Yanayoendelea Zanzibar tusubiri majibu ya Wahanga na kuzaa gharika

Yanayoendelea Zanzibar tusubiri majibu ya Wahanga na kuzaa gharika

Barubaru, ni zile futari za kiserikali je?

tende na haluwa je serikali inagawa bure?

mamilioni wanayopewa BAKWATA kuhusu mfungo je?

Ni lini serikali au wizara yoote ile imeandaa futari? ni lini Serikali ya Jmtz ikagawa tende na haluwa? labda kwa kuwa tumo ndani ya ramadhwani nibainishie lini na nani alipewa na Serikali? Na Mamilioni gani wanayopewa BAKWATA kuhusu mfungo ambayo waislam na wananchi wengine awayajui?

Kinachojulikana na kimo hata katika Bajeti yenu kuu ni utekelezaji wa wa MOU ya kanisa na Serikali iliyofungwa mwaka 1992 ambapo kila Mwaka makanisa yanachota 60 Bil kila mwaka na kuanzia mwaka 2010 wanapewa 91 Bil ( (60 Bil x 18 )+ 91 Bil x 4) utapata idadi makanisa yaliyochota toka katika kodi za watanzania wote.
 
ISLAM start accumulating in countries and then start terrorizing it with gangs of rapists, violence and civil disruption.

They are possessed, demon possessed. They seek to spread fear and violence, they are pawns of the devil who feeds off of the fear and suffering they create for power.

Just as their leader, Mohammad, they use "God" as an excuse to prey on innocent people. Mohammad was a robber and a thief, his followers are no different.

It is not the Most High God they serve, but Satan.

Hivyo kwa mujibu wa Biblia majini yaani mashetani ni adui zetu na ndiyo maana alipokuja Muhammad yalianza kukanusha kuwa Mungu hana Mwana ili kuwavuruga waislamu wasijue kweli. (Soma Qurani 112:1-4, Al-Kahf, 18:3) ya kumwamini Mwana wa Mungu Yesu.

Kwa bahati mbaya sana mambo yanayohusu majini katika imani ya kiislamu ni tofauti sana na vile tulivyosoma katika Biblia. Ingawa Qurani na Hadithi za Muhammad, Mtume wa waislamu vinatutaka sisi Wakristo tumwamini Allah S.W. Mungu anayeabudiwa na Waislamu Misikitini

Katika Suratul Waqia 51:56.
"Sikuwaumba majini na watu ila wapate kuniabudu"
Katika Qurani Suratul Al-Ankabut (Buibui), 29:46-47
"Wala msibishane na Watu waliopewa Kitabu kabla yenu ila kwa yale majadiliano yaliyo mazuri isipokuwa wale waliodhulumu miongoni mwao na semeni tuyaamini yaliyoteremshwa kwetu na yaliyoteremshwa kwenu na Mungu wetu na Mungu wenu ni mmoja nasi ni wenye kunyenyekea kwake."

Waliopewa Kitabu kwa mujibu wa Qurani ni Wayahudi na Wakristo. Je, hoja kuwa Mungu wetu na Mungu wao wanayemwabudu kuwa ni mmja je ni sahihi?. Tuchunguze kuhusiana na mafundisho ya Allah S.W wa misikitini kuhusu majini ndipo tutajua ni mmoja au la!.

Muislamu yeyote ili imani yake ikamilike ni lazima aamini yanayoonekana na yasiyoonekana.
Katika Suratul Al- Baqarah (ng'ombe Jike wa Njano), 2:1-3.
"Alif lam mym. Hiki ni kitabu kisochokuwa na shaka ndaniyake ni uongozi kwa wamchao Mwenyezi Mungu ambao huyaamini yasiyoonekana (maadamu) yamesemwa na Mwenyesi Mungu na Mtume wake) husimamisha sala na hutoa katika yale tuliyowapa.
Qurani peke yake ukiichunguza utaona kuwa majini yamechukuliwa kama ni viumbe tofauti na mashetani, , wanasema hivyo kwa sababu katika uislamu majini yamepewa hadhi kubwa sana na ya kipekee. Hadhi hiyo ni kwa sababu majini waliamini Qurani.
tusomapo katika Qurani SuratulAl- Ahqaf, (Kichuguu Cha mchanga) 46:29
" Na wakumbushe tulivyokuletea kundi la majini kuja kwako kusikiliza Qurani. Basi walipohudhulia walisema (kuambiana: ‘Nyamazeni (msikilizeni maneno ya Mwenyesi Mungu' na ilipokwiza' na ilipokwiza somwa walirudi kwa jamaa zao wakiwaonya."
Na ndani ya Qurani kuna sura nzima inayoitwa surah ya majini (Mashetani) hiyo ni surah ya 72. katika Surah hiyo inasema 72:1-3, 14 " Sema: imefunuliwa kwangu ya kuwa kundi moja la majini lilisikia Qurani likasema hakika tumesikia Qurani ya ajabu inaongoza katika uongofu. Kwa hivyo tumeiamini wala hatutamshirikisha yeyeote tena na Mola wetu na kwa hakika utukufu wa Mola wetu umetukuka kabisa. Hakujifanyia mke wala mwana ……
Nasi wamo miongoni mwetu waliosilimu Na wamo waliokengeuka. Waliosilimu hao ndiyo waliotafuta uwongofu.
Kwa hiyo aya hizi zinaonyesha kuwa Qurani ilipokuja ndipo majini waliposilimu. Kumbuka kuwa Qurani imeanza mwaka 610 B.K kipindi ambacho Biblia tayari ili kuwepo kwa karibu karne 6.

Akifafanua asili ya majini mwanazuoni mkubwa wa kiislamu aitwaye Abdallah Saleh Farsy aliye kuwa Kadhi Mkuu Zanzibar, kasha akawa Kadhi Mkuu Kenya katika kitabu alichoandika kiitwacho "Maisha Ya Nabii Muhammad".Ule Uk 31 anasema
" Katika safari yake ya kurejea Taif ndipo walipomjia majini wakasilimu Kama inavyoonyesha haya katika suratul Jinn. Majini ni viumbe vyebesi vinavyokaa angani havina viwiliwili kwa hiyo haviwezi kuonekana na wanadamu ila vinapojibadili kwa umbo lenye kiwiliwili. Na vina uwezo huo wa kujibadili kwa sura ya kuweza kuonekana. WAO NA MASHETANI WANA ASILI MOJA.
Kwa hiyo asili ya majini ni shetani.

Suala linalohusu malaika linawasumbua sana Waislamu hata hawana uhakika wake.
Tumesoma ndani ya Biblia kuwa kuna kundi la malaika waliokosa ambao ndiyo wanaitwa majini lakini tusomapo Qurani inatoa maelezo tofauti.
Quran Suratul- al- sajdah, (kusujudu) 32:13
" Na tungelitaka tungempa kila mtu uwongofu wake (kwa lazima kama tulivyowapa Malaika lakini binadamu amepewa huria ya kufanya alitakalo- liliyo jema na baya).

Katika ulimwengu wa kiislamu malaika wote ni wema na wanamwabudu Mungu.
Hapa ndipo penye tatizo linapoanzia. Qurani ilipokuja baadaye inasema Malaika wote wema wakati Biblia kitabu kilichotangulia Qurani kinasema kuna malaika walioasi Na wakafukuzwa katika utukufu WA Mungu.
Katika Qurani Suratul al kahf (Pango) 18:50
" Na kumbukeni tulipowaambia Malaika, Msujudieni Adamu. Basi wakasujudia isipokuwa Ibilisi yeye alikuwa miongoni mwa majini na akavunja amri ya Mola wake ……"
Katika aya hiyo tunaona Ibilisi akilaumiwa kwa kutomsujudia Adamu ingawa amri ya kusujudu walipewa Malaika kumbe kwa mujibu wa Qurani Ibilisi alikuwa miongoni mwao hao Malaika yaani yeye akiwa Malaika.

Kwa sababu Qurani haina habari kuhusu Malaika waliosi yaani majini ndiyo maana wanapata tabu kuhusu jambo hilo. Na ndiyo maana pamoja na kujua kuwa hao majini ni mashetani, Mwislamu amehiari kushirikiana nayo kwa kuswali nayo msikitini. Na hata Mwislamu huyo anapomaliza kusali husalimia kulia na kushoto akiwasalimia watu, malaika na majini (mashetani) waliokuja kushiriki naye katika ibada yake, soma katika
(Irshadul Muslimiin, sheikh Said Musa, Uk 38)
Katika Tafsiri ya Qurani ya Imam Jalalaini Uk 6:151 anasema kuhusu majini
" Hao ni watoto wa Ibilisi"
Hii ndiyo sababu hata Wanawake wa Kiislamu wakiwa katika kipindi cha hedhi hawaendi Msikitini kwa sababu mle ndani kuna majini na chakula cha majini ni damu.
Tafakari kwa hiyo sifa ya hayo majini au mashetani kwa ujumla ni kuwa " hujaribu kwa bidii sana kuwa karibu na waumini (Waislamu) wale wanaosali, kufunga na kusoma Qurani" (Asili ya majini, DK. Ahmed H. Sakr Uk 28)Ndiyo maana baadhi ya Waislamu wao binafsi wasingependa kuwa waislamu lakini majini huwashurutisha kwenda kuswali.
Kwa sababu wao Waislamu hawajui kubambanua kati ya majini ambayo ni roho chafu na wale Malaika watakatifu wa Mungu Yehova, ndiyo maana hata akiwa katika sala yake hana uhakika kwa sababu huyo jinni (shetani) amemteka na amemfanya atakavyo na yeye ni mtumwa wa huyo jinni (shetani)
Katika kitabu kiitwacho Mkweli Mwaminifu cha Sheikh Said Moosa Mohammad Al- Kindy wa Muscut Oman, juzuu 1-2 Uk 42 hadith Na 74.
" Anamwijia mmoja wenu shetani (jinni) katika sala basi anapuliza katika ------ yake, basi (Yule mtu) inamuijia fikra ya kuwa umemtoka upepo (kafusa) naye haukumtoka, basi akiona namna hiyo asiondoke (kwenye sala) mpaka asikie sauti (ya kutoka upepo) au anuse harufu (ya huo upepo uliyomtoka, ndio aondoke).

Huyo shetani, au jinni anakuwa karibu sana na huyo Muumini wa kiislamu hamchezei tu Mwislamu katika ------ yake kama tulivyosoma hapo juu bali pia anapofanya tendo la ndoa.
Katika kitabu kiitwacho Asili Ya majini cha Dr Ahmad h. Sakir Uk 116 anasema
" Hadithi ya Mtume inathibitisha jambo hili kuwa majini (mashetani) na watu wanaweza kuoana aliposema kwamba iwapo mtu ataingia katika uhusiano wa kindoa na mkewe anatakiwa ataje jina la Mwenyezi Mungu ajilinde kwa Mwenyezi Mungu dhidi ya shetani aliyefukuzwa mbali na rehema. Vinginevyo shetani hujivingirisha katika dhakari (sehemu ya siri za mwanaume) ya mtu huyo na atashirikiana naye katika tendo hilo. Tafakari yetu kuwa huyo jinni anayeshiriki naye tendo la ndoa pamoja kwa mkewe ametumwa na huyo huyo Mungu wao. Hiyo ni kesi ya ngedere kumpelekea nyani! Utashindwa tu!

v Huhakikisha haweki wazi utambulisho wake vinginevyo watu wanaweza kumkwepa au hata kumkimbia. Jina lake linawatisha watu wengi. Hivyo ni vyema asijitambulishe kama ni shetani, jinni.
v Huwapotosha watu kutoka kwa Mwenyezi Mungu ili waende naye jehanamu, badala ya kwenda peke yake. (Kumbuka hukumu ya Yesu kwa Ibilisi na Malaika zake Math 25:41)
v Huwakatisha watu tamaa kwa sababu kwa sababu hana la kuwapa ila matumaini ya uongo ( mf Q. 52:20)
v Huhakikisha kwamba watu wanamheshimu. Kumfuata shetani maana yake ni kuwa mtu amejisalimisha (kumbuka Waislamu wanaposalimia majini kulia na kushoto katika sala {Irshadul Muslimin Uk 38}).
v Huhakikisha kwamba hadhihirishi jina lake kama shetani lakini kama rafiki aliyejificha anayewatakiwa mema.
v Huanziza vurugu vinginevyo maisha yake huwa ya taabu. Huwa anafurahia kuona watu wakipigana wao kwa wao.
Katika kipengele hiki tunaposoma katika Qurani, suratul- Al- maidah, (Meza) 5:14

Hapa ndipo hata mimi ninapokushangaa!!,
Je yesu unaemtaja hapa ndio yule Mungu kama unavyofundishwa kanisani au yule aliyetajwa katika Bible kuwa ni mtume wa Mungu na aliyetumwa kwa ajili ya Waisrael tu na alikuja kutimiliza Tourati?
Yesu mtume wa Mungu.

Yohana 6:28-29.[SUP] 28[/SUP]Wakamwuliza, ``Tufanye nini ili tuonekane kuwa tunatenda kazi ya Mungu?'' [SUP]29[/SUP]Yesu akawajibu, ``Kazi anayotaka Mungu muifanye ni hii: mumwamini yeye aliyenituma

Yohana 17:3 [SUP]3[/SUP]Na huu ndio uzima wa milele: wakufahamu wewe ambaye pekee ni Mungu wa kweli, nakumfah amu Yesu Kristo ambaye umemtuma



Mungu Mmoja tu.

Soma marko 12:29 [SUP]29[/SUP]Yesu akamjibu, ``Iliyo kuu ni hii, `Sikiliza Israeli, Bwana Mungu wetu ndiye Bwana pekee.




Yesu akamjibu, Mbona unaniita mwema? Hakuna aliye mwema ila Mwenyezi Mungu peke yake". (Marko 10:18)

".. anayenipokea mimi, hanipokei mimi bali anampokea Yule aliyenituma". (Marko 9:37)


"Mimi nimewaambieni ukweli niliousikia kwa Mungu, ninyi mwataka kuniua". (Yohana 8:40)

"Nakwenda juu kwa Baba yangu na Baba yenu, Mungu wangu na Mungu wenu". (Yohana20 :17)
Ametumwa kwa waisrael tu.

Yakobo 1:1 [SUP]1[/SUP]Kutoka kwa Yakobo, mtumishi wa Mungu na wa Bwana Yesu Kristo. Kwa makabila kumi na mawili yaliyotawanyika ulimwenguni. Salamu:

Mathayo 10: 5-6. [SUP]5[/SUP]Yesu aliwatuma hawa kumi na wawili, akawaagiza, ``Msiende kwa watu wa mataifa wala msiingie mji wo wote wa Wasamaria. [SUP]6[/SUP]Bali waendeeni kondoo wa nyumba ya Israeli waliopotea.



1. Yesu akawaambia, Amin, nawaambia ya kwamba ninyi mlionifuata mimi, katika ulimwengu mpya, atakapoketi Mwana wa Adamu katika kiti cha utukufu wake, ninyi nanyi mtaketi katika viti kumi na viwili, mkiwahukumu kabila kumi na mbili za Israeli.
Matthew 19:28

mpate kula na kunywa mezani pangu katika ufalme wangu; na kuketi katika viti vya enzi, huku
mkiwahukumu kabila kumi na mbili za Israeli.
Luke 22:30
Yakobo, mtumwa waMungu, na wa
Bwana Yesu Kristo, kwa kabila kumi na mbili waliotawanyika; salamu.
James 1:1

Na sasa ninasimama hapa nihukumiwe kwa ajili ya tumaini la ahadi
baba zetu waliyopewa na Mungu,
ambayo
kabila zetu kumi na mbili wanataraji kuifikia, wakimwabudu Mungu kwa bidii mchana na usiku. Nami ninashitakiwa na Wayahudi kwa ajili ya tumaini hilo, Ee Mfalme.

Acts 26:6-7

Makabila mengine hatustahili kufundishwa Neno la Mungu
Matendo 11:19
[SUP]19[/SUP]Wale waamini waliotawanyika kutoka Yerusalemu wakati wa mateso yaliyotokana na kifo cha Stefano, walisafiri hadi Foinike na Kipro na Antiokia. Wakawa wakihubiri Habari Njema kwa Wayahudi peke yake

Bwana yesu ametukana sana na kutulinganisha na Mbwa.
Mathayo 15:24 Akajibu, ``Nimetumwa tu kwa ajili ya kondoo wa Israeli wal iopotea.''.

Bwana Yesu akasema kuwalinganisha na Nguruwe.
Mathayo 7:6

[SUP]6[/SUP]``Msiwape mbwa vitu vitakatifu; na msitupe lulu zenu mbele ya nguruwe wasije wakazikanyaga kanyaga na halafu wawageukie na kuwashambulia.''



Sheria ya kufuatwa na waisraeli wote ni Torati.

Kumbukumbu 4:44-45


Yesu kaja kutimiza Torati.





Soma mathayo 5:17-19 [SUP]17[/SUP]``Msidhani kwamba nimekuja kufuta sheria ya Musa na mafundisho ya manabii. kwamba mpaka mbingu na dunia zitaka potoweka, hakuna hata herufi moja ya sheria itakayopotea mpaka shabaha yake ikamilike. [SUP]19[/SUP]Kwa hiyo ye yote atakayelegeza hata mojawapo ya amri ndogo kuliko amri zote na akawafundisha wengine kufanya hivyo, ataitwa mdogo kabisa katika Ufalme wa mbinguni. Sikuja kuzifuta bali kuzitimiza. [SUP]18[/SUP]Kwa maana ninawaambia hakika Lakini atakayetii amri hizi na kuwafundisha wengine kuzitii a taitwa mkuu katika Ufalme wa mbinguni





Luka 24:44 [SUP]44[/SUP]Akawaambia, ``Haya ndiyo mambo niliyowaambia nilipokuwa pamoja nanyi; kwamba yote yaliyoandikwa kunihusu mimi katika she ria ya Musa, katika Maandiko ya manabii na Zaburi hayana budi kutimizwa



 
Kumbe kuna nchi inaitwa zanzbar? HAYA MATATIZO YOTE YANALETWA NA VIONGOZI LEGELEGE MKAPA ASINGEWARUHUSU WAPUUZI HAWA WAENDELEZE UJINGA WAO.....KAMA WANAJIDAI WANA NVHI WAKETE FUJO ZA WAZI WAZI TUWAPELEKE WAKINA MARWA NA CHACHA KAMA WOTE HAWATAKIMBILIA MOMBASA.....ELIMU AKHERA NI TATIZO KUBWA

Kumbe hujui???....loh ao viongozi waliokazana pendekeza waachane na znz kwani znz ndo nini ndani ya tz hadi hatuwaachii tunawang'ang'ania tu!
 
hapa tuangalie zaidi ya kufikiria "Wakristo" wanapigwa maana katikati ya wanaokula kunawasioamini chochote na wapo Waislam pia ambao kwa hali zao, maamuzi yao au vinginevyo wanakula.

tuzungumzie kupigwa kwa "watu" wanaokula.

leo asubuhi nilikutana na mama mmoja muislam (nilimgundua baada ya kuona amejitanda ushungi mweupe) anauza vitafunwa baada ya kununua nikamuuliza kwanini auze vyakula ndani ya mwezi mtukufu wakati wenzie hadi Hoteli wanafunga? akajibu "mwanangu kufunga ni imani yangu na Allah anatutaka tukifunga tufanye kazi, hii ndio sehemu ya kupata rizki ya wanangu sasa nisipouza itakuwaje" nikajiongezea jibu kichwani ...hata futari hutapata...

Tunapowaadhibu wanaokula kwakuamini tunafanya lililosahihi (sijui kama ndivyo ama sivyo) tunawaadhibu hata watoto wadogo na wategemezi wa wale wanaouza vile vyakula huko majumbani.

niliwahi kusikia toka kwa marafiki zangu na siku moja kwenye redio (sikumbuki stesheni gani) kwamba watoto wadogo hawafungi. kama ndivyo kwa kumnyima mama ama baba yake njia ya kujipatia kipato hatuoni tunakosea?

nakaribisha kusahihishwa

Labda tuangalie nn mtu amekatazwa...mkuu hajakatazwa mtu kula ila tafuta eneo la kujistiri ndio ule. Kwani mbona marikiti wapo watu wanauza vyakula kuna alie katazwa?? ..nunua nenda kwako kale.
 
Tulia ukitaka kuchangia mambo haya sababu utakuwa unajibu vitu kinyume.
Kwan huku Zanzibar kumepigwa marufuku Ukristo?
Sisi Pemba kuna Makanisa mazuri kwa mijengo hata Bara sehemu nyengine hakuna.
Ila wanaheshimu imani yetu kwa wingi wetu nasisi ndio maana tukawa tunawaheshimu kwa imani yao, na ndio maana kanisa Pemba haijawahi kuchomwa labda Unguja ambayo ndio Zanzibar!
Kuna miji mingapi wakristo wanalalamika kwa adhana za alfajir?

Kwani wafikir huko unguja anayachoma nani?...wenyewe wasutuumize vichwa
 
U guys stop insulting each other,Tunakoelekea tunapoteza uzalendo,we fight for nothing coz in the end no one atakua mshindi.

wkt mwingine tunakaribisha lugha ambazo hata vitabu vyetu vyote vya dingpg visingeruhusu itumike for clarification!!

Mungu ipe mwongozo nchi ya tz na uwafumbue wa tz kwamba adui mkubwa ni ignorance na poverty.

Maneno mazuri sana. Wakristo na Waislam wote wanatakiwa kuwa na mawazo kama yako. Kila mtu afate maandiko yake na siku ya mwisho Mungu ndio atatoa majibu nani alikua sahihi. Nafikiri kila dini inaamini ipo siku ya malipo. Ukitaka kuikosoa dini ya mwenzio basi usome maandiko yake na kuielewa vizuri sio kusoma juu juu na kumkosoa mwenzio.
 
Waialam na wakristo wana haki ya kula mchana nje kama waislam walivyo na haki ya kufuturu nje kama sheria zinafuatwa tanzania. Alie chapwa anaweza kwenda maakamani kuishitaki serekali kwa hili

Safi, kama kweli yupo huyo aliechapwa basi kuna vyombo vya sheria. Na kama kuna mwenye uchungu sana na hili nashauri ajitolee kumtafutia hata wakili wa kujitegemea ili haki ipatikane mahakamani.
 
Shetani ni familia yako kukulea katika maadili ya kijinga.
Huku Pemba hufiki hata kuingia guest sababu utadaiwa kitambulisho cha ndoa, tukikufuma njian chochoron tu basi imekula kwako.
Hatuwez kuharibu vizazi vijavyo halafu tukaja kulalamika mbelen

Mbona ma ustadhi wanaongoza kubaka vitoto vya madrasa?na mashoga wengi mbona ni wapemba?
 
Mbona ma ustadhi wanaongoza kubaka vitoto vya madrasa?na mashoga wengi mbona ni wapemba?

Hio ni tabia ya mtu binafsi na malezi yake haina uhusiano na mafunzo ya dini. Nafikiri unahafahamu kinachoendelea Roma pia mpaka Papa amekiri tatizo lipo.
 
Kijana, Umoja wa Mataifa unapiga kelele kuwa kanisa katoliki linaharibu watoto duniani, na vielelezo nimekuwekea juu huko. Sasa wewe onesha ni wapi Umoja wa Mataifa umelalamikia madrassa.

Nnakuhakikishia huwezi.

Hivi unachokitetea ni nini haswa? au ni ukweli niliposema mnafanya kwa ridhaa yenu na wewe ni mshiriki wa hayo mambo na kwako unayaona ni sawa tu?

Ni ukweli uliowazi kuwa kitendo km hiko akifanya mkristo yeyote ni dhambi ndo maana linapigiwa kelele lkn kwa kila muislamu hiyo ni suna na mchezo wa kawaida wa kila siku
 
Labda viongozi wa juu wangekuwa wakristo wangewasikiliza kilio chenu lkn hao viongozi wala urojo na kina Vasco dagama msitegemee kukemea au kulisemea..........Islam=failure
 
Ni ukweli uliowazi kuwa kitendo km hiko akifanya mkristo yeyote ni dhambi ndo maana linapigiwa kelele lkn kwa kila muislamu hiyo ni suna na mchezo wa kawaida wa kila siku

Unatetea maovu, hicho si kitendo kimoja, jisomee:
4eaccfac16e64815a793d35dd69cf48c-4eaccfac16e64815a793d35dd69cf48c-0.jpg
Anja Niedringhaus/AP
Kirsten Sandberg, chairwoman of the UN human rights committee on the rights of the child, talked during a press conference at the United Nations headquarters in Geneva on Wednesday.


VATICAN CITY (AP) — The Vatican ‘‘systematically’’ adopted policies that allowed priests to rape and molest tens of thousands of children over decades, a UN human rights committee said Wednesday, urging it to open its files on pedophiles and bishops who concealed their crimes.
In a devastating report hailed by victims, the UN committee severely criticized the Holy See for its attitudes toward homosexuality, contraception and abortion and said it should change its own canon law to ensure children’s rights and their access to health care are guaranteed. The Vatican promptly objected.

Soma zaidi: UN blasts Vatican on sex abuse - World - The Boston Globe
 
Nikufundishe kitu tu, na hasa kwa sababu mm ninaishi huku Pemba.

Suala sio kwamba huku unalazimishwa kufunga hapana tatizo ni kutokufunga na kufanya vitendo vyenye kuharibu funga public.

Tujaalie mfano ulotoa wa huyo mama ambae anafanya biashara , ni sahihi kabisa alivokujibu. Sisi dini yetu hata yule anaishughulikia msikiti anatakiwa afanye kazi kupata riski yake sisi hakuna kupeana pesa kama ukristu unavofanya kwa wachungaji kwa mgongo wa sadaka.

Suali la kujiuliza huyo mama anafanya biashara katika mazingira gani?
Kama ni Bara huko hakuna tatizo sababu kuna mchanganyiko wa imani tofauti tena kwa uwiano wenye kufanana.
Fikiria Pemba Waislamu tupo 99.99% utafanya biashara ya chakula umuuzie nan? Sababu hata wadogo hufundishwa kufunga japo kwa masaa machache tu sababu haijawa lazima kwa watoto.
So kimazingira tu basi yanakufanya uachane na biashara ya chakula ujielekeze kwengine kwa ramadhani.
Nikutoe wasiwasi huku mfumo wa maisha ni tofauti kidogo, mtu anafanya biashara pia anamiliki shamba la mazao ya chakula na hakuna Mpemba ambae familia yao haina shamba.

kama kweli umefunga na kufunga kwako ni kwa imani, kwanini ushindwe kujizuia eti sababu mwingine anakula au kuuza chakula?

swala la pili kama waislamu wa huku bara wanaweza, nyie wa pemba mnakipi cha tofauti cha kuwafanya mshindwe?

nikuelimishe kidogo ndugu, hao wakristu wanaolipwa kwa "mgongo" wa sadaka wanalipwa baada ya kufanya kazi kwakuwa hiyo ndio kazi yao siku hadi siku.

hiyo biashara utafanya uwauzie hao asilimia inayobakia baada ya 99.99% na pia tambua kwamba sio waislamu wote wanaofunga kama unavyotaka kuniaminisha ndio maana kunaneno mnalolitumia kuita wengne "Kobe".
 
Ni ukweli uliowazi kuwa kitendo km hiko akifanya mkristo yeyote ni dhambi ndo maana linapigiwa kelele lkn kwa kila muislamu hiyo ni suna na mchezo wa kawaida wa kila siku

hahhahhhhahahahaaaaa
 
Labda tuangalie nn mtu amekatazwa...mkuu hajakatazwa mtu kula ila tafuta eneo la kujistiri ndio ule. Kwani mbona marikiti wapo watu wanauza vyakula kuna alie katazwa?? ..nunua nenda kwako kale.

ndugu, ni kila mtu ataweza kununua na kwenda kwakwe kula? wangapi wanakwao? na vijana wanaolala mabarazani wakalie wapi? je? wafanyabiashara nao walioondoka kwao kwenda tafuta na wao warudi kwao wakale?
mbona Bara tunakula na hakuna shida? ni nini cha tofauti kwa walio huko?
 
Mi ninafunga usiku tu mchana ninakula kinachotakiwa Ni kutokula ndani ya massa 12.naunga mkono vunja jungu.kidumu chama cha mapinduzi
Naungana na mtoa hoja kwamba hawa wajinga wachache wanaotia doa uislam kwa vitendo vilivyo nje ya mafundisho ya uislam serikali ni lazima iwaangalie na kuwadhibiti kwani wanakotupeleka ni kwenye vilio na kusaga meno.hali ya chuki za kidini na kisasi ikishamiri ktk jamii yetu ya kitanzania kitachofuata ni mauaji ya kimbari.lakini waislam lazima tujifunze kuishi kwa kuvumiliana na siyo kujifanya mahakimu wa kila jambo ktk hii dunia.tukihukumu sisi mungu atafanya kazi gani?tuache kuwa wa kwanza kuanzisha machafuko ambayo baadae yana-back fire upande wetu tunabaki kulalama kama ilivyotokea huko jamhuri ya afrika ya kati.
Kuhusu kufunga wako watu ambao hawana sifa ya kufunga kama vile wagonjwa,wasafiri,watoto nk,hawa wote lazima wale chakula.lakini pia kufunga saumu pamoja na maana zingine ni kujizuia kula na sio kukataza wengine wanaostahili kula wasile,wataishije sasa?mgonjwa hata kama ni muislam anatakiwa ale ndipo atumie dawa,msafiri hana ndugu anahitaji ale munafunga migahawa!mtoto mdogo anahitaji ale,mwanamke aliye ktk hedhi pia hatakiwi kufunga,sasa kuzuia watu hawa kula kwa kuwapiga na kuwafanyia vurugu hayo siyo mafundisho ya islam.ifike wakati serikari iache siasa katika mambo yanayotishia usalama wa nchi na iwaadhibu wahuni hawa bila huruma.
 
Akili kubwa umeelewa ulichokipost hapo? Embu dadavua basi? Mimi sioni baya lililoandikwa hapo.
"Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu." Wenye kudhulumu unawajua ni nani? Mlaleo acha kujishusha/kujidhalilisha bana. Wewe ni akili kubwa bana.




Sent from my iPhone using JamiiForums

Mbona.... baya langu lipi hapo na hayo ni maneno kutoka kwenye Koran yakisema siwezi Dadavua kitu... pole kama maneno hayo hukupenda yawekwe wazi... ila kama upo sawa utatia akili
 
Tetty,

Kuvumiliana na Kuhishimiana HATA SIKU MOJA HAKUWEZI KWENDA SAMBAMBA. Haya ni maneno mawili tofauti.

Kumbuka huwezi mtu unayemuheshimu ukamtukana ukitaraji akuvumilie kila unapomtusi.Ni laazima uamue moja ima umuhishimu au umvumilie LAKIN SIKU ZOTE PALIPO NA HISHMA HAKUNA KUVUMILIANA.

Watu wanatakiwa KUHISHIMIANA na SIO KUVUMILIANA na ndio hicho kilichosababishwa Muumba kuumba Pepo na Moto.

Labda tudadavulie ni dini gani inayosisitiza KUHISHIMIANA NA KUVUMILIANA KWA WAKTI MMOJA?


Wajua ya kwamba KUHESHIMU ina maana tofauti na KUVUMILIA.Unaweza ukawa una HESHIMA lakini ukawa si MVUMILIVU.Tatizo dogo tu unalipuka,hiyo ndiyo maana yangu hasa.

Kama dini na wanadini basi TUVUMILIANE zile tofauti za dini zetu na tuheshimiane sababu sisi sote ni wanadamu na muumba wetu ni mmoja.Hiyo ndiyo maana yangu halisi.
 
Wapigwe tu, Zanzibar ni nchi ya kiislamu mkiristo ambaye hawezi kustahamili na kula kwa kujificha arudi kwao.,
 
Mbona haijatokea gharika Tanganyika ambako wenye macho mekundu wanauliwa, au maalibino kukatwa viungo vya mwili na watu kuchunywa ngozi!!!????

Au katiba ya TZ inaruhusu haya? Na mbona hauyashangai haya na badala yake unakuja kushangaa watu wanaopigwa bakora ZNZ kwa kosa LA kula mchana wa mwezi wa Ramadhani!!??? Acha unafiki name kumbuka hicho kitabu chako unachokifuata kinasema ukitaka kutoa kibenza kwenye jicho la mwenzako basi anzia kutoa boriti kwenye jicho lako

Lakini sikushangai sana maana mfumo kristo ndivyo ulivyokulea kulifanya kubwa lolote lile ambalo waislamu watalifanya name kuliona dogo lolote lile ambalo wakristo watalifanya hata kama ni mapdri kulawiti watoto

anajifanya kusahau hata tanganyika mbona mashehe walitembeza kichapo kwa changudoa na hao wakiristo huko zenji sio waza wakuja wakiristo walozaliwa zenji wanajitambua
 
Back
Top Bottom