Kwa kweli bunge hili ni kilabu cha komoni,mbege,mapuya na ulanzi.Yaani hao kwa kuchambana ndio wenyewe, mie jana namsikia watu wanazungumza na vipaza sauti vyao viko wazi vinaingiliana hadi sisi kwenye tv tunasikia mwingine alikuwa anahadithiana habari za jana yake, wengine watoto wao uko nyumbani waivyokuwa wasumbufu, mwingine ndio anaongea kwa sauti tumekuchoka anamwambia mbunge mwenzie anayepayuka kuchangia yaani kama kilabu cha pombe hawana hata aibu. utafikili vyuzi zao zimekatika naona mitambo ile inawatoa akili ovyo kabisa kichefuchefu tena mie naona hata aibu kulingalia.
Kwa hali hii sioni kama kuna katiba..nidhamu hakuna
Nakubaliana na mdau uliyemwita ole sendeka mbwa kwani ni bogus dog asiyestahili kuwa mbunge ata wa mbwa mwitu,anapenda kupinga kila kitu amabacho kinakinzana na CCM ata kama kina maslahi ya kitaifa.Na mshangaa sana mwenyekiti wa bunge hili kumpa nafasi mara Kwa Mara mtu asiyejua ata kujenga hoja hususani za kisheria,jamaa kutoka zenji kampa makavu live kwamba asione kila mtu anakili kama za watu wa kwao simanjiro huko.
Maana wanapiga kelele bungeni na kuzomea ovyo kama watoto wa Kindagaten! Yaani hawana hekima wala busara! Mpaka wanakera! Wao wanadhani ukiishakuwa mpinzani basi ni kupinga tu hata kama huna hoja! Kibaya zaidi wanazomea kama wehu! Hawafai, wanakula hela za walipa kodi bure!
Hawa wabunge wa katiba hawajiheshimu hata kidogo. Utakuta Spika anaongea nao wanaongea.
Duuh. binadamu n mbwa! unatofauti gani na hao unaowaita mbwa?
Kwa tabia hii hata wewe ungekuwa mjengoni ungekuwa kituko
Mjumbe akataa kuombwa radhi, asema yeye anajuwa kanuni zaidi ya miaka 30 na afikirii mtu atoke Simanjiro miaka kumi iliyopita halafu ajifanye eti anajua kuliko watu wengine. Kikao kimeghailishwa mpaka saa kumi jioni huku sintofahamu ikiendelea....
rekebisha hapo kwenye red, sio hili tu bali Watanzania sote ndivyo tulivyo. Mlidharau sana cdm walivyotoka nje lakini taratibu tunaweza kuanza kuwaelewa sasa, tulidhani Mh. Joseph Mbilinyi ni mhuni kwa kudhalilidhwa na wanausalama wa Bunge lakini sasa tunaweza kuwaona wahuni ni kina nani. Mchakato ulianza japo sio vizuri lakini mara viongozi wakuu wanaanza mipashoa ya misimamo badala ya maoni hapo ulitegemea nini!?ni aibu sana kwa watu wazima na wengi wao ni viongozi katika jamii hawana cha maana wanachodiscuss hapo.ukweli bunge la katiba lina maudhi sana ni mabishano yasokuwa na msingi na hata hamna kinachoendelea..haya mabilioni ya watanzania ambayo mnatafuna hapo Dodoma kweli itagarimu Taifa letu na hatutapata muhafaka wa hiyo katiba tunayoitaka kwa style hi!!!
Ole Sendeka inabidi achezee kichapo kwanza ili awe na adabu mbwa kabisa huyu.