Yanayojiri Bunge la Katiba Dodoma leo 06/03/2014

Yanayojiri Bunge la Katiba Dodoma leo 06/03/2014

Waleta mada wengine, hawafai hata kuandika udaku. Tiririka ili tuelewe.
 
Wadau hii thread ni maalum kwa ajili ya updates za bunge la jioni tar 6.3.14!

Plz mods msiunganishe na thread zingine!

Daaaah mods bhana!??????????!!!!!!!!! pasua kichwa sana! haya bhana nyie ndio mlioshika Mpini mm nimeshika makali! kila la kheri!
 
mh . mwandosya ameongea mambo ya msingi tena kwa umakini mkubwa ,I think he is Serious .
 
Ni maneno ya Prof huyu, ameyatoa ndani ya bunge sasa akiasa juu ya vurugu zilizotokea leo bungeni.

Ni maneno makini yenye ustarabu, yaliozamilia kutoaa wingu la kutokuelewana kwa wajumbe

Asante Prof Mwandosya.

argue dont shout!
 
Kweli siyo vema kuropoka ni vema kujenga hoja tena zenye mashiko hasa kuliko watu wazima wanaropoka bila hata hoja zozote.
 
Joseph selasini kapendekeza. Inaonekana inaelekea kukubaliwa bungeni!
 

Kama mtakumbuka vizuri, katika semina ya leo asubuhi, kulitokea tofauti baina ya Sendeka na Abubakar Hamisi Bakari. Tofauti ilitokana na Mwenyekiti kuwaruhusu Sendeka na Ummy Mwalimu kuchangia kanuni ya 58 ya Rasimu ya Kanuni za Bunge maalum. Wakati mwenyekiti Kificho akiwa anasoma majina ya akina Sendeka, alisimama Abubakar na kusema kuwa majina yanayosomwa hayamo kwenye jedwali la marekebisho walilonalo. Kutokana na hali hiyo alisema kuwa mwenyekiti atasababisha bunge hilo likae kwa zaidi ya kiezi sita. Baada ya hapo. Alisimama Ole Sendeka na kumshutumu Abubakar kuwa anafanya kazi kwa maslahi ya CUF na kwamba hana uzoefu na kanuni. Kutokana na maneno hayo, Abubakar alikuja juu na kusema kuwa ana uzoefu wa zaidi ya miaka 30 tofauti na Ole Sendeka ambaye ametoka Simanjiro na ana umri wa miaka 10 tu hivyo hawezi kumbabaisha. Baada ya maneno hayo ndipo mvutano ulipojitokeza na badala ya kuwa mgogoro wa watu wawili, ukageuka kuwa mgogoro wa wengi na ulionekana ni ama baina ya CCM na CUF au baina ya Watanzania Bara na Wazanzibari

Asante kiongozi kwa kutujuza. vp kuhusu matusi? hakukuwa na kushkana mashati? sasa hv nafuatilia pia.
 
Mwenyekiti wa kamati aulizwa asema amemaliza kuelezea kuhusu vifungu. mnyika anaongea sasa na kupendekeza makamu wenyeviti waingie ktk kamati ya uongozi
 
Viongozi wa kiroho kwa pande zote watapewa nafasi siku ya kesho ,kwa ajili ya maombi maalumu ya kuliombea bunge maalumu la katiba.
 
Zitto anashauri nini kifanyike sasa?ama inatosha tu kuwaita waliomo wapuuzi ambao ndio wanamwandalia kanuni yeye asiye mpuuzi aje kuzitumia?!!Huu si ustaarabu(us.he.nzi) kwa mtu kama yeye

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

ndio anataka apewe uenyekiyi wa chama kwa uwezo huu wa kuelewa
 
Back
Top Bottom