Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wadau hii thread ni maalum kwa ajili ya updates za bunge la jioni tar 6.3.14!
Plz mods msiunganishe na thread zingine!
WanaSIASA nawafahamu. Si unaona Lowasa wanasalimiana na Sitta?Hayo unasema wewe. Cha muhimu hapa ni kuwa mvutano umeisha na wana ari ya kuendelea na kazi iliyo mbele yao
Waleta mada wengine, hawafai hata kuandika udaku. Tiririka ili tuelewe.
Maneno gani wengine hatujajua nini kimetokea
Nalog off
Ni maneno ya Prof huyu, ameyatoa ndani ya bunge sasa akiasa juu ya vurugu zilizotokea leo bungeni.
Ni maneno makini yenye ustarabu, yaliozamilia kutoaa wingu la kutokuelewana kwa wajumbe
Asante Prof Mwandosya.
Kama mtakumbuka vizuri, katika semina ya leo asubuhi, kulitokea tofauti baina ya Sendeka na Abubakar Hamisi Bakari. Tofauti ilitokana na Mwenyekiti kuwaruhusu Sendeka na Ummy Mwalimu kuchangia kanuni ya 58 ya Rasimu ya Kanuni za Bunge maalum. Wakati mwenyekiti Kificho akiwa anasoma majina ya akina Sendeka, alisimama Abubakar na kusema kuwa majina yanayosomwa hayamo kwenye jedwali la marekebisho walilonalo. Kutokana na hali hiyo alisema kuwa mwenyekiti atasababisha bunge hilo likae kwa zaidi ya kiezi sita. Baada ya hapo. Alisimama Ole Sendeka na kumshutumu Abubakar kuwa anafanya kazi kwa maslahi ya CUF na kwamba hana uzoefu na kanuni. Kutokana na maneno hayo, Abubakar alikuja juu na kusema kuwa ana uzoefu wa zaidi ya miaka 30 tofauti na Ole Sendeka ambaye ametoka Simanjiro na ana umri wa miaka 10 tu hivyo hawezi kumbabaisha. Baada ya maneno hayo ndipo mvutano ulipojitokeza na badala ya kuwa mgogoro wa watu wawili, ukageuka kuwa mgogoro wa wengi na ulionekana ni ama baina ya CCM na CUF au baina ya Watanzania Bara na Wazanzibari
He always has.I think he has a point in this!
Nilishuhudia muumini wa dini fulani akitoa angalisho kuwa wakati wakuapa wale wa mama waliokatika siku zao za mwezi si ruksa!! mambo makubwa bunge la katiba!!
Zitto anashauri nini kifanyike sasa?ama inatosha tu kuwaita waliomo wapuuzi ambao ndio wanamwandalia kanuni yeye asiye mpuuzi aje kuzitumia?!!Huu si ustaarabu(us.he.nzi) kwa mtu kama yeye
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums