Yanayoendelea Zanzibar tusubiri majibu ya Wahanga na kuzaa gharika

Kunatofauti kubwa sana kati ya kunyimwa kuingia kwenye kanisa(private place) ukiwa umevaa kimini na kuzuiwa kula kwa mamamtilie (public place) na kuwa assaulted kwa kuchapwa viboko. Shirikisha ubongo we mburula
Wacha viboko,kanisani wamepigana,na wanaendelea kupigana,Waprotestant na wakatoloki,Ireland ya Kaskazini,wameuwana na kuchinjana,na dunia nzima hawa waprotestant na wakatoliki hawaelewani.
 
Tusi hapa liko wapi? Eti waislam wenzangu, mtume mohamad hakumposa bi aisha akiwa na umri wa miaka SITA? (Je hili ni tusi?). Je hakumwingilia akiwa na miaka TISA? (Je tusi liko wapi hapa?).
Mariya alimzaa Yesu ana miaka 13,na kabla ya halo alikuwa na mchumba Yusuph,fikiria mimba ilitungwa ana miaka mingapi na alia za mbo hayo ana miaka mingapi.
 
na kabla ya hapo alikuwa na miaka 25 "akaoa" mama wa miaka 40!
Marya alimzaa Yesu ana miaka13,na kabla ya alikuwa na mchumba Yusufu,fikiria alikuwa na miaka mingapi alipoanza mambo hayo ya ukubwani.
 
Mbona mnazuia wanawake kuingia na vimini makanisani,na pia hamuiingia na chupi tu makanisani,kwa hiyo makanisani imani zenu ni dhaifu.
 
siku zote mambo ya ya yericko ni fyatu.

 

Wewe wacha porojo, nenda ukale Zanzibar nje ule fimbo. Maneno mengi ya nini?

Unataka kuubadilisha utamaduni wao kwa nguvu?

Wewe kama hufungi kula nyumbani kwako, ni lazima upite barabarani huku unafakamia? punguani wahed.

Mie nakwambia sasa, wacha Zanzibar, hapa hapa bara, njoo kijijini kwetu ule njiani, uone micharazo na mboko tutakazo kupa, anuani yetu ni hii, Shungubweni, Mkuranga.

Haya njoo, kama mwili unakuwasha.
 
Huyu mkuda haijui sherria ya zanzibar inasema pindipo utakapokamatwa unakula nje siku ya ramadhani mchana basi adhabu yake ni jela mwaka mzima na viboko juu
 
Tatizo la hawa ndugu zetu ni kukosa elimu na kukimbizana na tamaduni za kiarabu. Sasa wanashindwa kutofautisha kati ya mambo ya mwili na roho.
 
Aisee haya mashetani yakikufumania guest na ushungi girl si yatakata gongeo haya!

Shetani ni familia yako kukulea katika maadili ya kijinga.
Huku Pemba hufiki hata kuingia guest sababu utadaiwa kitambulisho cha ndoa, tukikufuma njian chochoron tu basi imekula kwako.
Hatuwez kuharibu vizazi vijavyo halafu tukaja kulalamika mbelen
 
Iweke hapa mkuu kama kweli ipo

Wewe jamaaa bonge moja la ganda la ndizi, unawaza wakati una viroba kwa kichwa unategemea utatoa nn kama product?

Wafuasi wa ile NGO yebu wengine ni vichaa kabisa.

Sasa huko uliposkia wewe ni afadhali , sasa nakushauri na uwashauri wenzako dont mess with Pemba!

Sisi huku sio kula tu , umevaa nguo yenye utata,umeweka mziki watu wakasikia basi ni hatri sawa na kupitisha ndege Ukraine.

Sisi huku tumeshapiga marufuku ghala iliyotaka kujengwa kwa ajili ya pombe na imefungwa.

Sasa kama ww unasubir katiba iseme na unategemea sheria basi jaribu kuja pemba.

Makabila kibao yana sheria zao na tena munzifuata muukirudi huko makwenu tena ni kijiji tu! Sasa unategemea nini kwa mila na desturi inayofuatwa na kisiwa kizima?
 
Unazungumzia kuingia kanisani. Ndio maana nikakuuliza, kwani hao jamaa hicho chakula wanaingia nacho msikitini?
 
...Mie nakwambia sasa, wacha Zanzibar, hapa hapa bara, njoo kijijini kwetu ule njiani, uone micharazo na mboko tutakazo kupa, anuani yetu ni hii, Shungubweni, Mkuranga. ...
Huko nakumbuka wanafunzi wa Kibiti Secondary School walikuwa wanaingia na nyama ya kitimoto hadi bwaloni, na walikuwa wanainunulia uraiani mnakoishi ninyi!
 

tatizo ni elimu ya madrasa
 
Shetani ni familia yako kukulea katika maadili ya kijinga.
Huku Pemba hufiki hata kuingia guest sababu utadaiwa kitambulisho cha ndoa, tukikufuma njian chochoron tu basi imekula kwako.
Hatuwez kuharibu vizazi vijavyo halafu tukaja kulalamika mbelen

Kumbe ndomana kuna mashoga wengi huko!
 
Marya alimzaa Yesu ana miaka13,na kabla ya alikuwa na mchumba Yusufu,fikiria alikuwa na miaka mingapi alipoanza mambo hayo ya ukubwani.

Wewe unaandika vitu usivyovijua, huyu hakuingiliwa kimwili. Pamoja na kuwa na mimba bado alikuwa bikira, Ndiyo maana waislamu kwa kuzingatia maagizo ya mtume Mohamad tunaamini kuwa Mariamu ndiye mwanamke bora kuliko wote.
 
nafikiri tunamhitaji Rais makini zaidi... mnaotaka Serikali tatu angalieni hili jambo pia kwa macho matatu
 
Wacha viboko,kanisani wamepigana,na wanaendelea kupigana,Waprotestant na wakatoloki,Ireland ya Kaskazini,wameuwana na kuchinjana,na dunia nzima hawa waprotestant na wakatoliki hawaelewani.

Unafunika maji kwa Karatasi
 
Zanziba siyo nchi bali ni kijisehemu cha jamhuri ya muungano wa Tanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…