Sendeka ndo kuwa chanzo baada ya kumushambulia mbaruk personaly badala ya kamati. Mle wakuu ni cuf na ccm kwa mitizamo ya muungano. Ole sendeka hatumbua kuwa imvi ni busara sio kila kitu anataka aseme tena sio kwa staa. Anacheza na wazanzibar atachezea kichapo na utu uzima wake