele mitandaoni tunawashangaa sana, kuna mabaliko Hai kijamii, unakaa miaka miwili husika I Bunduki.

Kuna wananchi wanadhani kumbe Hai bila Mbowe ni Hai nzuri sana.
Hao wanao onewa wengine ni wajomba zetu lakini ndio wako mbele kudhulumu wazee. Aaahaa wache wazazi wetu waishi kwa amani.

Hapa wakati nakujibu nimepata simu zaidi ya kumi kunipongeza, kwa kawaida mimi hujibu mara moja na kuondoka, lakini sio suala linalo husu Hai au mama Grace nitatapika ukweli.
 
Hai haihangaikagi na wajinga watu huwa wako busy mno, Hai haijengwi na wakuja Tena wachunga ng'ombe watu ni timamu tangu enzi, hyo ya utukutu ilikuwa ni ujinga na mawazo ya huyo jizi mchunga ng'ombe aliyeletwa na huyo shetani mtu aliyetangulia huko ahera.
Watu kule ni wastaarabu na ndio maana huyo mjinga akapata hata sehemu za kuwa ibia watu wa janja hela zake maana ni watu wenye akili. Aliye mweka hayupo Sasa ajifanye kunyanyua hizo pembe zake aone sasa
 
Hapo hai napajua vyema sana. Tuna vinasaba napo. Wako njema sana. Kiujumla tu klm haitegemei mbeleko za serikali. Sisi hatukuomba lami. Lami ndo zilitufuata sisi
Watu kule huwa wako busy na hawaitaji ubwabwa na kanga za ccm ili wa survive ka huyo anayejifanya mjanja
 
Mbona kachelewa kukutuma mwambie upepo umegeuka Bi mkubwa na wasaidizi wake wanapanga safu mpya ya Wakuu wa Wilaya na Mikoa.
πŸ™πŸ™πŸ™Sawa mkuu habari itamfikia
 
πŸ™πŸ™πŸ™ Sawa mkuu ngoja nikatengeneze hoja tena
 
Hahahaaa

Nguchiro wa Sabaya just like all other Nguchiros

Ongea mpaka kesho,Sabaya is a killer,bad for business

Aondoke kutoa hizi polarizations,he is a known bad leader..let him go!

Analalamikiwa na nchi nzima

Nendeni zenu huko maiti nyie nyote
Duh kazi ipo aisee
 
Hata sikuelewi, naona unapiga kelele au mtu wa Sumbawanga anazungumzia Hai ambayo wazee wetu wanaishi. Mmachame siku zote ni mjanja na mwerevu na mvumilivu na anajituma.

Lakini sijui kilipita kirusi gani all vices fell in place in Machame, to make it worse in both leadership, the district government leadership , the elected leadership. Things never went right the way we people expected. Nidhamu ya uongozi ilibadilika sana. Siku hizi DC anafuatilia malipo ya wastaafu, ajabu.

It is not necessarily to have Sabaya as DC, but we need his style of leadership in many areas like, security, and all matters to do public in general.
We welcome the change of face but not leadership style.
 
sabaya ni jambazi la kutumia silaha. kavamia duka la waarabu arusha na kapora hela. sabaya kwake ni jela.
 
Dah Sabaya kazi anayo
 
Hatutaki viongoz wezi na vibaka ka huyo sabaya anayetesa na kuvunja watu viungo ili kumfuraisha aliye mteua, anaenda kwa wafanyabiashara na kuchukua hela zao kinguvu kwa kutumia kivuli Cha aliye mteua kukomoa watu na kuibia watu hivi anajua hata biashara inahitaji Nini?
Huyo hata akiachwa karma iko naye itamfunza tu, ulimwengu utamfundisha, Yuko wapi bashite aliyekuwa jeuri na ambaye alikuwa untouchable kuanzia kwa waziri mkuu had makamu wa Rais, Sasa hivi kasahaulika anaishi tu kwa wasiwasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…