ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,938
- 6,942
Hapo ndipo utakapojua kuwa mtu anayejiamni hapaswi kuogopa kupiga kura ya WAzi, SITTA amekuwa muazi bila kujali atapoteza kura au la. Na huo ndiyo msimamo unaotakiwa siyo woga woga usiyo na maana
Sita kawahadaa wabunge wa ccm ili wampe kura. Hayo mambo kwake hayana nafasi kabisa. Muungano ndo hautaki. Tusubiri tuone