Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Hii ndo kitu kinaitwa vaa uhusika... Ungekuwa wew ndo yeye ungefanyaje?. Mana hata uhalisia upo wa aina mbili Kuna wa kuona na WA kufanya. Anayeona anaona unakosea, anatakiwa yeye akae nafasi yako ili aone wapi uko sahihiLife linaweza kukupeleka sehemu ujategemea kabisa ndomaana mimi simjudge mtu kabisa sijui malaya,barmaid kuna kipind life lilibonda hadi nikaona wanaojiuza wako right.