Yanayoendelea Zanzibar tusubiri majibu ya Wahanga na kuzaa gharika

Yanayoendelea Zanzibar tusubiri majibu ya Wahanga na kuzaa gharika

Ukristu ulianzia Zanzibar kisha ukaenea Bagamoyo na pande nyingi za Africa Mashariki ni historia ambayo haitafutika. Kutokula hadharani ni jambo la busara tu kiheshimu dini za watu wengine ila hakuna sheria km hiyo. Hata ukienda sehemu wewe ukawa mgeni utasoma kwanza mazingira kabla ya kukurupuka na mambo yako. TUTUMIE BUSARA TU SI KILA KITU KIWEKEWE SHERIA NDIO UFUATE
 
Ukristu ulianzia Zanzibar kisha ukaenea Bagamoyo na pande nyingi za Africa Mashariki ni historia ambayo haitafutika. Kutokula hadharani ni jambo la busara tu kiheshimu dini za watu wengine ila hakuna sheria km hiyo. Hata ukienda sehemu wewe ukawa mgeni utasoma kwanza mazingira kabla ya kukurupuka na mambo yako. TUTUMIE BUSARA TU SI KILA KITU KIWEKEWE SHERIA NDIO UFUATE

Swala la kufunga ni imani ya mtu. Na imani ya mtu inatakiwa imwezeshwe kujizuia anapokutana na majaribio. Kama unashindwa kufunga kwasababu kuna jamaa wanakula basi wewe imaniyako zaifu. Vivyo hivyo kama unashindwa kujizuia kuzini mapaka unawalazimisha wanawake wavae kama maninja basi imani yako zaifu.
 
Ipo sheria ya kutokula hadharani wakati wa Mwezi wa Ramadhani, na unapokamatwa ukifanya hivyo, adhabu yake ni kwenda jela kwa mwaka mmoja. Hii ya kuchapa makobe bakora ni mpya na inabidi kukemewa kwa nguvu zote!

Iweke hapa mkuu kama kweli ipo
 
Iweke hapa mkuu kama kweli ipo

Tatizo lako wewe akili yako ni kama ya kuku.

Yani huna upeo wa kumbu kumbu na huna fikra zinazokufanya uweze kujitambaua.

Kama utakuwa na kumbu kumbu hii id ya jason bourne mods walishaiunganisha na id yako ambayo iko verified kwa jina hiki fake la nyerere kipindi unaongopea watu kuwa wewe ni usalama wa taifa lakini stil huoni kama una la kujifunza katika kitendo kile.

Jins ulivyokosa akili unaanzisha topic wewe mwenyewe isiyo na tija isiyo na mantiki kisha unakuja kujijibu wewe mwenyewe huku ukidhani watu hawatambui huo ujinga wako.

Sasa sijui huwa unawaza kitu gani.

Siku zote huwa tunawaambia kuwa hamna haja ya kutangaza vita na uislamu au waislamu nyinyi watu wa chadema kwa kujificha ficha.

Vita dhidi ya uislam na waislam haitawasaidia.

Upeo wako jins ulivyo finyu unadhani kwa kufanya huu upuuzi wako basi hutafahamika.

Tunakufahamu tunakupuuza na kukudharau.

People with sad destiny.
 
Iweke hapa mkuu kama kweli ipo

Mkuu kuwa na aibu basi duh... Ndo akili kubwa hii? Haya mambo unayofanza ulifundishwa na nani? Baba yako mzazi au Nyerere(wa butiama) au ulifundishwa kanisani? Embu tujulishe mkuu Yericko Nyerere.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Kwaiyo mtu akikuuliza sehemu gani public mukutane? Utamjibu kanisani au msikitini. Mburula kabisa. Ka-google public place image uone kama utaona kanisa au msikiti. Mburula kabisa

Wewe ni zaidi ya mburula, kumbe unaishi kwa kutegemea google, ndio maana upeo wako wa kufikiri ni sifuri, mburula nambari wani
 
Kwa nini waisilamu huwa wanapagawa sana kwenye mambo ya misosi, hasa pilau? Isije ikawa ndio sababu ya kupata hasira kuona wengine wanawamalizia chakula mchana wakati wenyewe hadi wakisubiri usiku!

Siku moja nilihudhuria msiba mmoja mjini hapa. Kiongozi wa dini aliyesimamia sehemu ya Ibada ya kumwombea marehemu huyo katika mahubiri yake alisema "Ukiona Mkristo anatumia muda wake kutukana watu wa Imani tofauti na ya kwake ujue mtu huyo hamjui Mungu wake vizuri na hajui historia kabisa. Vivyo hivyo kwa Muislamu anayefanya hivyo. Akasema Mkristo wa kweli aliyeshika dini na anayejua maandiko vizuri huwezi kumkuta akibagua watu wengine, kwa vile anajua historia ya kuanza kwa Ukristo na Uislamu. Maneno yayo hayo akayaelekeza kwa Waislamu. Akaongezea kuwa ukiona kuna jamii inatumia udini kuvuruga mambo ndani ya nchi ujue hilo ni genge la Majambazi lisilomjua Mungu lafaa kudhibitiwa mapema kabla halija eneza uchochezi wao kwa watu Innocent" Kauli za baadhi ya watu humu zimenifanya nifikiri mara mbili kama kweli nia zao ni njema. "Ukiona hujielewi na unadhani watu wa Imani tofauti ni maadui kwako, ujue Roho ya Lusifa imekuvaa, hujitambui". Aliongezea!
 
Mbona uulizi kwanini makanisa mengi sana huko Tanzania Bara yanazuia kwa nguvu zote waumini kuingia na vimini wakti wa ibada? Je hujui kwa nini?


Umehusisha ubongo na akili kuandika swali hili!! Au umeuliza iliuonyeshe uwelewa wako ulivyo mdogo

Kuvaa nakuingia kanisani kunauhusiano gani nakula? Au wanakula ndani ya msikitini
 
Aisee wamekula bakora basi warudi bara mbona nafasi kubwa tu huku bara.
 
Mkuu, lazima uheshimu utaratibu wa watu, wapo katika nchi ambayo almost 98% ni waislamu, hivo wanapaswa kuwa wastaarabu. Hata hivo nipo unguja, sijaskia wakiristo wakipigwa, hao mama ntilie wako wapi? Mi najua sehemu zinazouza chakula mchana na watu wanakula wala hawapigwi.... Ustaarabu kitu cha muhimu, utakaa maskani ule wakati wenzako wote wamefunga? Utafukuzwa tu, hawana wake he nyumba pia hawana? Hata hotel migahawa ya kitalii wanaustaarabu wa kufunika tambara ili anaepita asione. Kama upo unguja nenda six degrees south utaona walivoweka, ni mgahawa upo stone town. Wamefanya ustaarabu, kwanini wewe usiwe mstaarabu? Dini yenu haikufundishini ustaarabu? Mbona waislam walioko UK USA na kwengineko hawalalamikii wasio waislam wakila hadharani? Ni kwa sababu wanajua wapo katika nchi ya watu wengi wasiowaislam hivo na wao wanapaswa kuwaheshimu wanaokula hadharani
 
Na anayetoa adhabu kwa mwenye kibri ni mwanadamu, sio Mungu! Ha ha haaa, dini ya allah yenye kutegemea hukumu itolewe na mwanadamu!

Dini ya Allah imeweka sheria za kuhukumiana. Unapopitishiwa hukmu duniani maana yake siku ya Akhera ile dhambi imefutwa huendi kusomewa huko. Sasa wewe dini yako si imekufundisha dhambi zako kazibeba yesu? Sasa confession ya nini kama dhambi zimesamehewa?
 
ni ujinga kufunga alafu mate yanakutoka ukiona mwenzako anakula
 
Mwana Tabora mwenzangu jitahidi sana kujiongeza na kufikiria nje ya box. WASOMI TUNA FARSAFA MOJA NAYO NI '' KUHISHIMIANA NA SIO KUVUMILIANA''.

Unapokwenda kwa mtu yoyote unatakiwa kuhishimu mila desturi na sirka zake lakin si kuzifuata kama zinakwenda kinyume na zako.

Kwa mantiki hiyo ukiwa kwa watu wasio wa iimani yako basi hishimu mila desturi na sirka zao hata kama zinakuwa kinyume na wewe LAKIN USIZIFUATE.

Hizo ni busara za bure mkuu.

Kuheshimiana na kuvumiliana kwa dini zetu ni muhimu sana , kaka yangu huwezi kuheshumu bila kuvumilia ile hali ya utofauti wa dini hizi.
 
Tatizo lako wewe akili yako ni kama ya kuku.

Yani huna upeo wa kumbu kumbu na huna fikra zinazokufanya uweze kujitambaua.

Kama utakuwa na kumbu kumbu hii id ya jason bourne mods walishaiunganisha na id yako ambayo iko verified kwa jina hiki fake la nyerere kipindi unaongopea watu kuwa wewe ni usalama wa taifa lakini stil huoni kama una la kujifunza katika kitendo kile.

Jins ulivyokosa akili unaanzisha topic wewe mwenyewe isiyo na tija isiyo na mantiki kisha unakuja kujijibu wewe mwenyewe huku ukidhani watu hawatambui huo ujinga wako.

Sasa sijui huwa unawaza kitu gani.

Siku zote huwa tunawaambia kuwa hamna haja ya kutangaza vita na uislamu au waislamu nyinyi watu wa chadema kwa kujificha ficha.

Vita dhidi ya uislam na waislam haitawasaidia.

Upeo wako jins ulivyo finyu unadhani kwa kufanya huu upuuzi wako basi hutafahamika.

Tunakufahamu tunakupuuza na kukudharau.

People with sad destiny.

nonsense, person attacks badala ya kujibu hoja! !!
 
na kabla ya hapo alikuwa na miaka 25 "akaoa" mama wa miaka 40!

Gaidi/Mbakaji yule alikuwa na vituko!!!! Ukisoma saikolojia utaelewa ni kwanini alikuja kuoa kijukuu. Alishaathirika kisaikolojia alipomuoa nyanya yake, akawa anatafuta baadae sehemu ya kudhihirishia ua naume wake. maana mwanzoni alikuwa kama ametawaliwa na bi mkubwa aliyempeleka kwa waraka Ibn Nahus(aliyekuwa mganga wa kieenyeji) ili akambashirie kuwa yeye ni mtume wa mnyaaaz m'ngu.
 
Gaidi/Mbakaji yule alikuwa na vituko!!!! Ukisoma saikolojia utaelewa ni kwanini alikuja kuoa kijukuu. Alishaathirika kisaikolojia alipomuoa nyanya yake, akawa anatafuta baadae sehemu ya kudhihirishia ua naume wake. maana mwanzoni alikuwa kama ametawaliwa na bi mkubwa aliyempeleka kwa waraka Ibn Nahus(aliyekuwa mganga wa kieenyeji) ili akambashirie kuwa yeye ni mtume wa mnyaaaz m'ngu.
Ndio wanaoana wanaume kwa wanaume?
 

Attachments

  • 1405630384078.jpg
    1405630384078.jpg
    23.5 KB · Views: 66
Iweke hapa mkuu kama kweli ipo
Sheria hii, haipo kimaandishi! Hivyo ni vigumu kuiweka hapa! Ni kama desturi iliyodumu miaka mingi sana sasa, kwamba ukishikwa unakula katika mwezi wa Ramadhani unafungwa hadi mwezi mwingine wa Ramadhani (Ni muda wa Mwaka mmoja).

Hii ina maana kuwa hakuna kupelekwa Mahakamani...
 
Ndio wanaoana wanaume kwa wanaume?

allah exposed:

Kufr:

Kufr is not just disbelief. It means blaspheming God. It means attributing false characteristics to God. There are many qualities that Muhammad attributed to God that are false and blasphemous. Take a look at the 99 names of Allah. Among them you find Al-Mutakabbir (The Proud One), Al-Jabbar (The Despot), Al-Qahhar (The Subduer), Al-Khafid (The Abaser) Al-Mudhell (The Humiliator), Al-Mumit (The Death Giver) Al-Muntaqim (The Avenger), Ad-Darr (the Creator of the Harmful). According to the Quran Allah is khairul Makirin (the Best Deceiver). These are not divine qualities. The Bible says that Satan is the Proud One, the Deceiver, the Giver of Death, the Humiliator and the Abaser. Muhammad has attributed satanic qualities to Allah. How can God be a deceiver? Either Muhammad's god was Satan or he has blasphemed God. As the result, Muslims, by virtue of believing in Muhammad and perpetuating these blasphemies are kafir. Islam is nothing but kufr.
One name of Allah according to Muhammad is Al-Warith (the Inheritor). If God is the owner of everything, how can he inherit thing that he owns already? It is very clear that Muhammad's god is not God and Islam is a big kufr.
 
Allah anapodanganya;

9:30 Na Mayahudi wanasema: Uzeir ni mwana wa Mungu. Na Wakristo wanasema: Masihi ni mwana wa Mungu. Hiyo ndiyo kauli yao kwa vinywa vyao. Wanayaiga maneno ya walio kufuru kabla yao. Mwenyezi Mungu awaangamize! Wanageuzwa namna gani hawa! 30
Maneno ya Allah,ni maneno Yenye uongofu ndani Yake,bila maneno ya Allah,hata wewe usingekuwako LEO,hivyo ulivyo.Umestrabika,na kuwa mtu unayejuwa utu,kutokana na kuishi na wanaofuata maneno ya Allah.
 
Back
Top Bottom