Mjasiria Akili
JF-Expert Member
- Sep 24, 2012
- 823
- 372
Tatizo mjadala ulikuwa uwe wa siku 3 na maauzi yafanyike kwa kura cha ajabu mwenyekiti alitoa angalizo kabla ya kuahirisha watengue kanuni waendelee na mjadala ina maana vifungu hivi vingeendelea kujadiliwa bika kufikia mwisho bila sbb za msingi ukawa wameshtukia hilo
